Akifatiwa na Ghana.Kenya ndio baba wa demokrasia East Africa now.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akifatiwa na Ghana.Kenya ndio baba wa demokrasia East Africa now.
Wewe achana na mambo yenu hayo. Itoshe kusema Kenya wako njema sana. Na wataendelea kuburuza ukanda huu wa Afrika mashariki.Hivi ni kweli hujasikia kuwa kuna mtu kapigwa risasi ya kichwa na mgombea hadi akafa! Toa sifa stahiki bila kupitiliza!
Kweli tupuNaizungumzia Chadema ninayoijua na Tishio kamili la ccm
Narudia tena kwa ubinafsi wa namna hii sahau CCM kuitoa madarakaniNaizungumzia Chadema ninayoijua na Tishio kamili la ccm
Kumbe kapigwa na Mgombea , siyo polisi wa kenya na kakamatwa na Polisi siyo au kaachwa ? Jimbo la Rwangwa wagombea walitekwa na kupigwa vibaya , huku mwingine akiokotwa Mkuranga , yaani kutoka Rwangwa kuja kutupwa Mkuranga ! ili Majaliwa apite bila kupingwa ulisikia kuna aliyekamatwa na Polisi ?Hivi ni kweli hujasikia kuwa kuna mtu kapigwa risasi ya kichwa na mgombea hadi akafa! Toa sifa stahiki bila kupitiliza!
Una homa ya dengue weye!Sio lazima tuige kila kitu Kenya, hata Rwanda, Burundi na Uganda Ni mifano mizuri pia. Sie tumeamua kwenda na Uganda na Rwanda
Huyo mtu hiyo risasi kapigwa na Tume ya uchaguzi?Hivi ni kweli hujasikia kuwa kuna mtu kapigwa risasi ya kichwa na mgombea hadi akafa! Toa sifa stahiki bila kupitiliza!
Kwa hiyo wakitajwa CDM peke yao tu ndiyo kunawafanya vyama vingine wawe wajinga?Ungeeleza jinsi ambavyo kundi kubwa lilivyolishwa ujinga,uongo na kila aina ya propaganda za kipumbavu na CCM juu ya ukinzani,hasa CDM.Mtu anaambiwa CDM ni chama cha Mbowe.Mara cha Wachaga and the blahs go on!Suala ni watu wazima wasikubali miungouongo ya CCM.Wapo tayari kuongea lolote,kupiga magoti,kujiliza kinafiki hata kugalagala ili tu wateke akili za zuzu.Tubadilike.Unajua kinachowafaidisha CCM ni nini katika chaguzi mbalimbali nchi hii ni umimi wa sisi raia
Mfano wewe tu mleta mada umeandika kwa kuwaelezea chadema tu ndio kama vile walikatwa peke yao kwenye uchaguzi ule
Yaani kifupi umezungumzia madhira kwa chadema na sio kwa uchaguzi wote kwa wale walionyimwa haki zao
Kwa namna hii wale viumbe CCM wataendelea sana kutawala hii nchi hadi pale ubinafsi(Ujinga) utakapopungua katika jamii
Tatzo vyama tu vya upinzani hawaaminiani na kila chama kinajiona wao ndio wanastahili kuonekana wana akili timamu kuliko wenzao
Ndugu CCM haiwezi kuondoka madarakani kwa kila chama kujipambania chenyewe
Tujiandae tu na kusikiliza vilio vya watu wakilia kuibiwa kura ila kwa akili hizi CCM inakwenda kushinda tena 2025 hata wakiweka mwembe ugombee.
wanaopaswa kuona na kujifunza wanajifanya kama hawaoni. Ikifika zamu yao ni mwendo wa wizi na vitisho tu.Kama kuna Mtanzania haoni kitu kwenye hili basi bila shaka atakuwa na matatizo mazito mno
Usijali!..ila marehemu alikuwa na roho mbaya jamani na alikuwa hajiamini yaani huku kambini tulikuwa hatupumui yaani walichukua vijana wa jkt wakawapeleka zanzibar kuwa polisi wa mda,jeshini baadhi ya makamanda wakavaa kiraia wakaingia mtaani yaani kwa ulinzi ule nilisema hali ni tete
Kumbe kichaa na mahela wapo ikulu tangu mfumo wa vyama vingi?Yule kichaa na Mahera ndio walileta ile aibu!
