Je, ni nini lengo la ziara ya Ghafla ya Paul Kagame hapa Tanzania 27-04-2023?

Je, ni nini lengo la ziara ya Ghafla ya Paul Kagame hapa Tanzania 27-04-2023?

Tunavyozidi kuendelea na maisha ya kila siku, hatuwezi kuacha kufikirisha bongo zetu.

Ziara ya Paul Kagame imenifanya nifikirie sana. Kwanini iwe ziara ya ghafla hivyo? Katika mawazo yangu nimewaza mambo kadha wa kadha.

1. Tayari huko Congo ya mashariki vurugu inaendelea. Na sote tunajua yule anayeleta vurugu hizo ni ndugu yetu huyu na wenzake wakisaidiwa na wafanya biashara mbalimbali wa madini duniani. Huku USA akiwa behind the scene.

Juzi juzi makamu wa rais wa Marekani alikuja hapa Tanzania. Na katika mambo mengi yaliyozungumzwa huenda na hili suala la amani katika eneo la kaskazini mwa congo. Maana Tanzania inapokea wakimbizi wengi sana na kushindwa kufanya mipango yake ya maendeleo.

2. Tayari Burundi, Uganda na DRC zimekubali kufanya biashara na Tanzania. Huku yeye akiwa na matakwa yake. Na ukiangalia mbele ya safari madini ya huko Congo na Burundi yatasafirishwa kupitia SGR ya Tanzania. Sasa hapa tunaongelea National Interest. Ukiyagusa maslah ya Tanzania maana yake umeingilia ulinzi na usalama wa Tanzania.

3. Tunapoelekea anaona kabisa anatengwa, Maana USA sasa hivi naye anapigana for her survival. Hizi operation zinazoendelea huko Ukraine zimewafumbua wengi. Kwahiyo wengi sasa wanaanzisha umoja wao na kuanza kujiweka mbali na USA. Huku wengi wakiwa karibu na China. Yeye hana mahusiano mazuri na China huku TZ tukiwa washirika wa karibu sana na China.

4. Tanzania imechaguliwa kuwa mwenyekiti wa majeshi ya Ulinzi na Usalama Duniani. Mwakani mkutano wa majeshi yote duniani utafanyika hapa Tanzania. Tanzania imekabidhiwa na Russia juzi juzi wiki hii huko Moscow. Kuwa mbali na Tanzania ni kujitenga na ulinzi wa kidunia.

5. Tanzania imeandaa mpango kabambe wa kumaliza na kutokomeza makundi yanayopigana na serikali huko DRC. Mpango wa Tanzania utaweza kumfanya yeye apotee kabisa kwenye ramani, kama alivyopotea Idd Amini Dadaa.

Karibu tuchangie. Hayo ni mawazo yangi binafsi kama raia mwema.
Kaja kukamilisha mpango wake na rafiki yake BT
 
Sasa unaponitaka nisiongelee Russia, wewe ni nani kwangu?
Nimekwambia usiongelee? Si mawazo yako unayotaka kutushawishi, mimi nimekataa na wauaji wako. Kati ya USA na Russia yupi aliyetengwa zaidi na jumuia ya kimataifa?

Kama hutaki tuyakatae mawazo yako usiyalete jukwaani baki nayo
 
Tunavyozidi kuendelea na maisha ya kila siku, hatuwezi kuacha kufikirisha bongo zetu.

Ziara ya Paul Kagame imenifanya nifikirie sana. Kwanini iwe ziara ya ghafla hivyo? Katika mawazo yangu nimewaza mambo kadha wa kadha.

1. Tayari huko Congo ya mashariki vurugu inaendelea. Na sote tunajua yule anayeleta vurugu hizo ni ndugu yetu huyu na wenzake wakisaidiwa na wafanya biashara mbalimbali wa madini duniani. Huku USA akiwa behind the scene.

Juzi juzi makamu wa rais wa Marekani alikuja hapa Tanzania. Na katika mambo mengi yaliyozungumzwa huenda na hili suala la amani katika eneo la kaskazini mwa congo. Maana Tanzania inapokea wakimbizi wengi sana na kushindwa kufanya mipango yake ya maendeleo.

