mungu wangu hakuandika kitabu chochotesijui,
Kwanini hautaki kuniambia Mungu wako ana habari gani mpya.
vifungu tatanishi kama hicho vipo vingi na kama sijui nasema sijui au ulitaka nikudanganye?mungu wangu hakuandika kitabu chochote
naona hata huelewi mungu mtu wako yesu alimaanisha nini kwenye mathayo 16:28
kamuulize basi kasisi/padri wako ukipata jibu uje unifafanulievifungu tatanishi kama hicho vipo vingi na kama sijui nasema sijui au ulitaka nikudanganye?
ahaha huo muda sina mzeekamuulize basi kasisi/padri wako ukipata jibu uje unifafanulie
basi usijali tuifunge madaahaha huo muda sina mzee
sawabasi usijali tuifunge mada