Je ni sahihi kuoa binti wa mitandaoni?

Je ni sahihi kuoa binti wa mitandaoni?

Yaah inawezekana ntatoa mfano wangu japo bado hatujatimza lengo ila ndo tunaelekea huko:
2020 kuna mrembo mmoja alinifollow IG akawa ana like/kucomment katika instastory zangu kwa sana siku moja nikasema no way! Nikaingia kwa dm yake...
Story za hapa na pale nikaona mbona kama mtoto Ana nifeel ivi.Nikaomba namba chats/voice on watsap zikawa nyingi changamoto ikawa kuonana maana yeye yuko rock city mimi d.salaam huwezi amini...
Mwaka jana siku hiyo kama masihara ilikuwa alhamis..ananiambia yupo njiani anakuja kwangu dar mapenzi haya! Sikuamini kufupisha story...

Mtoto alifika na kwa mwaka almost anakujaga twice per year kwa nauli yake Go&return kwasasa tupo on process za kupelekana kwa wazee labda kabla hatuja pelekana azingue.....

Sikuwahi kuamini kuhusu long distance relationship ya mitandaoni japo wengi wanasema sio mazuri ila mimi nasema ukipata mtu sahihi hutojutia..
 
Yaah inawezekana ntatoa mfano wangu japo bado hatujatimza lengo ila ndo tunaelekea huko:
2020 kuna mrembo mmoja alinifollow IG akawa ana like/kucomment katika instastory zangu kwa sana siku moja nikasema no way! Nikaingia kwa dm yake...
Story za hapa na pale nikaona mbona kama mtoto Ana nifeel ivi.Nikaomba namba chats/voice on watsap zikawa nyingi changamoto ikawa kuonana maana yeye yuko rock city mimi d.salaam huwezi amini...
Mwaka jana siku hiyo kama masihara ilikuwa alhamis..ananiambia yupo njiani anakuja kwangu dar mapenzi haya! Sikuamini kufupisha story...

Mtoto alifika na kwa mwaka almost anakujaga twice per year kwa nauli yake Go&return kwasasa tupo on process za kupelekana kwa wazee labda kabla hatuja pelekana azingue.....

Sikuwahi kuamini kuhusu long diatance relationship ya mitandaoni japo wengi wanasema sio mazuri ila mimi nasema ukipata mtu sahihi hutojutia..
Hongera.
 
Hili swali nimeleta kwenu wana JF Kuna kijeba apa alianza kama utani vile, walikuwa wanachat mda mrefu sana na msichana ambae walianza urafiki Facebook lakini hivi tunavyoongea wameonana tayari wana wiki mbili sasa, na jamaa anaanza harakati za kutoa posa. Huyu binti ni mzuri kiasi katoka Songea na huyu jamaa katoka hapa mpwayungu dodoma.
Mkuu mabinti wa mitandaoni si ndo sie sie wa huku mitaani.... Unamuoa tu
"Kipenda roho hula hata nyama mbichi"
 
Yaah inawezekana ntatoa mfano wangu japo bado hatujatimza lengo ila ndo tunaelekea huko:
2020 kuna mrembo mmoja alinifollow IG akawa ana like/kucomment katika instastory zangu kwa sana siku moja nikasema no way! Nikaingia kwa dm yake...
Story za hapa na pale nikaona mbona kama mtoto Ana nifeel ivi.Nikaomba namba chats/voice on watsap zikawa nyingi changamoto ikawa kuonana maana yeye yuko rock city mimi d.salaam huwezi amini...
Mwaka jana siku hiyo kama masihara ilikuwa alhamis..ananiambia yupo njiani anakuja kwangu dar mapenzi haya! Sikuamini kufupisha story...

Mtoto alifika na kwa mwaka almost anakujaga twice per year kwa nauli yake Go&return kwasasa tupo on process za kupelekana kwa wazee labda kabla hatuja pelekana azingue.....

Sikuwahi kuamini kuhusu long diatance relationship ya mitandaoni japo wengi wanasema sio mazuri ila mimi nasema ukipata mtu sahihi hutojutia..
Hongera kwa kutoa mfano halisi japo hauna picha
 
Hili swali nimeleta kwenu wana JF Kuna kijeba apa alianza kama utani vile, walikuwa wanachat mda mrefu sana na msichana ambae walianza urafiki Facebook lakini hivi tunavyoongea wameonana tayari wana wiki mbili sasa, na jamaa anaanza harakati za kutoa posa. Huyu binti ni mzuri kiasi katoka Songea na huyu jamaa katoka hapa mpwayungu dodoma.
Lakini si ni binadamu kama ww shida iko wapi au hamtaonana live?.
 
Hili swali nimeleta kwenu wana JF Kuna kijeba apa alianza kama utani vile, walikuwa wanachat mda mrefu sana na msichana ambae walianza urafiki Facebook lakini hivi tunavyoongea wameonana tayari wana wiki mbili sasa, na jamaa anaanza harakati za kutoa posa. Huyu binti ni mzuri kiasi katoka Songea na huyu jamaa katoka hapa mpwayungu dodoma.
Wewe chukua huyo mwanamke oa..chamsingi pameni afya tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom