Je, ni sahihi kwa majaji kuvaa mawigi ya kikoloni katika zama hizi?

Je, ni sahihi kwa majaji kuvaa mawigi ya kikoloni katika zama hizi?

Yale mavazi yana maana zake kiundani...yaani kwa mfano ukishapigwa death sentence pale mahakama kuu...Jaji anavua Yale mavazi na hausiki yeye Personally as Judge fulani...Kifupi mavazi yanamaanisha yupo kwenye kivuli cha sheria anapotoa hukumu na siyo yeye kama yeye.
 
Hivi huu utaratibu wa ukoloni mamboleo na utumwa wa rejareja wa kuvalishana mawigi ya kizungu (blonde wigs) ni nini?

Hivi tuko huru kweli?

Na hii common wealth ambao ni muunganiko wa nchi zilizotawaliwa na uingereza ni siupendi.


View attachment 863469
View attachment 863470


==========================
Update: 21/11/2024


View: https://www.instagram.com/reel/DCDktuGN6ln/?igsh=MTczcWtrd2FuOTlmMA==

Kama tuachane na kila kitu basi tuanze kuvaa kama wale Bushmen maana huko ndiko asili yetu. Acha kuva suruali, skirt wala chupi. Haya majaji wanavaa hivyo kuonyesha MAMLAKA YAO. Akirudi nyumbani ni yule yule juzi, jana na leo. Akivaa kama afsa wa kawaida kuna kitu kinapungua sana kiutendaji hata kama Rais ameshitakiwa haileti uzito akiwa na nywele kipiripiri chake.
 
Kama tuachane na kila kitu basi tuanze kuvaa kama wale Bushmen maana huko ndiko asili yetu. Acha kuva suruali, skirt wala chupi. Haya majaji wanavaa hivyo kuonyesha MAMLAKA YAO. Akirudi nyumbani ni yule yule juzi, jana na leo. Akivaa kama afsa wa kawaida kuna kitu kinapungua sana kiutendaji hata kama Rais ameshitakiwa haileti uzito akiwa na nywele kipiripiri chake.
Nani kasema tuachane na kila kitu, tuachane na ya hovyo yanyoonyesha ukoloni mamboleo, mamlaka hayaonyeshwi kwa wigi pekee, anaweza akavalishwa hata batiki yenye mshono aina ya kipekee. kuvaa mawigi blonde ya kizungu ni utumwa wa kifikra
 
Hivi huu utaratibu wa ukoloni mamboleo na utumwa wa rejareja wa kuvalishana mawigi ya kizungu (blonde wigs) ni nini?

Hivi tuko huru kweli?

Na hii common wealth ambao ni muunganiko wa nchi zilizotawaliwa na uingereza ni siupendi.


View attachment 863469
View attachment 863470


==========================
Update: 21/11/2024


View: https://www.instagram.com/reel/DCDktuGN6ln/?igsh=MTczcWtrd2FuOTlmMA==

Naona cultural renaissance kwa Mwanamajumui kijana wa Afrika Traore. Wengi waliandika kwenye Uzi huu kuwa mawigi yale ni kasumba za ukoloni na kuiga kwa kutojitambua (mimicking) kwa watangulizi katika nchi zilizokuwa makoloni ya watawala wa Kiyuropa na hata Waajemi.
 
Back
Top Bottom