Kwanza ungeleta historia ya hayo mawigi ( blonde wigs) Ili watu waelewe hoja yakomawigi wanayovaa Majaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza ungeleta historia ya hayo mawigi ( blonde wigs) Ili watu waelewe hoja yakomawigi wanayovaa Majaji
Hakuna ukoloni wowote ni utaratibu tu kama mavazi mengine. Hata muundo mzima wa kimahakama ni muundo tuliorithi toka kwa wakoloni. Muundo mzima wa nchi na mihimili yake tumerithi kutoka kwa wakoloni.Wale ni watumwa wa kikoloni maana hata sharia wanazozitumia niza wakoloni
Mkuu Hakuna field duniani iliyohifadhi culture zake toka kuanzishwa mpaka sasa kama za law Angalia Mawakili/Wanasheria/Majaji/Mahakimu". Kuanzia mavazi mpaka ethics zake... Field nyingine zinabadilika kila kukicha, ila hii kuanzia umeanza mpaka sasa ina heshimiwa na kuhifadhiwa kwa hali na mali. Issue ya kuvaa ma wigi na majoho kwa mawakili na majdge ni swala la Judiciary Ethic and Culture, sio la kikoloni wala la kitumwa. Tafadhali mwambie mleta uzi akafanye research vizuri, natumai akifanya ataufuta huu uzi wake.Wakuu mnaojua kwa nini wanavaa hayo mawigi meupe njooni mtujuze huku
~ umevuruga sana...majibu yako yanarudi kule Kule kwa jamaa,sioni tofauti ya ulichokijibu na maelezo ya jamaa...muundo wa kikiloni unapotumika ndio ukoloni wenyewe mkuu.Hakuna ukoloni wowote ni utaratibu tu kama mavazi mengine. Hata muundo mzima wa kimahakama ni muundo tuliorithi toka kwa wakoloni. Muundo mzima wa nchi na mihimili yake tumerithi kutoka kwa wakoloni.
Ndo ukoloni wenyewe Keanu hatuna utarstibu wa kuafrica wa kutoa haki sijui kwa Kabila lako ila kwetu tuna Mfumo uliokamilika kuanzia hawala mahayana Dini elimu nakadhalikaHakuna ukoloni wowote ni utaratibu tu kama mavazi mengine. Hata muundo mzima wa kimahakama ni muundo tuliorithi toka kwa wakoloni. Muundo mzima wa nchi na mihimili yake tumerithi kutoka kwa wakoloni.
Usiondoe wigi tu. Ondoa na mfumo mzima wa nchi na mihimili yake turudi kuchimba mizizi.~ umevuruga sana...majibu yako yanarudi kule Kule kwa jamaa,sioni tofauti ya ulichokijibu na maelezo ya jamaa...muundo wa kikiloni unapotumika ndio ukoloni wenyewe mkuu.
Mkuu hata sijaelewa comment yakoNdo ukoloni wenyewe Keanu hatuna utarstibu wa kuafrica wa kutoa haki sijui kwa Kabila lako ila kwetu tuna Mfumo uliokamilika kuanzia hawala mahayana Dini elimu nakadhalika
Acheni wivu mawakili wasomi manake kila siku wanasoma vitabu vya sheria hukumu mpya ili waendane na kasi ya mabadiriko ya sheria kila wakati ili waweze kulinda maslahi ya wateja wao.....Wanapenda sana sifa....pia sioni hata sababu ya mawakili kujiita wakili msomi
Unajipotosha. ....Fikiri upya!Ni majigambo ya kuwaabudu wakoloni, na hata utisho na vitisho vimeakisi ukoloni. Vomiting.!
Unajipotosha. ....Fikiri upya!
Jina lako lenyewe umeandika kizungu, kuiga hao hao unaowaponda, tukikuuliza hilo neno "Blood of Jesus" sio umeandika kwa hiyo lughanya hao mnawaowaponda.Kwa kweli inashangaza sana.
Wazungu walitukamata sana. Shida ilianzia kwa mababu zetu naona inaendelea.
Wewe mwenyewe mpaka leo hii unawaabudu hao wakoloni kwa jina lako hapa Jf, Hilo jina lako la "Galileo_Gaucho" lina maana gani, je majina yako halisi au ni majina ya hao wakoloni???Ni majigambo ya kuwaabudu wakoloni, na hata utisho na vitisho vimeakisi ukoloni. Vomiting.!
Acheni wivu mawakili wasomi manake kila siku wanasoma vitabu vya sheria hukumu mpya ili waendane na kasi ya mabadiriko ya sheria kila wakati ili waweze kulinda maslahi ya wateja wao.....
Inaonekana hili neno msomi linakuchoma sana!!!?
hukusoma nini bro!!?
Kutofautisha spika na wabunge wengine...sawa sawa na kutofautisha commissioner na rank and file ranks (kwq polisi)Hivi kwa Nini Spika anavaa let me joho Bungeni? Si wangekuwa wanavaa tu Kama wabunge Wengine?
Kama una jibu weka hapa mkuu kwa faida ya wote ambao hawafahamu hilo.Mwanangu soma vitabu-lugombo makanta.
Usiondoe wigi tu. Ondoa na mfumo mzima wa nchi na mihimili yake turudi kuchimba mizizi.
[/QUOTE
Yaani wewe unaona kuchimba mizizi ni aibu wakati ndio asili yako...haya maserikali yote hapo chini ya mkono wa sheria ya mzungu MZEE hata uone ndio ustaarabu.
Nakupa sababu unaleta kelele....Hii haiwezi kuwa sababu. Kila kada wasomi wake husoma kila siku kwenda sawa na kasi ya tecnologia na maendeleo. Kwa hio hao pia tuwaite mfano Eng msomi au Architect msomi etcetc?
Wewe mwenyewe mpaka leo hii unawaabudu hao wakoloni kwa jina lako hapa Jf, Hilo jina lako la "Galileo_Gaucho" lina maana gani, je majina yako halisi au ni majina ya hao wakoloni???