Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KUNA MENGI UMEONGEA POINTI ILA MACHACHE UMEWEKA USHABIKI WA KISIASA.HAKUNA NCHI DUNIANI ISIYOPENDA USHARIKA NA MAREKANI SABABU KIJESHI KUNA FAIDA YAKE NA MAREKANI ITABAKI SUPER POWER SIKU ZOTE WATU WAPENDE WASIPENDE UKWELI NDIO HUO NA YANAYOTOKEA UKRAINE YALIWAHI KUTOKEA AFGHANISTAN CHINI YA USSR HAKUNA JIPYA MKUU.NI KWELI CHINA NA URUSI ZINAJITAHIDI KUTAFUTA WASHIRIKA ILA KINACHOWAANGUSHA NI UCHUMI WAO USIOTABIRIKA NA SOCIAL INTEGRATION NA MIGRATION POLICY ZA NCHI ZAO.....KUHUSU KAGAME NI KWAMBA ANAMSHAWISHI MAMA SAMIA ASIKUBALI USHAWISHI WA MUSEVENI ILI MABAKI YA (FAR) WAWEKE KAMBI ZAO TANZANIA NA UGANDA HAKUNA JIPYA MKUU.Tunavyozidi kuendelea na maisha ya kila siku, hatuwezi kuacha kufikirisha bongo zetu.
Ziara ya Paul Kagame imenifanya nifikirie sana. Kwanini iwe ziara ya ghafla hivyo? Katika mawazo yangu nimewaza mambo kadha wa kadha.
1. Tayari huko Congo ya mashariki vurugu inaendelea. Na sote tunajua yule anayeleta vurugu hizo ni ndugu yetu huyu na wenzake wakisaidiwa na wafanya biashara mbalimbali wa madini duniani. Huku USA akiwa behind the scene.
Juzi juzi makamu wa rais wa Marekani alikuja hapa Tanzania. Na katika mambo mengi yaliyozungumzwa huenda na hili suala la amani katika eneo la kaskazini mwa congo. Maana Tanzania inapokea wakimbizi wengi sana na kushindwa kufanya mipango yake ya maendeleo.
2. Tayari Burundi, Uganda na DRC zimekubali kufanya biashara na Tanzania. Huku yeye akiwa na matakwa yake. Na ukiangalia mbele ya safari madini ya huko Congo na Burundi yatasafirishwa kupitia SGR ya Tanzania. Sasa hapa tunaongelea National Interest. Ukiyagusa maslah ya Tanzania maana yake umeingilia ulinzi na usalama wa Tanzania.
3. Tunapoelekea anaona kabisa anatengwa, Maana USA sasa hivi naye anapigana for her survival. Hizi operation zinazoendelea huko Ukraine zimewafumbua wengi. Kwahiyo wengi sasa wanaanzisha umoja wao na kuanza kujiweka mbali na USA. Huku wengi wakiwa karibu na China. Yeye hana mahusiano mazuri na China huku TZ tukiwa washirika wa karibu sana na China.
4. Tanzania imechaguliwa kuwa mwenyekiti wa majeshi ya Ulinzi na Usalama Duniani. Mwakani mkutano wa majeshi yote duniani utafanyika hapa Tanzania. Tanzania imekabidhiwa na Russia juzi juzi wiki hii huko Moscow. Kuwa mbali na Tanzania ni kujitenga na ulinzi wa kidunia.
5. Tanzania imeandaa mpango kabambe wa kumaliza na kutokomeza makundi yanayopigana na serikali huko DRC. Mpango wa Tanzania utaweza kumfanya yeye apotee kabisa kwenye ramani, kama alivyopotea Idd Amini Dadaa.
Karibu tuchangie. Hayo ni mawazo yangi binafsi kama raia mwema.
Nikiona mtu anaandika maandishi kwa herufi kubwa automatic mtu huyo dish limeyumbaKUNA MENGI UMEONGEA POINTI ILA MACHACHE UMEWEKA USHABIKI WA KISIASA.HAKUNA NCHI DUNIANI ISIYOPENDA USHARIKA NA MAREKANI SABABU KIJESHI KUNA FAIDA YAKE NA MAREKANI ITABAKI SUPER POWER SIKU ZOTE WATU WAPENDE WASIPENDE UKWELI NDIO HUO YANAYOTOKEA UKRAINE YALIWAHI KUTOKEA AFGHANISTAN CHINI YA USSR HAKUNA JIPYA.CHINA NA URUSI ZINAJITAHIDI KUTAFUTA WASHIRIKA ILA KINACHOWAANGUSHA UCHUMI WAO NA SOCIAL INTEGRATION NA MIGRATION POLICY ZAO.....KUHUSU KAGAME NI KWAMBA ANAMSHAWISHI MAMA SAMIA ASIKUBALI USHAWISHI WA MUSRVENI ILI MABAKI YA (FAR) WAWEKE KAMBI ZAO TANZANIA NA UGANDA HAKUNA JIPYA MKUU.
