Je, ni sahihi kwa majaji kuvaa mawigi ya kikoloni katika zama hizi?

Je, ni sahihi kwa majaji kuvaa mawigi ya kikoloni katika zama hizi?

Habari wadau

Kuna mambo yananitatiza nashindwa kuyaelewa, hivi yale mawigi wanayovaa Majaji kichwani yana umuhimu gani au Yana maana gani? Mimi naona ni kama utumwa wa fikra tu.

Mtu mweusi kuvaa mawigi meupe kichwani ni upuuzi na hii inaonesha ni kiasi gani waafrika bado tunatawaliwa, tunashindwa hata kujikwamua kwenye mawigi mengine tutaweza?
ukiachana na rangi, sidhani kama kuna umuhimu wa kuendelea kuvaa mawigi, kinachotakiwa ni content zilizomo kichwani si mavazi
 
Sheria km fani nyingine ina vitu vinavyoitwa desturi na utamaduni na km ilivyo vyeo vya madaraka vina historia yake...tangu miaka ya 1300s majaji wameendelea kuvaa hizo wig ijapokuwa kuna modification mbali mbali mbali hasa karne ya kumi na saba na karne ya kumi na tisa.
Ni km askofu anapovaa kofia ya uaskofu...km askari anapovaa kofia ya uaskari km shehe anapovaaa kofia ya kiislamu...nk
Ni ishara ya mamlaka na madaraka..ukumbuke pia kwa mfumo wa kisheria duniani lazima kuwe na makubaliano hasa wote wanaotumia common law
 
Habari wadau

Kuna mambo yananitatiza nashindwa kuyaelewa, hivi yale mawigi wanayovaa Majaji kichwani yana umuhimu gani au Yana maana gani? Mimi naona ni kama utumwa wa fikra tu.

Mtu mweusi kuvaa mawigi meupe kichwani ni upuuzi na hii inaonesha ni kiasi gani waafrika bado tunatawaliwa, tunashindwa hata kujikwamua kwenye mawigi mengine tutaweza?
Ni utumwa wa kifikra.
 
Wanapenda sana sifa....pia sioni hata sababu ya mawakili kujiita wakili msomi
Niliuliza nikajibiwa hivi, mtu anaweza kujitetea mwenyewe kwenye court kama anaweza na sheria inaruhusu, lakini pia kama una mtu yeyote mwenye ujasiri anaweza kukutetea ruksa hata kama hajagusa darasa.
So kujitofautisha na watetezi hawa ambao hawajasoma sheria ndiyo hujiita wakili aliyesomea kazi hiyo ya kutetea ‘alias’ ‘wakili msomi’ wenzetu wanajiita ‘a learned lawyer’
 
Kwa kweli inashangaza sana.

Wazungu walitukamata sana. Shida ilianzia kwa mababu zetu naona inaendelea.
 
Habari wadau

Kuna mambo yananitatiza nashindwa kuyaelewa, hivi yale mawigi wanayovaa Majaji kichwani yana umuhimu gani au Yana maana gani? Mimi naona ni kama utumwa wa fikra tu.

Mtu mweusi kuvaa mawigi meupe kichwani ni upuuzi na hii inaonesha ni kiasi gani waafrika bado tunatawaliwa, tunashindwa hata kujikwamua kwenye mawigi mengine tutaweza?

Ni majigambo ya kuwaabudu wakoloni, na hata utisho na vitisho vimeakisi ukoloni. Vomiting.!
 
Mimi naongeza swali lingine,mleta mada naomba unisamehe,

Hivi zile kofia wanazovaa wanafunzi wakati wa mahafali ya kuhitimu hasa Chuo kikuu,kofia hizo asili yake wapi? na zina maanisha nini?
 
Sawa, kwanini wavae mizula wanapokuwa mahakamani?
Wewe unazani wana sababu ya msingi ya kueleweka?
Sababu yoyote utakayopewa Haiwezi kua na Mashiko hata ya kumzidi yule anayevaa kujikinga na jua au baridi..
 
~ mbona na sabufa kule mjengoni anavaa gauni?

~ ule mkuki ndio sima...inamaana gani?

~ Mwenge wa Uhuru sijawahi kuelewa maana yake kiakili..

Haya yote yaondolewe ni mavitu ya kibeberu!!!
 
Mimi naongeza swali lingine,mleta mada naomba unisamehe,

Hivi zile kofia wanazovaa wanafunzi wakati wa mahafali ya kuhitimu hasa Chuo kikuu,kofia hizo asili yake wapi? na zina maanisha nini?
Mwanangu soma vitabu-lugombo makanta.
 
Hahaaaa mkuu hili swali lako limenifikilisha mno sababu ni kweli lile wigi ni la kazi gani limepitwa na wakati,
Mzee mzima mkeo anavaa wigi nyumbani na wewe ukienda kazini unavaa wigi

Sasa nywele za kichina zitaishi lini kama viongozi wetu ndio mawigi ndio sare yao.
Naoba Baada ya kushindwa kupata uwakili hasira unazimalizia kwenye mawigi ya majaji
 
Niliuliza nikajibiwa hivi, mtu anaweza kujitetea mwenyewe kwenye court kama anaweza na sheria inaruhusu, lakini pia kama una mtu yeyote mwenye ujasiri anaweza kukutetea ruksa hata kama hajagusa darasa.
So kujitofautisha na watetezi hawa ambao hawajasoma sheria ndiyo hujiita wakili aliyesomea kazi hiyo ya kutetea ‘alias’ ‘wakili msomi’ wenzetu wanajiita ‘a learned lawyer’
Na mimi ndio nimejua leo hili. Asante
 
Habari wadau

Kuna mambo yananitatiza nashindwa kuyaelewa, hivi yale mawigi wanayovaa Majaji kichwani yana umuhimu gani au Yana maana gani? Mimi naona ni kama utumwa wa fikra tu.

Mtu mweusi kuvaa mawigi meupe kichwani ni upuuzi na hii inaonesha ni kiasi gani waafrika bado tunatawaliwa, tunashindwa hata kujikwamua kwenye mawigi mengine tutaweza?
Wale ni watumwa wa kikoloni maana hata sharia wanazozitumia niza wakoloni
 
wazungu wenyewe si wanavaa pia hebu fuatilia mahakama za kimataifa, ukitaka hivyo hata majoho wasivae basi.. Ile ni sawa na uniform tu.. Wengine huvaa kofia na ile ni sawa na kofia tu..
Habari wadau

Kuna mambo yananitatiza nashindwa kuyaelewa, hivi yale mawigi wanayovaa Majaji kichwani yana umuhimu gani au Yana maana gani? Mimi naona ni kama utumwa wa fikra tu.

Mtu mweusi kuvaa mawigi meupe kichwani ni upuuzi na hii inaonesha ni kiasi gani waafrika bado tunatawaliwa, tunashindwa hata kujikwamua kwenye mawigi mengine tutaweza?
 
Back
Top Bottom