Kiswahili ukikichambua ni kigumu ndugu ndo maana wakenya wanakiogopa mahakama π€£ maana wewe unavyowaza na mwingine anawaza vingine akikuelezea lazima ukubaliane na maelezo yake! Kikubwa tudeal na mada uchambuzi tuwaachie BAKITA
Navyojua katika mapambano ya maisha lolote linaweza kutokea haijalishi unapitia njia gani ndiyo maana nimetaka kujua ni kazi gani ambayo utafanya na isikuhatarishie maisha? Mfano mtu unaweza kuwa umesoma vizuri sana na ukapata kazi nzuri ya ofisini ukalipwa vizuri tu lakini unaweza kukuta kuna watu wanakuwinda kwa bunduki na hata sumu wakuue wakiamini uwepo wako hapo ulipo unawazuia wao kufanikisha mambo yao.