Je, ni mchezo gani utotoni ulipenda kucheza na wenzako?

Ngumi za wakati wa kutoka shule na siku ya kufunga shule. Mimi sikuwa na ubavu ila nilikuwa promota mkuu wa hizi ngumi na nikichonganisha lazma zipigwe tu. Tulikuwa na shule nyingine ya msingi jirani, basi watukutu wote wa kule walikuwa wanaijua kazi yangu na akipatikana mbabe kule lazima nijuzwe nimtafutie mbabe mwenzake kwetu wazichape jioni mojawapo.
 


Chandimu hiyo omba mungu usiwekewe bambiko au upige domaa au dochii halafu uchimbe chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…