2. Tayari Burundi, Uganda na DRC zimekubali kufanya biashara na Tanzania. Huku yeye akiwa na matakwa yake. Na ukiangalia mbele ya safari madini ya huko Congo na Burundi yatasafirishwa kupitia SGR ya Tanzania. Sasa hapa tunaongelea National Interest. Ukiyagusa maslah ya Tanzania maana yake umeingilia ulinzi na usalama wa Tanzania.

3. Tunapoelekea anaona kabisa anatengwa, Maana USA sasa hivi naye anapigana for her survival. Hizi operation zinazoendelea huko Ukraine zimewafumbua wengi. Kwahiyo wengi sasa wanaanzisha umoja wao na kuanza kujiweka mbali na USA. Huku wengi wakiwa karibu na China. Yeye hana mahusiano mazuri na China huku TZ tukiwa washirika wa karibu sana na China.

4. Tanzania imechaguliwa kuwa mwenyekiti wa majeshi ya Ulinzi na Usalama Duniani. Mwakani mkutano wa majeshi yote duniani utafanyika hapa Tanzania. Tanzania imekabidhiwa na Russia juzi juzi wiki hii huko Moscow. Kuwa mbali na Tanzania ni kujitenga na ulinzi wa kidunia.

5. Tanzania imeandaa mpango kabambe wa kumaliza na kutokomeza makundi yanayopigana na serikali huko DRC. Mpango wa Tanzania utaweza kumfanya yeye apotee kabisa kwenye ramani, kama alivyopotea Idd Amini Dadaa.

Karibu tuchangie. Hayo ni mawazo yangi binafsi kama raia mwema.
Well analysed and presented congratulations 🎊
 
Alikuja kuingia Mkataba wa Raia wake wenye Akili Kubwa Afrika Mashariki waweze Kuwaambukiza Raia Goigoi ( Mazuzu ) Vichwani wa Mwenyeji wake.
Raia gani wa Rwanda ana akili kubwa?.Akili za kuuana na kubaguana kwa ukubwa wa pua?

Nawadharau sana watu wanaotaka kulinganisha Rwanda na Tanzania. Ni upuuzi labda walinganishe na mikoa ya lake zone (Mwanza, Geita, Mara na Bukoba)
 
Nimekwambia usiongelee? Si mawazo yako unayotaka kutushawishi, mimi nimekataa na wauaji wako. Kati ya USA na Russia yupi aliyetengwa zaidi na jumuia ya kimataifa?

Kama hutaki tuyakatae mawazo yako usiyalete jukwaani baki nayo
USA na Russia zimetokea wapi kwenye thread hii? Mzee stress zako usizilete hapa.
 
Hakuna kitu ambacho ni cha moja kwa moja.Muda wakati ni mwamuzi wa mambo mengi.

Zile siasa za ubabe ubabe na uwekezaji mkubwa katika masuala ya ulinzi zinakwenda kubadilika kadri muda unavyosonga mbele.

Rwanda ina maadui wawili wakubwa ambao katika kipindi chote cha Utawala wa PAKA ameshindwa kuyadhibiti.

Adui Number moja yupo ndani.Ukabila ambao upo kwasababu za kihistoria.Bahati mbaya PAKA kaukuza na kuutukuza ukabila katika kipindi chote cha Utawala wake.Kabila lake la Tutsi ndio kila kitu huko Rwanda na kibaya zaidi anaamini sana katika himaya ya Bahima.

Tatizo la pili linazalishwa na tatizo la kwanza.PAKA ana amini makabila yote yenye asili ya Tutsi wana uhalali wa kutawala eneo lote la maziwa makuu.Alianzisha operation ya kuwatumia watutsi bila kujali wanatoka nchi gani,matokeo yake waangaza wa Tanzania au banyamulenge wa Congo wakaanza kukosa uhalali au kuaminika katika nchi zao za asili.

PAKA anajikuza sana kuliko uhalisia wa nchi yake ndogo ya Rwanda ambayo inazidiwa ukubwa wa eneo na hifadhi ya taifa ya Serengeti.Mkubwa wa hifadhi ya Serengeti ana tawala eneo kubwa kuliko nchi ya Rwanda.PAKA hawezi kuwa sawa na Rais wa Tanzania lakini hizo kelele mbwembwe utafikiri Rwanda labda ni Russia kila mahali penye ugomvi atapeleka wanajeshi wake wa kitutsi.Akienda Ulaya atasign mikataba ya kuchukua wakimbizi wakati Rwanda ni nchi ya tatu duniani kwa msongamano wa watu.


