Je, ni sahihi kwa majaji kuvaa mawigi ya kikoloni katika zama hizi?

Je, ni sahihi kwa majaji kuvaa mawigi ya kikoloni katika zama hizi?

Hii hoja ya wigi aliianzisha Julius Malema kwa kuzunfumza mnategemea maamuzi ya majaji wa Zimbabwe kuwa tofauti na mlengo wa Wazungu ikiwa wamevaa Wigi ili kufuata amri kutoka Ulaya na akauliza kwa nini wasivae black wig badala ya white wig kama kuna ulazima...
 
Hii hoja ya wigi aliianzisha Julius Malema kwa kuzunfumza mnategemea maamuzi ya majaji wa Zimbabwe kuwa tofauti na mlengo wa Wazungu ikiwa wamevaa Wigi ili kufuata amri kutoka Ulaya na akauliza kwa nini wasivae black wig badala ya white wig kama kuna ulazima...
Ni kweli kabisa!
 
Zimbabwe waicharukia serikali kwa kutumia mamilioni kununua mawigi ya majaji
 
Habari wadau

Kuna mambo yananitatiza nashindwa kuyaelewa, hivi yale mawigi wanayovaa Majaji kichwani yana umuhimu gani au Yana maana gani? Mimi naona ni kama utumwa wa fikra tu.

Mtu mweusi kuvaa mawigi meupe kichwani ni upuuzi na hii inaonesha ni kiasi gani waafrika bado tunatawaliwa, tunashindwa hata kujikwamua kwenye mawigi mengine tutaweza?
 
Habari wadau

Kuna mambo yananitatiza nashindwa kuyaelewa, hivi yale mawigi wanayovaa Majaji kichwani yana umuhimu gani au Yana maana gani? Mimi naona ni kama utumwa wa fikra tu.

Mtu mweusi kuvaa mawigi meupe kichwani ni upuuzi na hii inaonesha ni kiasi gani waafrika bado tunatawaliwa, tunashindwa hata kujikwamua kwenye mawigi mengine tutaweza?
Na yale ya madiwani nayo ni vipi...?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaaa mkuu hili swali lako limenifikilisha mno sababu ni kweli lile wigi ni la kazi gani limepitwa na wakati,
Mzee mzima mkeo anavaa wigi nyumbani na wewe ukienda kazini unavaa wigi

Sasa nywele za kichina zitaishi lini kama viongozi wetu ndio mawigi ndio sare yao.
 
Back
Top Bottom