Je, ni Mwanasiasa yupi kati ya hawa Wawili Wewe utampenda, utamheshimu na hata Kumuombea Mema katika Siasa?

Je, ni Mwanasiasa yupi kati ya hawa Wawili Wewe utampenda, utamheshimu na hata Kumuombea Mema katika Siasa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mwanasiasa A

Ambaye amekamatwa, kabambikiwa Kesi mbaya, Kachafuliwa, Kafilisiwa, Kateswa na Kanyanyasika huku akiwa amekaa muda mwingi Jela na akiombwa aombe Radhi ili aachiwe na anakataa mpaka Haki dhidi yake itendeke na ikitendeka akitoka hajipendekezi bali anaendelea Kuuwasha Moto wake ule ule kwa Mamlaka?

Mwanasiasa B

Ambaye akikamatwa na Kukaa Jela miezi 6 tu mpaka 7 pamoja na kwamba Watu walimuamini, walimpenda kwa Uhodari wake ( pamoja na Kuteswa, Kunyanyaswa na Kuchafuliwa Kwake ) akishurutishwa Kuomba Msamaha ili aachiwe anakubali na anafanya hivyo kupitia Viongozi wa Dini na akiachiwa tu haraka sana anakurupuka kwenda kwa Mamlaka Kujikomba kisha anawatia Moyo Kinafiki kuwa Mapambano yanaendelea?

Majibu yenu ni Muhimu sana Kwangu!!!!
 
Mwanasiasa A

Ambaye amekamatwa, kabambikiwa Kesi mbaya, Kachafuliwa, Kafilisiwa, Kateswa na Kanyanyasika huku akiwa amekaa muda mwingi Jela na akiombwa aombe Radhi ili aachiwe na anakataa mpaka Haki dhidi yake itendeke na ikitendeka akitoka hajipendekezi bali anaendelea Kuuwasha Moto wake ule ule kwa Mamlaka?

Mwanasiasa B

Ambaye akikamatwa na Kukaa Jela miezi 6 tu mpaka 7 pamoja na kwamba Watu walimuamini, walimpenda kwa Uhodari wake ( pamoja na Kuteswa, Kunyanyaswa na Kuchafuliwa Kwake ) akishurutishwa Kuomba Msamaha ili aachiwe anakubali na anafanya hivyo kupitia Viongozi wa Dini na akiachiwa tu haraka sana anakurupuka kwenda kwa Mamlaka Kujikomba kisha anawatia Moyo Kinafiki kuwa Mapambano yanaendelea?

Majibu yenu ni Muhimu sana Kwangu!!!!
Weee jamaa, hapo bado hujamgusa MBOWE, MBOWE hakumtuma mtu yoyote kumuombea msamaha.

Ila Magumashi alikuwa mkuu dhalimu asiye na akili kabisa
 
Nimeshakuambia wewe ni mpuuuzi fulani na hujui siasa kabisa! Siasa siyo ugomvi wala chuki! Mbowe ana akili na ndio maana amefanikiwa hata katika maisha binafsi siyo kama wewe mediocre.
Mbowe anaheshimika mno na watu wenye akili, hana grudges kama nyie mapopoma!
 
Mwanasiasa A

Ambaye amekamatwa, kabambikiwa Kesi mbaya, Kachafuliwa, Kafilisiwa, Kateswa na Kanyanyasika huku akiwa amekaa muda mwingi Jela na akiombwa aombe Radhi ili aachiwe na anakataa mpaka Haki dhidi yake itendeke na ikitendeka akitoka hajipendekezi bali anaendelea Kuuwasha Moto wake ule ule kwa Mamlaka?

Mwanasiasa B

Ambaye akikamatwa na Kukaa Jela miezi 6 tu mpaka 7 pamoja na kwamba Watu walimuamini, walimpenda kwa Uhodari wake ( pamoja na Kuteswa, Kunyanyaswa na Kuchafuliwa Kwake ) akishurutishwa Kuomba Msamaha ili aachiwe anakubali na anafanya hivyo kupitia Viongozi wa Dini na akiachiwa tu haraka sana anakurupuka kwenda kwa Mamlaka Kujikomba kisha anawatia Moyo Kinafiki kuwa Mapambano yanaendelea?

Majibu yenu ni Muhimu sana Kwangu!!!!
Freeman Mbowe ni shujaa!
 
Mwanasiasa A

Ambaye amekamatwa, kabambikiwa Kesi mbaya, Kachafuliwa, Kafilisiwa, Kateswa na Kanyanyasika huku akiwa amekaa muda mwingi Jela na akiombwa aombe Radhi ili aachiwe na anakataa mpaka Haki dhidi yake itendeke na ikitendeka akitoka hajipendekezi bali anaendelea Kuuwasha Moto wake ule ule kwa Mamlaka?

Mwanasiasa B

Ambaye akikamatwa na Kukaa Jela miezi 6 tu mpaka 7 pamoja na kwamba Watu walimuamini, walimpenda kwa Uhodari wake ( pamoja na Kuteswa, Kunyanyaswa na Kuchafuliwa Kwake ) akishurutishwa Kuomba Msamaha ili aachiwe anakubali na anafanya hivyo kupitia Viongozi wa Dini na akiachiwa tu haraka sana anakurupuka kwenda kwa Mamlaka Kujikomba kisha anawatia Moyo Kinafiki kuwa Mapambano yanaendelea?

Majibu yenu ni Muhimu sana Kwangu!!!!
Poti, leo umegusa penyewe...ngoja wajisome tuwaelewe...
 
