NITAKUKAMATA TU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 347
- 432
Mkuu umenifanya nicheke kwa sauti!Wa "af-mbili" hawatasita kukuambia ni Zuchu.
naunga mkono.
Zuchu,,,,,nimenukuu kutoka kwa sinza pazuriZingatia swali "Je ni mwimbaji gani wa kike ambaye anaweza kupamabanishwa na "Whitney Houston"?" na akaleta upinzani mkali.
Unachotakiwa kufanya:
- Taja jina la Mwimbaji husika na wimbo wake japo mmoja.
Video: Whitney Houston - I Look to You
View: https://www.youtube.com/watch?v=5Pze_mdbOK8
Hapa kama nazisikia sauti ya Manju wa Muziki Masoud Masoud. Hizo terminologies huwa anapenda sana kuzitumia anapozungumzia uwezo wa kuimba wa msanii Whitney au Mariah Carey.Whitney Houston alikuwa na sauti wataalamu wa muziki wanaita mezzo-soprano, wasanii wenye hio sauti ni kama Adele, Christina Aguilera na wengine wengi...
Whitney vocal range alikuwa na octaves tatu kutoka A2 hadi G#5 hadi C#6 (A6).....
Whitney alikuwa anatoa sauti kutoka G chini ya C hadi kwenye B flat, alikuwa anapita katika octaves tofauti ,alikuwa ana uwezo kuanza kuimba chini kabisa kwa sauti laini na nyororo hadi noti za juu za sauti kwa usahihi mkubwa na ubora...
Alikuwa na kipaji si mchezo..
Mariah Carey ndiye kwa kiasi kikubwa amefanana na Whitney Houston kwa uwezo wa kucheza na sauti na miondoko ya Miziki yao,.Zingatia swali "Je ni mwimbaji gani wa kike ambaye anaweza kupamabanishwa na "Whitney Houston"?" na akaleta upinzani mkali.
Unachotakiwa kufanya:
- Taja jina la Mwimbaji husika na wimbo wake japo mmoja.
Video: Whitney Houston - I Look to You
View: https://www.youtube.com/watch?v=5Pze_mdbOK8
Yule mzee anaujua muziki.Hapa kama nazisikia sauti ya Manju wa Muziki Masoud Masoud. Hizo terminologies huwa anapenda sana kuzitumia anapozungumzia uwezo wa kuimba wa msanii Whitney au Mariah Carey.
Huwezi amini huyu Yan simjui ila ana sauti jomba
Yuko vizuri sanaAnasauti fulani hivi nzito kiasi.