Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Yaliyopita.Leo wamechinjana?Usijitoe ufahamu, umesahau walivyochinjana 1300?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaliyopita.Leo wamechinjana?Usijitoe ufahamu, umesahau walivyochinjana 1300?
Kwani Chebukati wetu yeye anasemaje🤔Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.
Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.
Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.
Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)
Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.
View attachment 2319930
Kweli kabisaUchumi wa Kenya ni karibu mara 2 ya huu wa Tanzania. Huu uchaguzi unathibitisha kwa nini wametuzidi kwa kiasi kikubwa namna hiyo
Viongozi wa Tanzania wanatamani kuharibu uchaguzi wa Kenya ili wapate kufananisha na kwaoKweli kabisa
Mahera atakuwa anaona aibu kwa uchafuzi aliotufanyia 2020.Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.
Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.
Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.
Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)
Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.
View attachment 2319930
Hakuna mwanaccm mwenye aibuMahera atakuwa anaona aibu kwa uchafuzi aliotufanyia 2020.
Apelekwe Rwanda au Uganda akasaidie huko.
Tz kuna maigizo ya uchaguzi tu.Ushaona wapi wakati wa uchaguz
Anatokea mtu anasema mtoeni yule
Mwekeni yule
Huo uchaguz au
Ova
Delete kinyago cha hilo jambaziKwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.
Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.
Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.
Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)
Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.
View attachment 2319930
Kumbuka wakenya walijitoa mhanga kujikomboa dhidi ya wakenya wenzao kwa kumwanga damu, Sasa kwa bongo hakuna keep kitu Kama hicho kila mtu anataka aishi,Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.
Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.
Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.
Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)
Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.
View attachment 2319930
Swala siyo zee hilo, Bali ninmfumo mzima wa kiutawala Ambao iko kwa ajili ya cha kimoja tuuu. Wanahibiri kijamaa huku wakicheka kibepari. Maana yake eamemiliki vyombo vya kutoa haki.,ambavyo vinawayumikia wao.Nikiona hiyo picha ya Hilo zee uliyoweka hapo nasikia kutapika.
Kule hatunaga hiyo ujingaKwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.
Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.
Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.
Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)
Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.
View attachment 2319930
Nonsense, wapinzani wenyewe ndio hawa kina faru John walamba asali?.Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.
Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.
Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.
Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)
Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.
View attachment 2319930
Uyu jamaaa ni mwizi na pia amelaaniwa na alaaniwe sana sana kwa kuuharibu kwa maksudi kabisa uchaguzi wa tz mwaka 2020 hafai ata kuonhoza kitongoji kimojaKwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.
Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.
Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.
Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)
Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.
View attachment 2319930
Wazazi wako wamepata hasara kubwa sana !Nonsense, wapinzani wenyewe ndio hawa kina faru John walamba asali?.
Asante , Je wako wagombea wowote waliohujumiwa na Tume ya Uchaguzi ili kuokoa wagombea wa chama fulani kama alivyofanya Mahera kwa maelekezo ya Jiwe ? Huu ndio msingi wa swali letuMawaziri wa Kenya huwa sio wanasiasa waliogombea uchaguzi. Mabadiliko yalifanywa kwenye katiba ya Kenya na mabadiliko hayo yana mzuia waziri kuwa mbunge, yaani kuwa na nafasi mbili kwa wakati mmoja. Kwasababu hiyo waziri yeyote wa Kenya huwa ni mwana taaluma aliye chaguliwa na Rais kuongoza wizara yoyote kwasababu ya taaluma yake
Na kweli hayana aibu ..... nimemuona alivyojichomeka kwenye picha aliyotuma Shangazi kwenye tweeter ...... Yaani kama moto wa Jehanamu ungekuwa unachoma watu wangali hai huyu Mahera kwa alichotufanyia Watanzania 20202 alistahili kuanza kuchomwa hapa hapa duniani.Hakuna mwanaccm mwenye aibu
Namuona Mahela mtu kaziKwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.
Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.
Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.
Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)
Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.
View attachment 2319930
[emoji38][emoji38][emoji38]Namuona Mahela mtu kazi