Mwanasiasa A

Ambaye amekamatwa, kabambikiwa Kesi mbaya, Kachafuliwa, Kafilisiwa, Kateswa na Kanyanyasika huku akiwa amekaa muda mwingi Jela na akiombwa aombe Radhi ili aachiwe na anakataa mpaka Haki dhidi yake itendeke na ikitendeka akitoka hajipendekezi bali anaendelea Kuuwasha Moto wake ule ule kwa Mamlaka?

Mwanasiasa B

Ambaye akikamatwa na Kukaa Jela miezi 6 tu mpaka 7 pamoja na kwamba Watu walimuamini, walimpenda kwa Uhodari wake ( pamoja na Kuteswa, Kunyanyaswa na Kuchafuliwa Kwake ) akishurutishwa Kuomba Msamaha ili aachiwe anakubali na anafanya hivyo kupitia Viongozi wa Dini na akiachiwa tu haraka sana anakurupuka kwenda kwa Mamlaka Kujikomba kisha anawatia Moyo Kinafiki kuwa Mapambano yanaendelea?

Majibu yenu ni Muhimu sana Kwangu!!!!
 
Ningethibitishiwa yaliyoelezwa kifungu "B" kuwa ametuma viongozi wa dini ningeweza kujua mchele ni upi na pumba ni ipi. Kabla ya hapo woote kwangu ni upupu.
Swali kwako, je haiwezekani kuwa mamlaka ndiyo iliyowatuma viongozi wa dini kufanya hilo igizo ili kujisafisha? Na je kwanini likaangukia siku ya kuanza kusikiliza utetezi? Je ni kwanini watuhumiwa hawakuletwa mahakamani siku hiyo ya kufutwa mashtaka? Kwanini walisema kuwa FAM alikuwa mgonjwa na siku hiyo hiyo anaonekana ikulu akiwa na tabasamu la uhakika? Kama wewe unao ufahamu wa Saikologia uliweza kusoma nini kwenye macho ya Mh. Rais alivyokuwa anamwangalia FAM akitabasamu kwenye zile picha za jana?
 
Hakuna kati ya hapo...

Yule anayoitwa na mahakama lakini anajifanya hasikii na hakuna anayemfanya kitu...
 
Mwanasiasa A

Ambaye amekamatwa, kabambikiwa Kesi mbaya, Kachafuliwa, Kafilisiwa, Kateswa na Kanyanyasika huku akiwa amekaa muda mwingi Jela na akiombwa aombe Radhi ili aachiwe na anakataa mpaka Haki dhidi yake itendeke na ikitendeka akitoka hajipendekezi bali anaendelea Kuuwasha Moto wake ule ule kwa Mamlaka?

Mwanasiasa B

Ambaye akikamatwa na Kukaa Jela miezi 6 tu mpaka 7 pamoja na kwamba Watu walimuamini, walimpenda kwa Uhodari wake ( pamoja na Kuteswa, Kunyanyaswa na Kuchafuliwa Kwake ) akishurutishwa Kuomba Msamaha ili aachiwe anakubali na anafanya hivyo kupitia Viongozi wa Dini na akiachiwa tu haraka sana anakurupuka kwenda kwa Mamlaka Kujikomba kisha anawatia Moyo Kinafiki kuwa Mapambano yanaendelea?

Majibu yenu ni Muhimu sana Kwangu!!!!
Wewe binafsi hujawahi kujaribu kufanya mojawapo Kati ya hayo mawili na Kwa hakika huwezi zaidi ya kuwa mpiga zumari wa mitandaoni tena Kwa fake ID. Mimi ni mpenda haki hata ukiniita mpinzani nakubali kama tu upinzani wangu unahusu dhuluma na ukatili, lakini huko unakojificha ww endelea kujificha maana kunakufaa peke yako.
 
Mwanasiasa A

Ambaye amekamatwa, kabambikiwa Kesi mbaya, Kachafuliwa, Kafilisiwa, Kateswa na Kanyanyasika huku akiwa amekaa muda mwingi Jela na akiombwa aombe Radhi ili aachiwe na anakataa mpaka Haki dhidi yake itendeke na ikitendeka akitoka hajipendekezi bali anaendelea Kuuwasha Moto wake ule ule kwa Mamlaka?

Mwanasiasa B

Ambaye akikamatwa na Kukaa Jela miezi 6 tu mpaka 7 pamoja na kwamba Watu walimuamini, walimpenda kwa Uhodari wake ( pamoja na Kuteswa, Kunyanyaswa na Kuchafuliwa Kwake ) akishurutishwa Kuomba Msamaha ili aachiwe anakubali na anafanya hivyo kupitia Viongozi wa Dini na akiachiwa tu haraka sana anakurupuka kwenda kwa Mamlaka Kujikomba kisha anawatia Moyo Kinafiki kuwa Mapambano yanaendelea?

Majibu yenu ni Muhimu sana Kwangu!!!!
Sasa nimeamini kuwa wewe huwa dish limecheza. Maelezo yako yote unataka kumtolea mfano nani?
Kama ni Mbowe basi utakuwa huna akili kabisa maana Mbowe hajaomba msamaha popote pale na hajatuma mtu kuomba msamaha popote.
Propaganda ya kutumia viongozi wa dini ambayo mshtaki ndio kaitumia ili aonekane kaombwa msamaha kama nayo umeshindwa kuigundua hilo nalo linadhibitisha una uwezo mdogo wa kung'amua jambo au dish limecheza.
Hata kwenda Ikulu, hivi unadhani Mbowe anaweza kutolewa jela saa 9 na akaomba kumuona Rais na kukubaliwa masaa machache baadae? Mbowe kaitwa Ikulu na ni mwanasiasa mjinga pekee ndiye anaweza kukataa opportunities za aina hiyo.
Next time think before you write anything about Mbowe
 
Back
Top Bottom