Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Kwenye Cup Competitions unahitaji zaidi defense; unaweza ukawa timu mbovu ila kama una discipline na unapaki basi matuta yanaweza yakakufikisha mbali.
Sasa huyu Kocha tangia achukue timu hapo 2nd September; Hajafungwa Goli hata Moja.... (5 Clean Sheets).
Belgium 0 - 2 Morocco; Morocco 0 - 0 Croatia; Morocco 3 - 0 Georgia; Paraguay 0 - 0 Morocco; Morocco 2 - 0 Chile.
Na unajua kwenye round ya mitoano usipofungwa basi lazima utapita tu....; Kwahio Je wataweza kufika pale ambapo Ghana, Senegal na Cameroon walishindwa kufika kwa bahati mbaya na kwa kucheza vizuri..., kwa wao kuhakikisha wana discipline?
Sasa huyu Kocha tangia achukue timu hapo 2nd September; Hajafungwa Goli hata Moja.... (5 Clean Sheets).
Belgium 0 - 2 Morocco; Morocco 0 - 0 Croatia; Morocco 3 - 0 Georgia; Paraguay 0 - 0 Morocco; Morocco 2 - 0 Chile.
Na unajua kwenye round ya mitoano usipofungwa basi lazima utapita tu....; Kwahio Je wataweza kufika pale ambapo Ghana, Senegal na Cameroon walishindwa kufika kwa bahati mbaya na kwa kucheza vizuri..., kwa wao kuhakikisha wana discipline?