Huzuiwi kuamini unachotaka mwenyewe. Lakini usilazimishe na wengine waamini wanachoona wao ni upuuzi.Acheni chuki za kijinga,unayoongea yamejaa chuki ubinafsi na hayana uchunguzi wowote Ili kuaminiwa,so acha uongo,this is an international affairs issue na ni ziara ya kawaida