Wakati wa PAKA kuondoka unazidi kukaribia mbegu yake akiyoipanda ya ukabila ndio itakayomwondoa mapema zaidi.
Rwanda is overated
 
Hakuna kitu ambacho ni cha moja kwa moja.Muda wakati ni mwamuzi wa mambo mengi.

Zile siasa za ubabe ubabe na uwekezaji mkubwa katika masuala ya ulinzi zinakwenda kubadilika kadri muda unavyosonga mbele.

Rwanda ina maadui wawili wakubwa ambao katika kipindi chote cha Utawala wa PAKA ameshindwa kuyadhibiti.

Adui Number moja yupo ndani.Ukabila ambao upo kwasababu za kihistoria.Bahati mbaya PAKA kaukuza na kuutukuza ukabila katika kipindi chote cha Utawala wake.Kabila lake la Tutsi ndio kila kitu huko Rwanda na kibaya zaidi anaamini sana katika himaya ya Bahima.

Tatizo la pili linazalishwa na tatizo la kwanza.PAKA ana amini makabila yote yenye asili ya Tutsi wana uhalali wa kutawala eneo lote la maziwa makuu.Alianzisha operation ya kuwatumia watutsi bila kujali wanatoka nchi gani,matokeo yake waangaza wa Tanzania au banyamulenge wa Congo wakaanza kukosa uhalali au kuaminika katika nchi zao za asili.

PAKA anajikuza sana kuliko uhalisia wa nchi yake ndogo ya Rwanda ambayo inazidiwa ukubwa wa eneo na hifadhi ya taifa ya Serengeti.Mkubwa wa hifadhi ya Serengeti ana tawala eneo kubwa kuliko nchi ya Rwanda.PAKA hawezi kuwa sawa na Rais wa Tanzania lakini hizo kelele mbwembwe utafikiri Rwanda labda ni Russia kila mahali penye ugomvi atapeleka wanajeshi wake wa kitutsi.Akienda Ulaya atasign mikataba ya kuchukua wakimbizi wakati Rwanda ni nchi ya tatu duniani kwa msongamano wa watu.


Wakati wa PAKA kuondoka unazidi kukaribia mbegu yake akiyoipanda ya ukabila ndio itakayomwondoa mapema zaidi.
Thread closed
 
Jana kwenye afla ya chakula cha Rais kwa mgeni wake sikumuona JK miongoni mwa wastaafu.
Jk alimshikisha kagame adabu akawa mdogo ka piritoni Kuna kipindi alinyanyua mabega, JK akaleta operation kimbunga ilikuwa kilio huko Kanda ya ziwa kumbe nchi hii Ina wahamiaji haramu wengi, ikabidi kagame aombe msamaha yaishe tangu siku hyo akaacha chokochoko
 
USA na Russia zimetokea wapi kwenye thread hii? Mzee stress zako usizilete hapa.
Hajakuelewa kwenye suala la Tanzania kuwa mwenyekiti wa Majeshi Ya Ulinzi na Usalama Duniani, amepokea nafasi hiyo Toka kwa nani (nchi gani)?
Fafanua wengi waelewe, yeye alisoma juu juu akadhani umeweka hisia na mapenzi yako juu ya ushabiki wa mambo ya Pro-west Vs Pro-Russia mambo ya Ukraine na nani bora.
 
Tanzania imechaguliwa kuwa mwenyekiti wa majeshi ya Ulinzi na Usalama Duniani. Mwakani mkutano wa majeshi yote duniani utafanyika hapa Tanzania. Tanzania imekabidhiwa na Russia juzi juzi wiki hii huko Moscow.
Mkuu hapa ndipo cencer09 hajakuelewa anadhani umebuni hii habari au umeiweka sababu ya mahaba yako juu ya Russia wakati yeye ana chuki nayo au ana mahaba na USA.
 
Kwa aliye mzima kumpa ugonjwa wa kipuuzi ni sawa?
Hoja yako ni ya kipuuzi kama ukiambiwa unakasirika jukwaa halikufai
Haya basi umeeleweka kuwa hii hoja hujaielewa. Asante kwa kushiriki.
 
Back
Top Bottom