Kenya 2022 Je, ni Mawaziri wangapi wa Kenya waliopita bila kupingwa?

Kenya 2022 Je, ni Mawaziri wangapi wa Kenya waliopita bila kupingwa?

Kenya 2022 General Election
Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.

Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.

Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.

Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)

Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.

View attachment 2319930
Kwani Chebukati wetu yeye anasemaje🤔
 
Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.

Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.

Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.

Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)

Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.

View attachment 2319930
Mahera atakuwa anaona aibu kwa uchafuzi aliotufanyia 2020.

Apelekwe Rwanda au Uganda akasaidie huko.
 
Hata Kenya waliuliza ni mawaziri wangapi huko Tanzania walipita kwa kupingwa?

Hatuwezi kufanana.
 
Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.

Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.

Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.

Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)

Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.

View attachment 2319930
Delete kinyago cha hilo jambazi
 
Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.

Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.

Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.

Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)

Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.

View attachment 2319930
Kumbuka wakenya walijitoa mhanga kujikomboa dhidi ya wakenya wenzao kwa kumwanga damu, Sasa kwa bongo hakuna keep kitu Kama hicho kila mtu anataka aishi,
 
Nikiona hiyo picha ya Hilo zee uliyoweka hapo nasikia kutapika.
Swala siyo zee hilo, Bali ninmfumo mzima wa kiutawala Ambao iko kwa ajili ya cha kimoja tuuu. Wanahibiri kijamaa huku wakicheka kibepari. Maana yake eamemiliki vyombo vya kutoa haki.,ambavyo vinawayumikia wao.
 
Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.

Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.

Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.

Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)

Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.

View attachment 2319930
Kule hatunaga hiyo ujinga
 
Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.

Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.

Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.

Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)

Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.

View attachment 2319930
Nonsense, wapinzani wenyewe ndio hawa kina faru John walamba asali?.
 
Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.

Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.

Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.

Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)

Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.

View attachment 2319930
Uyu jamaaa ni mwizi na pia amelaaniwa na alaaniwe sana sana kwa kuuharibu kwa maksudi kabisa uchaguzi wa tz mwaka 2020 hafai ata kuonhoza kitongoji kimoja
 
Mawaziri wa Kenya huwa sio wanasiasa waliogombea uchaguzi. Mabadiliko yalifanywa kwenye katiba ya Kenya na mabadiliko hayo yana mzuia waziri kuwa mbunge, yaani kuwa na nafasi mbili kwa wakati mmoja. Kwasababu hiyo waziri yeyote wa Kenya huwa ni mwana taaluma aliye chaguliwa na Rais kuongoza wizara yoyote kwasababu ya taaluma yake
 
Mawaziri wa Kenya huwa sio wanasiasa waliogombea uchaguzi. Mabadiliko yalifanywa kwenye katiba ya Kenya na mabadiliko hayo yana mzuia waziri kuwa mbunge, yaani kuwa na nafasi mbili kwa wakati mmoja. Kwasababu hiyo waziri yeyote wa Kenya huwa ni mwana taaluma aliye chaguliwa na Rais kuongoza wizara yoyote kwasababu ya taaluma yake
Asante , Je wako wagombea wowote waliohujumiwa na Tume ya Uchaguzi ili kuokoa wagombea wa chama fulani kama alivyofanya Mahera kwa maelekezo ya Jiwe ? Huu ndio msingi wa swali letu
 
Hakuna mwanaccm mwenye aibu
Na kweli hayana aibu ..... nimemuona alivyojichomeka kwenye picha aliyotuma Shangazi kwenye tweeter ...... Yaani kama moto wa Jehanamu ungekuwa unachoma watu wangali hai huyu Mahera kwa alichotufanyia Watanzania 20202 alistahili kuanza kuchomwa hapa hapa duniani.
 
Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.

Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.

Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.

Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)

Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.

View attachment 2319930
Namuona Mahela mtu kazi
 
Back
Top Bottom