Je ni sahihi kuoa binti wa mitandaoni?

Je ni sahihi kuoa binti wa mitandaoni?

Hili swali nimeleta kwenu wana JF Kuna kijeba apa alianza kama utani vile, walikuwa wanachat mda mrefu sana na msichana ambae walianza urafiki Facebook lakini hivi tunavyoongea wameonana tayari wana wiki mbili sasa, na jamaa anaanza harakati za kutoa posa. Huyu binti ni mzuri kiasi katoka Songea na huyu jamaa katoka hapa mpwayungu dodoma.
Mitandaoni ni nchi,mkoa au kabila gani embu tuanzie hapo kabla hatujakushauri
 
Weeek mbili unatoa posa jamaa
Achunguzwe labda kuna bolt imeachia
 
Yaah inawezekana ntatoa mfano wangu japo bado hatujatimza lengo ila ndo tunaelekea huko:
2020 kuna mrembo mmoja alinifollow IG akawa ana like/kucomment katika instastory zangu kwa sana siku moja nikasema no way! Nikaingia kwa dm yake...
Story za hapa na pale nikaona mbona kama mtoto Ana nifeel ivi.Nikaomba namba chats/voice on watsap zikawa nyingi changamoto ikawa kuonana maana yeye yuko rock city mimi d.salaam huwezi amini...
Mwaka jana siku hiyo kama masihara ilikuwa alhamis..ananiambia yupo njiani anakuja kwangu dar mapenzi haya! Sikuamini kufupisha story...

Mtoto alifika na kwa mwaka almost anakujaga twice per year kwa nauli yake Go&return kwasasa tupo on process za kupelekana kwa wazee labda kabla hatuja pelekana azingue.....

Sikuwahi kuamini kuhusu long diatance relationship ya mitandaoni japo wengi wanasema sio mazuri ila mimi nasema ukipata mtu sahihi hutojutia..
Congole Sana mkuu kiukweli changamoto kubwa n kupata mtu sahihi Kwa wakat uliopo

Mm mwenyewe n mtu ambae naogopa Sana
Long distance relationship yani
Ila ukipata mtu sahihi anajielewa
Mbona fresh Tu mnafika mlikotaka
Kufika
 
Hili swali nimeleta kwenu wana JF Kuna kijeba apa alianza kama utani vile, walikuwa wanachat mda mrefu sana na msichana ambae walianza urafiki Facebook lakini hivi tunavyoongea wameonana tayari wana wiki mbili sasa, na jamaa anaanza harakati za kutoa posa. Huyu binti ni mzuri kiasi katoka Songea na huyu jamaa katoka hapa mpwayungu dodoma.

Linawezekana, ila tatizo la kuanza mahusiano mitandaoni, hayo mahusiano yaweza ishia pia mitandaoni.
 
Linawezekana, ila tatizo la kuanza mahusiano mitandaoni, hayo mahusiano yaweza ishia pia mitandaoni.
Nafkir hii ina sabababishwa na tamaa
Kwa pande zote mbili
 
Congole Sana mkuu kiukweli changamoto kubwa n kupata mtu sahihi Kwa wakat uliopo

Mm mwenyewe n mtu ambae naogopa Sana
Long distance relationship yani
Ila ukipata mtu sahihi anajielewa
Mbona fresh Tu mnafika mlikotaka
Kufika
Uaminifu na kutokua na mawazo negative kuwa: time hii siju ananicheat au laah!ukiondoa hayo mawazo kila mkikutana kama mmeanza relation jana.
 
Unajuaje huyo wa Facebook alikuwa hajiuzi, na saizi almost asilimia mia wadada waliopo mitandaoni wanauza K huo ndoukweli ila wapo indirect sio kama wakimboka
Siku hizi ukitongoza mwanamke yeyote atakwambia ana njaa, hana kodi, simu kioo, kibovu, bibi mgonjwa nk... hao woote wanajiuza.
 
Hili swali nimeleta kwenu wana JF Kuna kijeba apa alianza kama utani vile, walikuwa wanachat mda mrefu sana na msichana ambae walianza urafiki Facebook lakini hivi tunavyoongea wameonana tayari wana wiki mbili sasa, na jamaa anaanza harakati za kutoa posa. Huyu binti ni mzuri kiasi katoka Songea na huyu jamaa katoka hapa mpwayungu dodoma.
Duuh
 
Mtandanoni ni wapi ?, Kuna mtu anaishi kwenye mtandao ? Hilo swali ungeweza kubadilisha kwenye mtandao ukaweka kanisa / kazini / shule / au sokoni..., Mtandao ni medium kama medium nyingine
 
Back
Top Bottom