Je, ni mimba imeharibika au ni mzunguko wake (period) imekuja kivingine

Je, ni mimba imeharibika au ni mzunguko wake (period) imekuja kivingine

Loading failed

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2023
Posts
2,603
Reaction score
7,501
Ndugu zangu salaam

Mke wangu anajumla ya mzunguko wa siku 25 . mwezi uliopita aliona siku zake tarehe 11/08 /2024 na nilikutana nae kimwili kwenye siku zake za hatari kwanzia tarehe 8/08 mpaka tarehe 15/08/2024 kwa sababu tulikua tunataka mtoto.

Alitarajia kuona siku zake tarehe 05/09/2024 ila cha kushangaza hakuingia japo mwanzo alikua anadai anahisi kichefuchefu, joto kupanda, uchovu na maumivu kwenye ziwa lake la kulia.

Kwasababu lengo letu ni kupata mtoto hatukuhangaika kupima ili tujue kama mimba imesha tunga au laha..

Sasa baada ya kutoona siku zake hiyo tarehe 05/09... ,tarehe 07/09 ameanza kutokwa na damu nyepesi tofauti na damu ya siku zake kwa jinsi anavyoona yeye na leo tena anatokwa na damu ya mabonge bonge..

Kinachotushinda kujua hapa je, ni yupo kwenye siku zake na zimekuja kwa kuchelewa au ni alishika mimba na sasa mimba imeharibika ?

Naomba wenye uzoefu na hili waweke busara na hekima zao hapa kabla sijampeleka hospital ndugu zangu

Asanteni sana.
 
Ndugu zangu salaam

Mke wangu anajumla ya mzunguko wa siku 25 . mwezi uliopita aliona siku zake tarehe 11/08 /2024 na nilikutana nae kimwili kwenye siku zake za hatari kwanzia tarehe 8/08 mpaka tarehe 15/08/2024 kwa sababu tulikua tunataka mtoto.

Alitarajia kuona siku zake tarehe 05/09/2024 ila cha kushangaza hakuingia japo mwanzo alikua anadai anahisi kichefuchefu, joto kupanda, uchovu na maumivu kwenye ziwa lake la kulia.

Kwasababu lengo letu ni kupata mtoto hatukuhangaika kupima ili tujue kama mimba imesha tunga au laha..

Sasa baada ya kutoona siku zake hiyo tarehe 05/09... ,tarehe 07/09 ameanza kutokwa na damu nyepesi tofauti na damu ya siku zake kwa jinsi anavyoona yeye na leo tena anatokwa na damu ya mabonge bonge..

Kinachotushinda kujua hapa je, ni yupo kwenye siku zake na zimekuja kwa kuchelewa au ni alishika mimba na sasa mimba imeharibika ?

Naomba wenye uzoefu na hili waweke busara na hekima zao hapa kabla sijampeleka hospital ndugu zangu

Asanteni sana.
Anapata maumivu yoyote?
Na je alitumia dawa yoyote ndani ya 15 au ni mtumiaji wa asali sana?
 
mwezi uliopita aliona siku zake tarehe 11/08 /2024 na nilikutana nae kimwili kwenye siku zake za hatari kwanzia tarehe 8/08 mpaka tarehe 15/08/2024 kwa sababu tulikua tunataka mtoto.

Hizo tarehe vipi?

Ukimpa presha ya kupata mtoto anaweza asimpate, na kuwa mpole sana.

Kupima mimba ni kwenda hospitali au pharmacy kununua kipimio.

Damu kiaina yake.. inaweza kutoka mtu akiwa na mimba, kila mwanamke na mwili wake.

Ila unafatilia sana Natumaini haumpi mawazo ya kama vipi asipopata hapo yaweza kuwa shida.

Jumapili leo mtoe outing mkale raha, kutafuta mtoto usipangie siku ni mkeo siku zozote tendaneni tu.

All the best.
 
Naomba wenye uzoefu na hili waweke busara na hekima zao hapa kabla sijampeleka hospital ndugu zangu

Asanteni sana.

Kutokuona siku zake haina maana mwanamke ana ujauzito...

Na kama alikuwa na ujauzito lakini akaanza kupata discharge za mabonge si dalili nzuri kwani inaweza kuashiria miscarriage...

Nenda hospitali kwa uhakika zaidi badala ya kukimbilia mitandaoni...
 
Kutokuona siku zake haina maana mwanamke ana ujauzito...

Na kama alikuwa na ujauzito lakini akaanza kupata discharge za mabonge si dalili nzuri kwani inaweza kuashiria miscarriage...

Nenda hospitali kwa ukaika zaidi badala ya kukimbilia mitandaoni...
Sawa mkuu
 
Hizo tarehe vipi?

Ukimpa presha ya kupata mtoto anaweza asimpate, na kuwa mpole sana.

Kupima mimba ni kwenda hospitali au pharmacy kununua kipimio.

Damu kiaina yake.. inaweza kutoka mtu akiwa na mimba, kila mwanamke na mwili wake.

Ila unafatilia sana Natumaini haumpi mawazo ya kama vipi asipopata hapo yaweza kuwa shida.

Jumapili leo mtoe outing mkale raha, kutafuta mtoto usipangie siku ni mkeo siku zozote tendaneni tu.

All the best.

Hata kama mimba imetoka kabisa pregnancy rapid test ,itaonyesha bado ipo hata kama ni siku tano mbele.
Sawa mkuu ngoja nimpime tujue
 
Majibu yalisemaje ulipoenda hospitali?
 
Mkuu pole kwa kuangushiwa zigo. Matatizo kama haya hutokea kama umeona mdada aliyechezea usichana wake kwa kuitembeza k kama vitumbua.

Au kwa lugha nyingine umeoa kahaba mstaafu aliyetembeza k ktk kila style na kuzuia mimba kwa p2 au kachoropoa mimba. Sitanii niko serious.

Waliooa darasa la saba watoto wabichi, huu ujinga wanausikia tu redioni ama kuusoma kwenye mitandao. Mimba inaingiq mtoto anapiga kila aina ya kazi na angegedwa mpk siku 3 kabla ya kujifungua.

Mimba si ugonjwa na haipaswi kuwa chanzo cha stress. Piga chini huyo mwanamke, nenda kachukue kabinti kadogodogo. Utanishukuru
 
Back
Top Bottom