pmwasyoke
JF-Expert Member
- May 27, 2010
- 4,760
- 3,324
Swali zuri mkuu.
MkuuAsante kwa ufafanuzi mkuu...Sasa kulingana na rate za kununua na kuuza, naona Umoja fund inaweza kuwa nzuri.
Nini comment yako kwa hilo?
Umoja ni nzuri tu kabisa. Na hasa kwa malengo ya muda mrefu.