Jifunze kujibu hoja sio maandishi nduguKwa hiyo wakitajwa CDM peke yao tu ndiyo kunawafanya vyama vingine wawe wajinga?Ungeeleza jinsi ambavyo kundi kubwa lilivyolishwa ujinga,uongo na kila aina ya propaganda za kipumbavu na CCM juu ya ukinzani,hasa CDM.Mtu anaambiwa CDM ni chama cha Mbowe.Mara cha Wachaga and the blahs go on!Suala ni watu wazima wasikubali miungouongo ya CCM.Wapo tayari kuongea lolote,kupiga magoti,kujiliza kinafiki hata kugalagala ili tu wateke akili za zuzu.Tubadilike.
Basi hoja ungeiweka kwenye sauti.Maana mimi nimejibu kutoka kwenye maandishi.Ukitolewa mfano mmoja unatosha kuwaamsha wote wenye kufanana na huo mfano.Kama watazira kwa sababu hawatajwi,basi tatizo lipo sehemu.Jifunze kujibu hoja sio maandishi ndugu
Hoja yangu hapa ni kuweka ubinafsi(ujinga) kwenye mambo yanayohusu Taifa zima
Kadhia ya uchaguzi nchi hii zinawakumba vyama vyote na hadi raia wasio na vyama pia madhira yake wanayapata refer Akwilina
Mleta mada ameileta hoja yake kiushabiki wa vyama vya siasa kwenye jambo linalohitaji UTaifa
Yaliyotokea Zanzibar hakuna linaloweza kufikia la Tanzania bara katika uchaguzi wa 2020
Tatizo vyama vyote vya siasa hapa Tanzania ni wazuri kwenye kujihesabia haki kila m1 anajiona yeye ni bora kuliko mwenzie.
Siku hizi SSH hafanyi mambo ya kizuzu,kishamba wala ukatili mmechukia kwelikweli.Na amewa-shit ile ngumu.Sasa,ili kujificha kwenye vivuli vyenu vya chuki mnajidai mnawalaumu akina Mbowe.Mnawalaumuje ninyi CCM wakati wafuasi wao hawana tabu?Roho zenu mbaya zinawatukutia na kufura kwa kuwaka hasira.Mnatamani hata mumtukane SSH kwa nini anakaa na kujadili mambo ya taifa na wakinzani!Ndiyo hivyo.Vumilieni au kama vipi kimyakimya unaenda kukaba nafasi pembeni ya tuta la marehemu.
Mkuu! Mbona umepanic sana?Siku hizi SSH hafanyi mambo ya kizuzu,kishamba wala ukatili mmechukia kwelikweli.Na amewa-shit ile ngumu.Sasa,ili kujificha kwenye vivuli vyenu vya chuki mnajidai mnawalaumu akina Mbowe.Mnawalaumuje ninyi CCM wakati wafuasi wao hawana tabu?Roho zenu mbaya zinawatukutia na kufura kwa kuwaka hasira.Mnatamani hata mumtukane SSH kwa nini anakaa na kujadili mambo ya taifa na wakinzani!Ndiyo hivyo.Vumilieni au kama vipi kimyakimya unaenda kukaba nafasi pembeni ya tuta la marehemu.
Nitajibu hilo la pili mpaka uapie hayo niliyokuandikieni mmeyaelewa.😂😂😂Mkuu! Mbona umepanic sana?
Any way, hivi kwenye huu uchaguzi wa Kenya machadema mko upande gani maana ule uliopita mlienda na lowasa hadi nairobi kumpigia kampeni kinyata kisa odinga ni rafiki wa jpm!
Usijitoe ufahamu, umesahau walivyochinjana 1300?Kama kuna Mtanzania haoni kitu kwenye hili basi bila shaka atakuwa na matatizo mazito mno