ulimi waupanga
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 493
- 1,223
Wakuu napata shida sana pale nikitafakari kauli ya yesu kwa wanafunzi wake, kuwa '" NENDENI MKAYABATIZE MATAIFA YOTE KWA JINA LA BABA, LA MWANA NA LA ROHO MTAKATIFU"
Shida naipata hapa, je baba ni jina? Kama siyo jina alimaanisha jina gani?
ii) Mwana ni jina? Kama siyo ni lipi alimaanisha?
iii) Roho mtakatifu ni jina? Kama siyo jina ni jina gani alimaanisha?
Mimi kwa uelewa wangu naona baba, mwana na Roho mtakatifu ni vyeo au sifa lakini siyo majina, sasa napata shida kwanini wakati wa kubatiza wachungaji/ mapadre wanataja ivyo vyeo badala ya kutaja majina ambayo Yesu alitaka?
Mfano: Ukiagizwa kwamba kwa jina la Raisi wa Tanzania peleka barua hii, ukifika kule ulikoagizwa utasema kuwa:
I) Kwa jina la Raisi ya Tanzania nalileta barua hii? Au
ii) Kwa Mamlaka ya JPM, Raisi wa Tanzania nalileta barua hii?
Tafadhali mwenye mwanga kidogo
juu ya hii kauli ya Yesu kwa wanafunzi wake atupatie ufafanuzi.
Ahsanteni!
Shida naipata hapa, je baba ni jina? Kama siyo jina alimaanisha jina gani?
ii) Mwana ni jina? Kama siyo ni lipi alimaanisha?
iii) Roho mtakatifu ni jina? Kama siyo jina ni jina gani alimaanisha?
Mimi kwa uelewa wangu naona baba, mwana na Roho mtakatifu ni vyeo au sifa lakini siyo majina, sasa napata shida kwanini wakati wa kubatiza wachungaji/ mapadre wanataja ivyo vyeo badala ya kutaja majina ambayo Yesu alitaka?
Mfano: Ukiagizwa kwamba kwa jina la Raisi wa Tanzania peleka barua hii, ukifika kule ulikoagizwa utasema kuwa:
I) Kwa jina la Raisi ya Tanzania nalileta barua hii? Au
ii) Kwa Mamlaka ya JPM, Raisi wa Tanzania nalileta barua hii?
Tafadhali mwenye mwanga kidogo
juu ya hii kauli ya Yesu kwa wanafunzi wake atupatie ufafanuzi.
Ahsanteni!