Je, ni mchezo gani utotoni ulipenda kucheza na wenzako?

Je, ni mchezo gani utotoni ulipenda kucheza na wenzako?

Kama haukuwa mtoto wa geti kali lazima michezo mingi ya utotoni utakuwa unaikumba binafsi nilikuwa napenda michezo mitatu tu ambayo ni;

1. Michezo ya vita hapo unaashumu wewe ni Rambo ukiwa na bunduki ya mabomba ya mipapai.

2. Komborela

3. Mpira huku magoli yakiwa ndala au mawe.

Je, wewe ulikuwa unapenda michezo gani?
rede
 
Ichezwe saa ngapi akati watoto wenyewe tunao humu JF? Miaka hii mtoto wa primary tayari ana smart phone.
huku kwetu ndio hatari kabisa watoto wanawaza movie hata zaidi ya kusoma achilia mbali michezo inayojenga tu.
 
Mchezo wa kujificha na nilikuwa najificha na vibinti tu, mimi ndio nilikuwa namfundisha tukajifiche wapi, sijuwa najua lilipo tundu la sikio na sikuwa nimebalehe huenda ningekuwa na mtoto kama bashite
 
Kama haukuwa mtoto wa geti kali lazima michezo mingi ya utotoni utakuwa unaikumba binafsi nilikuwa napenda michezo mitatu tu ambayo ni;

1. Michezo ya vita hapo unaashumu wewe ni Rambo ukiwa na bunduki ya mabomba ya mipapai.

2. Komborela

3. Mpira huku magoli yakiwa ndala au mawe.

Je, wewe ulikuwa unapenda michezo gani?
Nmecheka bastola ya mipapai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Mie rede tu acha nishinde bila kula ilmrad nicheze rede tu
 
Aiseee mimi utotoni nimecheza michezo yote. Kujipikilisha, baba mama, kuchezesha vitoto, kombolela, dama, senta, namsaka mke wangu, kucheza mabunduki, mpira kombe ikiwa pakti moja ya karang. My favourite play ulikua GOROLI mpaka leo nikiwaona watoto wanacheza natamani namm niombe namba
Haha
namtafuta mke wangu namtafuta mke wangu
Hapa hayupo hapa hayupo
Kaenda wapi Kaenda wapi.........

Huu mti gani? wa mchongoma
Nikiukata haukatiki... lol
 
Nmecheka bastola ya mipapai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Mie rede tu acha nishinde bila kula ilmrad nicheze rede tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] maisha ya enzi hizo hayo.
 
Back
Top Bottom