yehova maana yake ni Mungu -Mungu sio jina ni sawa na kusema God,zumbe,mnungu,mlungu,Ilaha, Mola,Jah, ila kwa waislam jina la Mungu ni Allah(the nambe of God is Allah kwa waislam)ila kwa waikristo ni utata.Musa alimuuliza unaitwa nani akamjibu mimi niko ambaye niko.shida ipo kwenye aina ya Biblia unayosoma,inawezekana unasoma Biblia ya kikatoliki ambayo haitaji jina Yehovah bali mwenyezi Mungu.
Kasome King James,hata Biblia za kiebrania zimetaja jina Yahweh.
Usinitaabishe kwa vitu vidogo.
sawa kwa ushiriki wako lakini tafakari mara mbiliyehova maana yake ni Mungu -Mungu sio jina ni sawa na kusema God,zumbe,mnungu,mlungu,Ilaha, Mola,Jah, ila kwa waislam jina la Mungu ni Allah(the nambe of God is Allah kwa waislam)ila kwa waikristo ni utata.Musa alimuuliza unaitwa nani akamjibu mimi niko ambaye niko.
Yehova ni sifa
same applied to u mkuusawa kwa ushiriki wako lakini tafakari mara mbili
Kumbe uko vizuri!...Exodus 6:3. : “I used to appear to Abraham, Isaac and Jacob as God Almighty, but as respects my name Jehovah I did not make myself known to them.”
Isaiah 42:8
8 I am Jehovah. That is my name;I give my glory to no one else,*Nor my praise to graven images.
sio sana japo tu nimafundisho karibu tenaKumbe uko vizuri!...
Isaya 42:8 "Mimi ni Yehova hili ni jina langu,sitampa mwingine utukufu wangu"yehova maana yake ni Mungu -Mungu sio jina ni sawa na kusema God,zumbe,mnungu,mlungu,Ilaha, Mola,Jah, ila kwa waislam jina la Mungu ni Allah(the nambe of God is Allah kwa waislam)ila kwa waikristo ni utata.Musa alimuuliza unaitwa nani akamjibu mimi niko ambaye niko.
Yehova ni sifa
yes,baptized in deep waterNdugu yangu huwa sikuelewi kabisa sababu uko vizuri sana kwenye Bible lakini unapinga uwepo wa huyu Mungu wa kwenye Biblia!
Were you once a good christian?
mimi ni guru kwenye haya maandiko ya wanadamuKumbe uko vizuri!...
Allah si jina la Munguyehova maana yake ni Mungu -Mungu sio jina ni sawa na kusema God,zumbe,mnungu,mlungu,Ilaha, Mola,Jah, ila kwa waislam jina la Mungu ni Allah(the nambe of God is Allah kwa waislam)ila kwa waikristo ni utata.Musa alimuuliza unaitwa nani akamjibu mimi niko ambaye niko.
Yehova ni sifa
unamuamini Mungu wa kwenye Biblia aliyeagiza huo ubatizo?yes,baptized in deep water
niliamini kipindi hichounamuamini Mungu wa kwenye Biblia aliyeagiza huo ubatizo?
jina la nani mkuu?Allah si jina la Mungu
mungu mwezijina la nani mkuu?
una andiko lolote la kuthibitishamungu mwezi
Hakuna kitu kinaitwa Jehova...Baba=Jehovah
Mwana=Yesu
Roho mtakatifu ndo jina lake hilo, sifa yake ni msaidizi kama Che mittoga alivyoeleza.
Niko tayari kurekebishwa.
kwa kumaanisha nini? andiko la nani unalolihitaji ili kuthibitisha?una andiko lolote la kuthibitisha
oooh unamuamini yupi sasa ndugu yangu?niliamini kipindi hicho
kwa sasa mungu wa kwenye biblia simuamini hata kidogo