balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Morocco ni balaaKwenye Karatasi hata Taifa Stars anaweza kufanya hivyo....
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Morocco ni balaaKwenye Karatasi hata Taifa Stars anaweza kufanya hivyo....
Hivi unajua nani aliyeleta huu Uzi ? Nilisema haya hata kabla ya mechi na Canada... Hii ndio Cup Competition discipline and defense ndio kilichowafanya wawepo hapa na Croatia kuwepo pale sio vinginevyo....I so looove how you hit that daymn u turn...
Wamevuka. Argentina watakiwa wajirekebishe sana kama kweli wataka kushinda kombe. Wanamapungufu mengi wanategemea san juhudi ya mchezaji mmoja mmoja.Tuwaombee senene na Morocco wavuke, ila wasiombe wakutane na akina rodrigo de Paul 😄😄 tutawapasua aise
Maajabu yataendelea hadi fainali.Heshima yako tafadhali [emoji1787]
Kwa mpira huu ni rahisi kwa Croatia na hata Morocco kuchukua ndoo kuliko Argentina..., Utauliza kwanini....Kwa kweli kwa mpira huu hata Croatia anaweza kuchukua ndoo
Aah bana waholanzi wape heshima yao. Walitumia maarifa makubwa sana. Check goal la pili.Kwa mpira huu ni rahisi kwa Croatia na hata Morocco kuchukua ndoo kuliko Argentina..., Utauliza kwanini....
Hii ni Cup Competition na discipline is the key...
Sasa wewe huwezi ukawa umeshinda bao mbili alafu zikarudi (hio inaonyesha lack of concentration na upuuzi wa hali ya juu) na kwenye this kind of competition with these stakes unakuwa punished (wasipojirekebisha Argentina wataondoka) School boy Errors....
Am not taking anything away from the Dutch..., lakini ni uzembe kwa Argentina na hii ilitokea pia kwa Saudia kuwafunga baada ya kuwa wameongeza... ni kama ile game Champions League ya AC Milan na Liverpool yaani half time umeshinda 3 bila alafu zinarudi !!!Aah bana waholanzi wape heshima yao. Walitumia maarifa makubwa sana. Check goal la pili.
Portugal nao waliiga ile mbinu ikawa tayar watu wanaijua.
All in all Morocco kwenye kulinda nawapa Salute. Hakuna timu ya hivo dunia yote. Wanapelekewa mashambulizi makali sana lkn wana survive na bado wanakupiga counter za hatar. Wangekua na finishers wazur ile juzi wangewapiga wareno 3-0
Inawezekana hapo wote wanaweza kufika popote..., Argentina Defense yao ya kuweza kupigwa magoli / kurudisha magoli wakati mmeshashinda haileti confidence hususan kwenye hizi hatua ambazo mistakes gets punishedFinal: Croatia Vs France
Champion - France
Third place Winner: Morocco.
Hakika chochote kinaweza kutokea hata Argentina akirekebisha defense yake anaweza kufanya vizuri na kupita.Inawezekana hapo wote wanaweza kufika popote..., Argentina Defense yao ya kuweza kupigwa magoli / kurudisha magoli wakati mmeshashinda haileti confidence hususan kwenye hizi hatua ambazo mistakes gets punished
Mkuu umeona niliyokuwa nasema yaani shots on target tano bao tatu na hapo mpaka half time mnaongoza mbili bila !!!Aah bana waholanzi wape heshima yao. Walitumia maarifa makubwa sana. Check goal la pili.
Portugal nao waliiga ile mbinu ikawa tayar watu wanaijua.
All in all Morocco kwenye kulinda nawapa Salute. Hakuna timu ya hivo dunia yote. Wanapelekewa mashambulizi makali sana lkn wana survive na bado wanakupiga counter za hatar. Wangekua na finishers wazur ile juzi wangewapiga wareno 3-0