pmwasyoke
JF-Expert Member
- May 27, 2010
- 4,760
- 3,324
Unaweza kuweka hata mara kadhaa kwa mwezi.Je unaweza kuweka kila mwezi au ukiweka mara moja basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kuweka hata mara kadhaa kwa mwezi.Je unaweza kuweka kila mwezi au ukiweka mara moja basi
Ata ukiamua kila siku, ni wewe tu.Je unaweza kuweka kila mwezi au ukiweka mara moja basi
Kwa muda gani?Kama unapesa kuanzia million 5 ni vyema ukaweka Bond maana wanatoa dividend za 50,000 kwa muwekezaji wa 5m
kila mweziKwa muda gani?
Unamaanisha mfuko wa bond fund?? Mfuko wa ukwasi au liquid najua ndo wanatoa hvyo.Kwa muda gani?
Sema tu ni kwa vile mtu bado anakuwa hajajua pesa yake aifanyie nn ilipe, bt in reality kuweka 5M Kwa reward ya elfu 50 sio fair kabisa, 5m ukiizungusha kwenye business inaweza ikakupa mpk zaid ya 1m kila mwez.Kama unapesa kuanzia million 5 ni vyema ukaweka Bond maana wanatoa dividend za 50,000 kwa muwekezaji wa 5m
Unamaanisha mfuko wa bond fund?? Mfuko wa ukwasi au liquid najua ndo wanatoa hvyo.
Yaa na ukwasi ni hvyo hvyo.Yan kwamba ukwasi fund ndio wanatoa 50K??? Maana yule amesemea bond fund
Weeee 🌚🌚Yaa na ukwasi ni hvyo hvyo.
Loo, nimebug kdg, ukwasi ni sahihi wanakupa 1%ya balance yako each month, bt still ni ndogo sana. Wana mfuko wenye faida zaidi ya hii?Weeee [emoji276][emoji276]
Mbona kama huu ni udanganyifu?
What I know abt ukwasi ni ile rate ya 1% ya balance yako kwa kila mwezi
That means ukiweka 10m unakiwa unapata laki kila mwezi, that is not fair. Ten milion ni pesa mingi sana.Weeee [emoji276][emoji276]
Mbona kama huu ni udanganyifu?
What I know abt ukwasi ni ile rate ya 1% ya balance yako kwa kila mwezi
Ni kweli ila pia kuna interest ya mwaka 14% ukitoa hio 50k ya kila mwezi, alafu kuna watu hawapendi biashara au hawaamini kwenye mafanikio ya biashara na wamebarikiwa pesa nyingi. Sasa mtu wa hivyo ni vyema awekeze UTT huku anaendelea na shughuli zake at least imzalishie kidogo.Sema tu ni kwa vile mtu bado anakuwa hajajua pesa yake aifanyie nn ilipe, bt in reality kuweka 5M Kwa reward ya elfu 50 sio fair kabisa, 5m ukiizungusha kwenye business inaweza ikakupa mpk zaid ya 1m kila mwez.
Mifuko yao inaendana endana kwenye faida ya watoto ina return mpaka 16% kwa mwaka, ni sehemu nzuri ya kumtunzia mtoto pesa.Loo, nimebug kdg, ukwasi ni sahihi wanakupa 1%ya balance yako each month, bt still ni ndogo sana. Wana mfuko wenye faida zaidi ya hii?
Loo hii ndo naijua leo mkuu, hyo ni kwa mfuko upi?Ni kweli ila pia kuna interest ya mwaka 14% ukitoa hio 50k ya kila mwezi, alafu kuna watu hawapendi biashara au hawaamini kwenye mafanikio ya biashara na wamebarikiwa pesa nyingi. Sasa mtu wa hivyo ni vyema awekeze UTT huku anaendelea na shughuli zake at least imzalishie kidogo.
Shukran kiongozMifuko yao inaendana endana kwenye faida ya watoto ina return mpaka 16% kwa mwaka, ni sehemu nzuri ya kumtunzia mtoto pesa.
Jenga nyumba kama itaisha na kama itaisha je kodi utalipwa shilingi ngapi kwa mwezi?That means ukiweka 10m unakiwa unapata laki kila mwezi, that is not fair. Ten milion ni pesa mingi sana.
Hii faida inatolewa kila mwezi, je inakuwa compounded kila mwezi au ni faida ya mwezi.Mifuko yao inaendana endana kwenye faida ya watoto ina return mpaka 16% kwa mwaka, ni sehemu nzuri ya kumtunzia mtoto pesa.
Hapana ni fair kwa sababu wao wanakufanyia kila kitu yaani unapata pesa ambayo ipo tayari kuliwa hujakutana na shuruba ya aina yoyoteSema tu ni kwa vile mtu bado anakuwa hajajua pesa yake aifanyie nn ilipe, bt in reality kuweka 5M Kwa reward ya elfu 50 sio fair kabisa, 5m ukiizungusha kwenye business inaweza ikakupa mpk zaid ya 1m kila mwez.
Hii utt ofisi zake zipo Dar peke yake au na mikoani!Asante mkuu, Mungu akijalia j3 nitaenda pale nipate zaidi na kujiunga kabisa.