Je ni sahihi kuendeshesha gari peku?

Je ni sahihi kuendeshesha gari peku?

Navaa viatu nikiwa naendesha hizi town trip tu,ila nikiwa nasafiri siku zote naendesha peku hapo ndio nakua vizuri kabisa hapa town natamani niendeshe ivyo ila naona usumbufu ila vua na kuvaa viatu.
 
huwezi kuenjoy sex ukiwa umevaa condom the same applies unaendesha gari ukiwa umevaa viatu
 
Mimi sijui na tatizo gani, nikiendesha na viatu mguu unauma, nikiendesha peku raha mustarehe!
 
Kwanza salute kwa wote mliotangulia, wakubwa kwa wadogo...

swali langu ni hili, katika uendeshaji wangu wa gari from beginning huwa ninaendesha peku, ninamaana ya mguu unaokanyaga kwenye accelerator ni lazima uwe peku, kiwe kiatu cha kufunika, wazi au sendozi kwangu ni mwiko... yaani huwa sifeel ile confortability kabisa na hasa ile handling mpaka niwe peku mguu wa kulia..

je ni mimi tu wa hivi au wapo watu wa dizain kama mimi...
je kuna madhara yeyote.
Mkuu hii hali hata mm huwa inanitokea. napedna sana kuvua kiatu mguu wakulia nikiindesha gari .
 
Dah....ukizoea pekupeku....utakuwa MTU wa peku daima[emoji87]
 
mkuu kitu kinachoitwa kiatu cha aina yeyote kwangu ni mwiko... huwa ni peku mwanzo mwisho, je ni sahihi?
Haina shida mkuu tena trafki akikukamata mwambie ni masharti ya mganga wako akiandika itamdhuru.
 
w
Mimi sijui na tatizo gani, nikiendesha na viatu mguu unauma, nikiendesha peku raha mustarehe!
wahanga tupo wengi mkuu... daa viatu nakosa raha kabisa yani hata balance siipatii vzr
 
mkuu kwa sheria ipi ya usalama barabarani Na imeanza lini. Mavazi hayana uhusika wowote katika uendeshaji wa gari. Iwe kofia,shati hata viatu vyote havina umuhimu katika ufanisi wa uendeshaji wa gari. Mara kibao naendesha gari huku nimevaa sandals,bukta Na tshirt Na hakuna longolongo.
Mkuu Leseni wewe huna
ni marufuku kuendesha gari huku umevaa sandals, kobasi au ndala labda iwe na mkanda kwa nyuma
Mwalimu wa Driving lazima akuelekeze madhara yake unaweza kamata breki kikaxhomoka nk
faini ni 30,000/
 
mkuu kwa sheria ipi ya usalama barabarani Na imeanza lini. Mavazi hayana uhusika wowote katika uendeshaji wa gari. Iwe kofia,shati hata viatu vyote havina umuhimu katika ufanisi wa uendeshaji wa gari. Mara kibao naendesha gari huku nimevaa sandals,bukta Na tshirt Na hakuna longolongo.

Kuendesha gari na open shoes ambazo hazina mikanda ni kosa kwa kuwa unahatarisha usalama wako na wa wengine pia
 
Kuendesha peku sio kosa Ila ukivaa Sandals ni kosa na faini ni 30k anaebisha siku ajarbu ivo afu akajisimamishe kw traffic aone
 
Kuendesha gari na open shoes ambazo hazina mikanda ni kosa kwa kuwa unahatarisha usalama wako na wa wengine pia
ndio najua Na Mara zote naendesha Na sandals za mikanda
 
mkuu kwa sheria ipi ya usalama barabarani Na imeanza lini. Mavazi hayana uhusika wowote katika uendeshaji wa gari. Iwe kofia,shati hata viatu vyote havina umuhimu katika ufanisi wa uendeshaji wa gari. Mara kibao naendesha gari huku nimevaa sandals,bukta Na tshirt Na hakuna longolongo.
Me nimesomea Udereva veta miez 2 Aisee ni mwiko kuendsha Gari peku au viatu vya waz... 2. Hujavaa mkanda hata uchi...!!
 
Me nimesomea Udereva veta miez 2 Aisee ni mwiko kuendsha Gari peku au viatu vya waz... 2. Hujavaa mkanda hata uchi...!!
mwalimu wako kakudanganya au mtaala uliosoma ulikuwa wa kikoloni mkuu,kuendesha gari peku sio kosa Na hakuna madhara yoyote
 
Back
Top Bottom