Pre GE2025 Je, ni mwanamke gani mwingine anafaa kuwa Rais baada ya kupata mwongozo kutoka kwa Rais Samia?

Pre GE2025 Je, ni mwanamke gani mwingine anafaa kuwa Rais baada ya kupata mwongozo kutoka kwa Rais Samia?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Wakuu nimeona Hawa Gasia - Mjumbe wa Kamati ya UtekelezajI UWT akieleza kuwa baada ya Rais Samia aje tena Rais mwanamke.

Kupata taarifa na matukio kuelekea uchaguzi mkuu 2025 kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa njia aliyoionesha Rais Samia akiwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mwanamke gani mwingine tena anweza kushika kijiti hiko.

Soma Pia kwa taarifa zaidi zinazowahusu wanawake kipindi hichi cha uchaguzi: Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?

Nakumbuka mwaka 2015 walikuwepo akina Dk. Asha Rose Migiro ambao walijaribu bahati yao kwa upande wa CCM laikini pia alikuwepo Anna Mghirwa (Marehemu) kutokea ACT ingawa hawakufanikiwa. Je, kwa sasa nani mwingine anaweza ku fit kwa kijiti hiki baada ya Rais Samia?

Soma: Mjumbe wa UWT Hawa Ghasia: Wakina mama tunafanya zaidi ya wanaume. Baada ya Samia, aje tena Rais Mwanamke!
 
Wakuu nimeona Hawa Gasia - Mjumbe wa Kamati ya UtekelezajI UWT akieleza kuwa baada ya Rais Samia aje tena Rais mwanamke.

Kwa njia aliyoionesha Rais Samia akiwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mwanamke gani mwingine tena anweza kushika kijiti hiko.

Nakumbuka mwaka 2015 walikuwepo akina Dk. Asha Rose Migiro ambao walijaribu bahati yao kwa upande wa CCM laikini pia alikuwepo Anna Mghirwa (Marehemu) kutokea ACT ingawa hawakufanikiwa. Je, kwa sasa nani mwingine anaweza ku fit kwa kijiti hiki baada ya Rais Samia?
Mungu atuepushie mbali na hili balaa, isije ikatokea tena.
 
Mungu alishaweka misingi ya utawala, mwanaume ndiye kiongozi. Sasa kama familia tu baba ndie kichwa/kiongozi sembuse nchi?

CCM wana ushetani ndio maana wakaruhusu ujinga wa namna hii. Badala ya kukimbilia nuruni sisi tunatokomea gizani.
 
Wakuu nimeona Hawa Gasia - Mjumbe wa Kamati ya UtekelezajI UWT akieleza kuwa baada ya Rais Samia aje tena Rais mwanamke.

Kwa njia aliyoionesha Rais Samia akiwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mwanamke gani mwingine tena anweza kushika kijiti hiko.

Nakumbuka mwaka 2015 walikuwepo akina Dk. Asha Rose Migiro ambao walijaribu bahati yao kwa upande wa CCM laikini pia alikuwepo Anna Mghirwa (Marehemu) kutokea ACT ingawa hawakufanikiwa. Je, kwa sasa nani mwingine anaweza ku fit kwa kijiti hiki baada ya Rais Samia?

Soma: Mjumbe wa UWT Hawa Ghasia: Wakina mama tunafanya zaidi ya wanaume. Baada ya Samia, aje tena Rais Mwanamke!
Tunachagua rais based on jinsia or based on uwezo wa mtu?
 
Wakuu nimeona Hawa Gasia - Mjumbe wa Kamati ya UtekelezajI UWT akieleza kuwa baada ya Rais Samia aje tena Rais mwanamke.

Kwa njia aliyoionesha Rais Samia akiwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mwanamke gani mwingine tena anweza kushika kijiti hiko.

Nakumbuka mwaka 2015 walikuwepo akina Dk. Asha Rose Migiro ambao walijaribu bahati yao kwa upande wa CCM laikini pia alikuwepo Anna Mghirwa (Marehemu) kutokea ACT ingawa hawakufanikiwa. Je, kwa sasa nani mwingine anaweza ku fit kwa kijiti hiki baada ya Rais Samia?
UMMY MWALIMU

Huyu mama aliwahi kuniacha midomo wazi namna alivyowahi kuivusha nchi kutoka kwenye janga la Corona; wakati nchi zingine watu walikuwa waqnapukutika dunia nzima

Alivyoondoka tu kwenye Wizara ya Afya, Corona akapishana nayo mlangoni, yeye anatoka yenyewe inaingia hadi ikataka kumaliza nchi nzima ikianza na viongozi wote

UMMY MWALIMU
 
Mungu alishaweka misingi ya utawala, mwanaume ndiye kiongozi. Sasa kama familia tu baba ndie kichwa/kiongozi sembuse nchi?

CCM wana ushetani ndio maana wakaruhusu ujinga wa namna hii. Badala ya kukimbilia nuruni sisi tunatokomea gizani.
Unafikiri wewe una akili kuliko CCM mkuu🤣
 
Back
Top Bottom