Je ni sahihi kuendeshesha gari peku?

Je ni sahihi kuendeshesha gari peku?

Ukaridayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2012
Posts
515
Reaction score
476
Kwanza salute kwa wote mliotangulia, wakubwa kwa wadogo...

swali langu ni hili, katika uendeshaji wangu wa gari from beginning huwa ninaendesha peku, ninamaana ya mguu unaokanyaga kwenye accelerator ni lazima uwe peku, kiwe kiatu cha kufunika, wazi au sendozi kwangu ni mwiko... yaani huwa sifeel ile confortability kabisa na hasa ile handling mpaka niwe peku mguu wa kulia..

je ni mimi tu wa hivi au wapo watu wa dizain kama mimi...
je kuna madhara yeyote.
 
ngoja waje uta jibiwa, japo sidhani kama ni sahihi..., vile vile uki kamatwa una drive peku una pigwa chert,..
 
Kwanza salute kwa wote mliotangulia, wakubwa kwa wadogo...

swali langu ni hili, katika uendeshaji wangu wa gari from beginning huwa ninaendesha peku, ninamaana ya mguu unaokanyaga kwenye accelerator ni lazima uwe peku, kiwe kiatu cha kufunika, wazi au sendozi kwangu ni mwiko... yaani huwa sifeel ile confortability kabisa na hasa ile handling mpaka niwe peku mguu wa kulia..

je ni mimi tu wa hivi au wapo watu wa dizain kama mimi...
je kuna madhara yeyote.
Kama umevaa sandals ambazo siyo za mikanda ni salama kuendesha gari ukiwa peku, zile sandals ni hatari sana kuendesha gari uku ukiwa umezivaa unaweza leta ajali kubwa sana.
 
ngoja waje uta jibiwa, japo sidhani kama ni sahihi..., vile vile uki kamatwa una drive peku una pigwa chert,..
mkuu kwa sheria ipi ya usalama barabarani Na imeanza lini. Mavazi hayana uhusika wowote katika uendeshaji wa gari. Iwe kofia,shati hata viatu vyote havina umuhimu katika ufanisi wa uendeshaji wa gari. Mara kibao naendesha gari huku nimevaa sandals,bukta Na tshirt Na hakuna longolongo.
 
mkuu kwa sheria ipi ya usalama barabarani Na imeanza lini. Mavazi hayana uhusika wowote katika uendeshaji wa gari. Iwe kofia,shati hata viatu vyote havina umuhimu katika ufanisi wa uendeshaji wa gari. Mara kibao naendesha gari huku nimevaa sandals,bukta Na tshirt Na hakuna longolongo.
Uvaaji wa viatu unahusika kwenye kuendesha,rudi kasome tena utakutana na hiyo sheria
 
Back
Top Bottom