Nikiona mtu anaandika maandishi kwa herufi kubwa automatic mtu huyo dish limeyumba
Ukipewa ushauri acha kushupaza shingo. Kuandika maandishi yote kwa herufi kubwa ni ushamba na unaonekana kama mtoto wa shule ya msingi.MKUU NILIDHANI WEWE MCHAMBUZI MKONGWE WA SIASA ZA DUNIA KAMA SISI WADAU.......KUMBE BADALA YA KUSOMA MAONI UNATUKANA......BASI HAINA HAJA YA MIMI KUCHANGIA ULICHOANDIKA
Jamaa mbona katoa hoja nzuri mkuu.Nikiona mtu anaandika maandishi kwa herufi kubwa automatic mtu huyo dish limeyumba
Mkuu Hao FAR ni nani?KUNA MENGI UMEONGEA POINTI ILA MACHACHE UMEWEKA USHABIKI WA KISIASA.HAKUNA NCHI DUNIANI ISIYOPENDA USHARIKA NA MAREKANI SABABU KIJESHI KUNA FAIDA YAKE NA MAREKANI ITABAKI SUPER POWER SIKU ZOTE WATU WAPENDE WASIPENDE UKWELI NDIO HUO NA YANAYOTOKEA UKRAINE YALIWAHI KUTOKEA AFGHANISTAN CHINI YA USSR HAKUNA JIPYA MKUU.NI KWELI CHINA NA URUSI ZINAJITAHIDI KUTAFUTA WASHIRIKA ILA KINACHOWAANGUSHA NI UCHUMI WAO USIOTABIRIKA NA SOCIAL INTEGRATION NA MIGRATION POLICY ZA NCHI ZAO.....KUHUSU KAGAME NI KWAMBA ANAMSHAWISHI MAMA SAMIA ASIKUBALI USHAWISHI WA MUSRVENI ILI MABAKI YA (FAR) WAWEKE KAMBI ZAO TANZANIA NA UGANDA HAKUNA JIPYA MKUU.
MKUU UMESOMA NILICHOANDIKA AU WEWE SIO MCHAMBUZI WA SIASA ZA DUNIA BALI NI MSHABIKI WA SIASA ZA DUNIA???????SOMA KILICHOANDIKWA KWANZA AFU NDIO UTOE MAONI AU KEJELI HAKUNA SHIDA KATIKA HILO.Ukipewa ushauri acha kushupaza shingo. Kuandika maandishi yote kwa herufi kubwa ni ushamba na unaonekana kama mtoto wa shule ya msingi.
Mkuu hizi capital letter ....unamfokea nanMKUU NILIDHANI WEWE MCHAMBUZI MKONGWE WA SIASA ZA DUNIA KAMA SISI WADAU.......KUMBE BADALA YA KUSOMA MAONI UNATUKANA......BASI HAINA HAJA YA MIMI KUCHANGIA ULICHOANDIKA
(FAR) NI MABAKI YA WANAJESHI WA JESHI LILILOKUA CHINI YA KANALI HABRIYMANA KABLA RPF HAWAJAWAZIDI NGUVU NA KUCHUKUA MADARAKA MWAKA 1994.Mkuu Hao FAR ni nani?
LEO NINATUMIA TU HERUFI KUBWA KUANDIKA,,,,NIMEAMUA HIVYO...AU UNA TATIZO NA HERUFI KUBWA MKUU????Mkuu hizi capital letter ....unamfokea nan
NDIO NASHANGAA MKUU ,BADALA YA KUNIJIBU KAANZA KASHIFA NA KEJELI BADALA YA KUSOMA KILICHOANDIKWA MKUU.Jamaa mbona katoa hoja nzuri mkuu.
Mzee andika kwa herufi za kawaida. Ukiandika kwa herufi kubwa hata content uliyoiweka inakuwa haina maana.MKUU UMESOMA NILICHOANDIKA AU WEWE SIO MCHAMBUZI WA SIASA ZA DUNIA BALI NI MSHABIKI WA SIASA ZA DUNIA???????SOMA KILICHOANDIKWA KWANZA AFU NDIO UTOE MAONI AU KEJELI HAKUNA SHIDA KATIKA HILO.
Maisha yapo na utaratibu huwezi kujiamulia tu. Utakuwa nje ya utaratibu.LEO NINATUMIA TU HERUFI KUBWA KUANDIKA,,,,NIMEAMUA HIVYO...AU UNA TATIZO NA HERUFI KUBWA MKUU????
MKUU LABDA KAMA UNA AJENDA NYINGINE NYUMA YA PAZIA,ILA NILICHOANDIKA KINAELEWEKA KWA WADAU WOTEMzee andika kwa herufi za kawaida. Ukiandika kwa herufi kubwa hata content uliyoiweka inakuwa haina maana.
Basi sawa, kama wadau wako wanakuelewa. Lakini unachokionesha hapa ni utotoMKUU LABDA KAMA UNA AJENDA NYINGINE NYUMA YA PAZIA,ILA NILICHOANDIKA KINAELEWEKA KWA WADAU WOTE
HAO NDIO AFANDE KAGAME ANAWAHOFIA WAO NA VIZAZI VYAO.....VIZAZI VYAO VINATAKA KURUDI RWANDA IWE KWA NGUVU AU KWA AMANI...Mkuu Hao FAR ni nani?
UPO SAHII KUTOA MAONI YAKO,,HAKUNA SHIDA MKUU.Basi sawa, kama wadau wako wanakuelewa. Lakini unachokionesha hapa ni utoto