Hapo pia wanatofautisha Jaji na maofisa Wengine wa mahakamaKutofautisha spika na wabunge wengine...sawa sawa na kutofautisha commissioner na rank and file ranks (kwq polisi)
Mavazi ya aina nyingine yatumike kuleta utofauti wa ranks, mawigi ya kizungu ni ukoloni wa akiliHapo pia wanatofautisha Jaji na maofisa Wengine wa mahakama
Kama tuachane na kila kitu basi tuanze kuvaa kama wale Bushmen maana huko ndiko asili yetu. Acha kuva suruali, skirt wala chupi. Haya majaji wanavaa hivyo kuonyesha MAMLAKA YAO. Akirudi nyumbani ni yule yule juzi, jana na leo. Akivaa kama afsa wa kawaida kuna kitu kinapungua sana kiutendaji hata kama Rais ameshitakiwa haileti uzito akiwa na nywele kipiripiri chake.Hivi huu utaratibu wa ukoloni mamboleo na utumwa wa rejareja wa kuvalishana mawigi ya kizungu (blonde wigs) ni nini?
Hivi tuko huru kweli?
Na hii common wealth ambao ni muunganiko wa nchi zilizotawaliwa na uingereza ni siupendi.
View attachment 863469
View attachment 863470
==========================
Update: 21/11/2024
View: https://www.instagram.com/reel/DCDktuGN6ln/?igsh=MTczcWtrd2FuOTlmMA==
Nani kasema tuachane na kila kitu, tuachane na ya hovyo yanyoonyesha ukoloni mamboleo, mamlaka hayaonyeshwi kwa wigi pekee, anaweza akavalishwa hata batiki yenye mshono aina ya kipekee. kuvaa mawigi blonde ya kizungu ni utumwa wa kifikraKama tuachane na kila kitu basi tuanze kuvaa kama wale Bushmen maana huko ndiko asili yetu. Acha kuva suruali, skirt wala chupi. Haya majaji wanavaa hivyo kuonyesha MAMLAKA YAO. Akirudi nyumbani ni yule yule juzi, jana na leo. Akivaa kama afsa wa kawaida kuna kitu kinapungua sana kiutendaji hata kama Rais ameshitakiwa haileti uzito akiwa na nywele kipiripiri chake.
Naona cultural renaissance kwa Mwanamajumui kijana wa Afrika Traore. Wengi waliandika kwenye Uzi huu kuwa mawigi yale ni kasumba za ukoloni na kuiga kwa kutojitambua (mimicking) kwa watangulizi katika nchi zilizokuwa makoloni ya watawala wa Kiyuropa na hata Waajemi.Hivi huu utaratibu wa ukoloni mamboleo na utumwa wa rejareja wa kuvalishana mawigi ya kizungu (blonde wigs) ni nini?
Hivi tuko huru kweli?
Na hii common wealth ambao ni muunganiko wa nchi zilizotawaliwa na uingereza ni siupendi.
View attachment 863469
View attachment 863470
==========================
Update: 21/11/2024
View: https://www.instagram.com/reel/DCDktuGN6ln/?igsh=MTczcWtrd2FuOTlmMA==