Je, ni nini Yesu alimaanisha?

sijui,
Kwanini hautaki kuniambia Mungu wako ana habari gani mpya.
mungu wangu hakuandika kitabu chochote
naona hata huelewi mungu mtu wako yesu alimaanisha nini kwenye mathayo 16:28
 
mungu wangu hakuandika kitabu chochote
naona hata huelewi mungu mtu wako yesu alimaanisha nini kwenye mathayo 16:28
vifungu tatanishi kama hicho vipo vingi na kama sijui nasema sijui au ulitaka nikudanganye?
 
1 Baba
2 Mwana
3 Roho mtakatifu


Mungu wa
1 Ibrahim
2 Isaka
3 Yakobo



1Suzana
2Yoeli
3msagata


Hivi huu utatu mtakatifu unamaana/fumbo gani katika maisha yetu tusije tukawa tunafanya vise versa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…