Kenya 2022 Je, ni Mawaziri wangapi wa Kenya waliopita bila kupingwa?

Kenya 2022 Je, ni Mawaziri wangapi wa Kenya waliopita bila kupingwa?

Kenya 2022 General Election
Kuna wapuuzi humu wamekuwa wakisema " Wananchi hawataki Katiba mpya, wanataka maendeleo"

Unawezaje PATA maendeleo kama Sanduku la kura haliheshimiwi?

IPO haja ya kuendelea kulinganisha Kenya yenye Katiba mpya na Tz yenye Katiba yenye viraka!!!
Wakati tunaendelea na kumwaga sifa kedekede kwa yaliyo jili kwenye huu uchaguzi , tuagazie na mapungufu yaliyo jitokeza , nakuona mbinu za kuyaepuka.
 
Masoud kipanya Jana aliukizwa na mbaruku Khan kuhusu Kuna la kujifunza ila nimependa jibu la masoud sna alisema hnk la kujifunza Wala kesnya siyo walimu wa democracy kuliko taifa lingine Hilo la Kenya hate hap tz itakuaj kuwezekana tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom