Je, ni sahihi kwa majaji kuvaa mawigi ya kikoloni katika zama hizi?

Hua nina ustahamilivu sana kwa wajinga wasiojitambua, ila sio kwa wajinga kama wewe waliojipa vyeo na sifa ya kua mjinga...

Wanasema kuna vitu viwili pekee visivokua na kikomo, cha kwanza ni ulimwengu, cha pili ujinga... Kuhusu ulimwengu sidhani kama hauna kikomo, ila kuhusu ujinga kweli hauna kikomo, wewe ni mfano tosha...

Jina lako lenyewe umeandika kizungu, kuiga hao hao unaowaponda, tukikuuliza hilo neno "Da Don" ulilojipa pengine hata maana yake hauijui...!!!

Nenda ukafanyiwe maombi
 
Hilo anzishia uzi, ila.kwa sasa jibu hoja iliyopo
 
Hilo anzishia uzi, ila.kwa sasa jibu hoja iliyopo
It is an old tradition that the judges wear "dress robes and a wig" when presiding over a court of law...

The reason being the very act of wearing a "dress robe and a wig" implies that the judge has set his/her individual interests/bias/prejudices aside and is representing the crown/state in a unbiased manner to pronounce judgement...

Haya tafuta wa kukutafsiria jibu lako "Katibu Mwenezi Wa Wajinga", maana najua hujaelewa kitu hapo...

(Beside, ukitaka nikuandikie written submission ya karatasi hata 100, ku defend, niambie)
 
mkwawa na watu wake walikua wanaokota matunda na hawakuwa na serikali!!?..unaandika kama mngese
 
still upumbavu tu..nani hajui kama mahakama ni chombo cha haki..mpaka watuvalie kama mwendawazimu no 10
 
Kwahiyo kutumia kiingereza inakufanya ujisikie bora sio? Na unaombea niwe sijaelewa ili ujisike bora sivyo? Huo ni utumwa wa aina nyingine kwa kutumia lugha. Kuvaa hayo mawigi kuwa ni utamaduni wa muda mrefu si utetezi na haimaanishi chochote, ukeketaji ni utamaduni na ni wa muda mrefu pia, lakini hilo haliwezi kutumika kama utetezi juu ya upotofu wake katika zama za sasa. Suala la hilo wigi kua ishara ya jaji kuchuku hatamu katika chumba cha mahakama ni upunguani, kwanini tusitafute vazi maalum la batiki lililoshonwa kwa namna fulani ya kiTanzania na tukaliteua hilo kua ndio vazi rasmi la majaji wetu wawapo kwenye mahakama kuashiria kwamba wamechukua usukani wa mahakama husika?
 
Kwahiyo kutumia kiingereza inakufanya ujisikie bora sio? Na unaombea niwe sijaelewa ili ujisike bora sivyo? Huo ni utumwa waina nyingine kwa kutumia lugha. Kuvaa hayo mawigi kuwa ni utamaduni wa muda mrefu si utetezi na haimaanishi chochote, ukeketaji ni utamaduni na ni wa muda mrefu pia, lakini hilo haliwezi kutumika kama utetezi juu ya upotofu wake katika zama za sasa. Suala la hilo wigi kua ishara ya jaji kuchuku hatamu katika chumba cha mahakama ni upunguani, kwanini tusitafute vazi maalum la batiki lililoshonwa kwa namna fulani ya kiTanzania na tukaliteua hilo kua ndio vazi rasmi la majaji wetu wawapo kwenye mahakama kuashiria kwamba wamechukua hatamu kwenye chumba cha mahakama?
 
Mkwawa alikuwa na serikali gani yule??

Ile ilikuwa serikali au uhayawani tu!!

Pwahahahaaaaa.... Serikali????
Kwani serikali ni nini mpaka useme ile haikuwa serikali, utumwa mbaya sana aisee, nakuhurumia kwa jinsi ulivyoipiga ganzi akili yako
 
Mzee umeona hao majaji tu? Tena mavazi?

Mfumo wa Bunge, ni wa kikoloni, anavyovaa spika vazi lake pamoja na kanuni karibu zote pale ni za kikoloni, mavazi ni ya kikoloni, dini zetu ni za kikoloni, ujenzi wa nyumba na miundombinu ya kisasa ni za kikoloni, rasilimali tunazoringia mfano madini ya almasi ama dhahabu ni wakoloni ndio wamefanya hadi tunaona yana thamani, mfumo wa mawasiliano ni wa kikoloni...mbona ume target hao majaji tu?
 
Mleta mada hujui origini ya hayo unayoitwa mawigi
Nikusaidie tu kua origin yake ni Egypt (misri) watawala wa wakati ule walivaa hivo.hata the great pyramids pembeni yake kuna sanamu ya hivo vitu
 
Nilimkuta fundi viatu mmoja amevaa kujikinga na baridi (nadhani alilichomoa kwenye mitumba) huko yanda za juu kusini, sijui alitenda kosa kama angekutwa na kofia ya polisi!?
 
WaChina (Huawei) na WaKorea (Samsung) walikuwa na koloni lipi hapa Afrika?
Kwani tafsiri yako tunaposema wakoloni ni wale waliotutawala tuu? i.e Waingereza na Wajerumani na Waarabu? Kwakukuongezea nikwamba kabla ya hao wakoloni tulikuwa hatujui PESA, NGUO, (tulivaa ngozi na magome ya miti), KUSOMA NA KUANDIKA etc. Yapo mengi ambayo ni matokeo ya hao wakaloni. Sasa kila mmoja wetu akianza ku criticize kile anachoona hakina manufaa, mwishowe ni enzi za ujima
 
Hivi inakuaje kwa uzuri wako ukakosa wilaya?
Alikuwa rais wa Daruso 1992?
Hakika ni uendawazimu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‰
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…