Je, ni sahihi adhabu za faini kwa kila kosa kutoka katika makosa mawili kwenda sambamba?

Je, ni sahihi adhabu za faini kwa kila kosa kutoka katika makosa mawili kwenda sambamba?

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891
Mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya Maadili ya TFF, Richard Mbaruku akisoma uamuzi wa Kamati yake katika Rufaa aliyokata aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara, amesema mtuhumiwa alikuwa na makosa mawili na uamuzi wa rufaa kwa kila kosa umebaki hivyo hivyo kama ifuatavyo:
1) Offensive behavior - kufungiwa miaka miwili na sh. 10M
2) Tabia ya vitisho - kufungiwa miaka miwili na sh. 10M

Lakini kuhusu utekelezaji wa adhabu hizo, adhabu za faini ya sh. 10M kwa kila kosa nayo imetajwa kuwa zitaenda sambamba kwa pamoja kwa makosa yote mawili, hivyo mkata rufaa atalipa sh. 10M tu.

Mimi hoja yangu ninaielekeza upande wa faini, sio wa muda wa kutofanya kazi ya kimichezo. Swali langu ni hili: Je, ni sahihi adhabu za faini kwa kila kosa kutoka katika makosa mawili tofauti kwenda sambamba na hivyo kuwa kama faini ya kosa moja tu?
 
Wamemuhurumia Fifa na CAF wanapiga faini na kifungo kikali sana ndio Dunia ya mpira wa miguu ilivyo na inao utawala wake ambao sio wa demokrasia.
 
Ni mpumbavu tu ndio anaweza kuikubali Tff, yaani unamkuta mtu na hatia!! Anakata rufaa afu unatoa majibu kuwa "Rufaa" haina mashiko afu mtuhumiwa anapunguziwa adhabu. Qumaniner zenu Tff.
 
Usichoelewa ile miaka 20 ile unafungiwa wewe, ile 20 ya kwao.

Kifupi adhabu ni ile miaka 2, na hiyo 20 ni posho yao
 
Nguruwe pori na mdomo wake mchafu wote kumbe hana million 20 ndo maana alikuwa anawatukana TFF akijua anawakomoa.
 
Back
Top Bottom