Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,968
Asante sana kwa ufafanuzi.Anapewa ile ya cheo alichostaafia.
Kwa mfano mzee Malecela aliwahi kuwa makamu wa Rais lakini anatambulika kama Waziri mkuu mstaafu tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana kwa ufafanuzi.Anapewa ile ya cheo alichostaafia.
Kwa mfano mzee Malecela aliwahi kuwa makamu wa Rais lakini anatambulika kama Waziri mkuu mstaafu tu!
We ulitaka aitwe nani.Ndio ni sahihi, kisheria Madaraka ya waziri mkuu yanakoma pale tu Rais anapomaliza kuapa.
Kustaafu....!!Kwani Retirement in Swahili ni nini kamanda wangu wa 95 KJ?!!
Former President or PM kwa kiswahili ni Rais wa zama au Waziri Mkuu wa zamani.Kwahiyo nini tofauti ya former President/Prime minister na retired President/Prime minister?
Naomba tafsiri ya kiswahili tafadhali.
Kustaafu maana yake hukufukuzwa au kuachishwa au kujiuzulu, muda wako ulifika kikomo. Kwa wafanyakazi ni 60 yrs, 55,yrs kwa hiari. Kwa awaziri, wabunge 5 yrs.Former President or PM kwa kiswahili ni Rais wa zama au Waziri Mkuu wa zamani.
Retired President ni Rais mstaafu.
Kwa maoni yangu Kiongozi pekee ambaye angestahili kuitwa mstaafu kama angekuwa Hai ni Nyerere kwa kuwa aliondoka madarakani kwa kustaafu. Wengine waliofuata waliondoka kwa vipindi vyao kuisha kwa mujibu wa katiba.
Hii ni dalili ya wazi kuwa hatamchagua tena kuwa waziri mkuu.Nawauliza watu wa itifaki kama ni halali kwa kipindi hiki cha mpito kumtambulisha Waziri mkuu wa awamu ya 5 Mh Kassim Majaliwa kama Waziri Mkuu Mstaafu.
Naomba majibu Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Kwanini?Ni sahihi kabisa.
Kuna kustaafu KIUMRI na KIAWAMU ya utumishi.Ukishastaafu unaweza kurudi kwenye kazi ile ile?
Former President -- Rais MsabikiKwahiyo nini tofauti ya former President/Prime minister na retired President/Prime minister?
Naomba tafsiri ya kiswahili tafadhali.
Tupe tofauti yake!Kuna kustaafu KIUMRI na KIAWAMU ya utumishi.
Hawa wanafuata mtindo uleule sawa na kukoma kwa Wabunge, Rais anapomaliza kuapa.Vipi kuhusu Makamu wa Rais na Naibu wa Spika?
Rais msabiki?Former President -- Rais Msabiki
Retired Prime Minister -- Waziri Mkuu Mstaafu
Kudos kwa mfano mzuri, ila kamwe usiweke jina la Mr Mzungu na cheo cha Urais kwenye sentensi moja. Huyo jamaa hafai cheo chochote cha uongozi kwenye nchi yetu. Anaweza kuwa raia kama raia wengine. Period.Nimeangalia tena ibara ya 50, kama Makamu wa Rais tofauti hajaapishwa, yule wa awali anaendelea kuwa Makamu wa Rais.
Yani hata kama Tundu Lissu angeshinda, Magufuli angekuwa Rais na Samia angekuwa Makamu wa Rais mpaka Lissu na Makamu wake wanapoapishwa.
Hii ni kuzuia "power vacuum".
Nchi haitakiwi kukaa hata siku moja bila Rais na Makamu wake.
KIUMRI -- ni ule ukomo wa utumishi wa kiongozi fulani kwa kuzingatia miaka ya umri wake kisheria.Tupe tofauti yake!
Rais ama Waziri Mkuu Msabiki, yaani wa zamani; ama amestaafu kiumri ama kiawamu.Rais msabiki?
Hilo neno msabiki lifafanue kwa lugha nyepesi zaidi.
Kiswahili kipana sana jamani.Rais ama Waziri Mkuu Msabiki, yaani wa zamani; ama amestaafu kiumri ama kiawamu.
Makamu wa Rais siyo makamo.Niko nje ya Mada kidogo, Shein amekuwa addressed kama Makamo wa Rais mstaafu na Rais mstaafu wa Zanzibar hilo sio shida
Je linapokuja swala la stahiki zake kama mstaafu atapewa zote kama ambavyo ametambulishwa ama kuna moja itaaachwa?
Kwahiyo Majaliwa ni waziri mkuu mstaafu?KIUMRI -- ni ule ukomo wa utumishi wa kiongozi fulani kwa kuzingatia miaka umri wake kisheria.
KIAWAMU -- kukoma utumishi ama utendaji baada ya awamu ama muhula wa utawala kupita, kujiuzulu, kuondolewa madarakani au sababu nyingineyo kama kushindwa kutekeleza majukumu yake ya utawala kwa mujibu wa sheria, nk.