Je ni sahihi kuendeshesha gari peku?

Je ni sahihi kuendeshesha gari peku?

Kwanza salute kwa wote mliotangulia, wakubwa kwa wadogo...

swali langu ni hili, katika uendeshaji wangu wa gari from beginning huwa ninaendesha peku, ninamaana ya mguu unaokanyaga kwenye accelerator ni lazima uwe peku, kiwe kiatu cha kufunika, wazi au sendozi kwangu ni mwiko... yaani huwa sifeel ile confortability kabisa na hasa ile handling mpaka niwe peku mguu wa kulia..

je ni mimi tu wa hivi au wapo watu wa dizain kama mimi...
je kuna madhara yeyote.
Kuendesha gari peku sio kosa kabisa , kosa ni kuendesha gari na sandals au ndala zisizo na mkanda kwa nyuma.
 
sio peku tu hata makobazi haitakiwa ni kosa kisheria, na unakamatwa unapoambiwa shuka
 
Hapa naona tunao miliki [emoji605] hatu hemi....[emoji25] [emoji25] [emoji25]
 
Na mnazungumziaje? Wanaoendesha Gari wakiwa wanavuta Sigara, Masada wanaendesha Gari wakiwa hawajavaaa nguo kuanzia kiunoni kushuka chini. Na unazungumziaje watu wanapaki Gari pembezoni mwa barabara kubwa na kuanza kufanya mapenzi
 
Na mnazungumziaje? Wanaoendesha Gari wakiwa wanavuta Sigara, Masada wanaendesha Gari wakiwa hawajavaaa nguo kuanzia kiunoni kushuka chini. Na unazungumziaje watu wanapaki Gari pembezoni mwa barabara kubwa na kuanza kufanya mapenzi
huku kwetu tabia hiyo ya kupack gari na kuanza kumshindilia demu msumari wa moto ipo sana,, mara nyingi huwa nakutana nao mishale ya kumi alfajiri mpaka kumi na moja hivi..

alfajiri huwa kuna kipupwe flani yaani kijiupepo tulivu, upepo mwanana ndiyo mida ya watu wabaya kufanya uchimbaji haramu.
 
Halafu ukizoea hivyo kuacha ni kazi, mimi nataka nijaribu na soksi maana nipo najifunza ila na viatu siweziii ni peku sasa natishwa naambiwa nyayo itakomaa.
 
Halafu ukizoea hivyo kuacha ni kazi, mimi nataka nijaribu na soksi maana nipo najifunza ila na viatu siweziii ni peku sasa natishwa naambiwa nyayo itakomaa.
mkuu mimi mara nyingi huwa napenda kufanya jambo ambalo linanipa amani moyoni... ndiyo mana nimelileta hapa kushare ideas... unyayo unaanzaje kukomaaa kwani unakanyaga na mguu mzima.
 
mkuu mimi mara nyingi huwa napenda kufanya jambo ambalo linanipa amani moyoni... ndiyo mana nimelileta hapa kushare ideas... unyayo unaanzaje kukomaaa kwani unakanyaga na mguu mzima.
Kwa anayenifundisha ndiyo anasema hivyo miye sio mtalaamu wa magari nitakudanganya bure hapa! Mimi mwenyewe ni muhanga wa peku
 
Traffic akikukamata umevaa sandal isiyo na mikanda nyuma ni cheti..sheria inasema uvae viatu vya kufunika while driving..mm ni muhanga wa hilo
 
halafu wakina mama wengi ndio wanaopenda kuendesha gari pekupeku
 
Wanawake wengi ukichunguza tunaendesha gari huku tumevua viatu. Na wala hatupati madhara yoyoye.
 
Kwanza salute kwa wote mliotangulia, wakubwa kwa wadogo...

swali langu ni hili, katika uendeshaji wangu wa gari from beginning huwa ninaendesha peku, ninamaana ya mguu unaokanyaga kwenye accelerator ni lazima uwe peku, kiwe kiatu cha kufunika, wazi au sendozi kwangu ni mwiko... yaani huwa sifeel ile confortability kabisa na hasa ile handling mpaka niwe peku mguu wa kulia..

je ni mimi tu wa hivi au wapo watu wa dizain kama mimi...
je kuna madhara yeyote.
We ni learner tu hujui kuendesha gari! After all wanawake wengi ndo wana tabia hyo! Me hata niwe nimevaa rain boots naendesha tu kama kawaida!
 
Back
Top Bottom