Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Hakuna, hata huyo wa sasa aliupata kwa zali la mentali tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hayupo, and for the record hakuupata kwa uwezo ulimkuta by luck.Yaani swali lake ni kwamba: ni; mwanamke gani mwingine mwenye uwezo kama wa Mama, ambaye hapa baadaye Watanzania wanaweza kufikiria kuja kumuweka awe Rais wa Nchi?
Huyu wa sasa amewaharibia sana wenzake na tumepata fundisho kuwa haifai mwanamke kuwa kiongozi wa juu kabisa.ndiyo mana nmeuliza mkuu ni mwanamke gani sasa mwingine ambaye anaweza kuwakilisha?
Yaani wewe hapa unajadili kitu kingine kabisa tofauti na mada iliyopo hewani; na unapoeleweshwa ndiyo unazidi kupuyanga tu. Soma TENA KILE nilichokujibu KWENYE post yangu ILIYOPITA, na usipolkielewa tena tafadhali usisite KUNIULIZA swalihayupo, and for the record hakuupata kwa uwezo ulimkuta by luck.
So if kutakuwepo mwenye uwezo natural okay until then jinsia haitakiwi kuwa kigezo
Wakuu nimeona Hawa Gasia - Mjumbe wa Kamati ya UtekelezajI UWT akieleza kuwa baada ya Rais Samia aje tena Rais mwanamke.
Kwa njia aliyoionesha Rais Samia akiwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mwanamke gani mwingine tena anweza kushika kijiti hiko.
Pia soma:Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?
Wakuu, Tumemaliza Uchaguzi wa Serikali za Mitaa November, 2024 na sasa tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Tumeona hamasa zikifanywa na watu mbalimbali juu ya ushiriki wa wanawake katika ngazi mbalimbali, lakini je, inatosha? Uchaguzi wa serikali za mitaa umeisha, ushiriki wa...www.jamiiforums.com
Nakumbuka mwaka 2015 walikuwepo akina Dk. Asha Rose Migiro ambao walijaribu bahati yao kwa upande wa CCM laikini pia alikuwepo Anna Mghirwa (Marehemu) kutokea ACT ingawa hawakufanikiwa. Je, kwa sasa nani mwingine anaweza ku fit kwa kijiti hiki baada ya Rais Samia?
Soma: Mjumbe wa UWT Hawa Ghasia: Wakina mama tunafanya zaidi ya wanaume. Baada ya Samia, aje tena Rais Mwanamke!
Mexico raisi ni mwanamke, vipi nako kuna CCM??Mungu alishaweka misingi ya utawala, mwanaume ndiye kiongozi. Sasa kama familia tu baba ndie kichwa/kiongozi sembuse nchi?
CCM wana ushetani ndio maana wakaruhusu ujinga wa namna hii. Badala ya kukimbilia nuruni sisi tunatokomea gizani.
Mwachi,mwachi, mwachi 😔😔😔😔😔Tulia akson
😂😂😂 anafaa sana kwanza ni miss pila black beauty tatu mbabe 😂 nne ni rais wa mabunge yote duniani tano atakuwa rais wamarais dunianiMwachi,mwachi, mwachi 😔😔😔😔😔