Je, ni sahihi kwa Rais kufanya Maamuzi ya Kiserikali katika Sikukuu Kubwa za Kiimani?

Je, ni sahihi kwa Rais kufanya Maamuzi ya Kiserikali katika Sikukuu Kubwa za Kiimani?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nategemea na hata Sikukuu ya Idi (ya Wiki Mbili zijazo) na ile ya Krismasi bila kuisahau ile ya Idi al Haji na zenyewe pia Rais Samia ataendeleza huu Utamaduni aliouanzisha leo wenye kutuachia Maswali mengi Vichwani wale Binadamu Wachache sana tuliobarikiwa Akili Kubwa na Mwenyezi Mungu.

Je, tukihisi kuwa Maamuzi ya Kiserikali (ya Kiuteuzi na ya Kutengua) yaliyofanyika leo (Sikukuu ya Pasaka) yana Lengo ya Kufunika Msimamo wa Makamu wa Rais alioutoa leo wa Kupinga Ushoga nchini Tanzania ambao mpaka GENTAMYCINE naandika huu Uzi bado sijasikia tamko la Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tutakuwa tunakosea?

Je, GENTAMYCINE na Wachache tuliobarikiwa Akili Kubwa tukihisi kuwa huenda Maamuzi ya Kiserikali (ya Kutengua na Kuteua) yamefanyika Makusudi leo ( Sikukuu ya Pasaka ) ili Kufunika Hotuba mbalimbali za Viongozi wa Dini za Kukemea Mambo ya Misingi ili Media ya Tanzania (ambayo nayo kwa bahati mbaya imeshakubali kuwekwa Mfukoni na Mamlaka) Kesho (Easter Monday) wote waje na Taarifa ya Rais na za Wengine ziwekwe Kapuni (zisiripotiwe kwa ukubwa na uzito) huo tutakuwa tunakosea?

Endeleeni kudhani Tanzania hakuna Watu wenye Akili na Maarifa mengi kuwazidi wenye Honorary Doctorates ambazo nazo pia haziwastahili, ila zimetolewa Kinafiki tu na Kujipendekeza (Kujikomba) Kwao.
 
Kuna kifungu Cha sheria kinachokataza kufanya hayo siku ya pasaka??

Kuna sheria inayokataza kufanya hayo siku ya IDDI?

Upopoma wako na udini ndio unajifanya uone ni Kosa ila serikali haina dini na lolote linaweza kufanyika siku yote

Unajikuta una akili na unajua kila kitu kumbe zwazwa mmoja tu
 
Kuna kifungu Cha sheria kinachokataza kufanya hayo siku ya pasaka??

Kuna sheria inayokataza kufanya hayo siku ya IDDI???

Upopoma wako na udini ndio unajifanya uone ni Kosa ila serikali haina dini na lolote linaweza kufanyika siku yote

Unajikuta una akili na unajua kila kitu kumbe zwazwa mmoja tu
Umekumbuka kumeza Leo ( hasa Usiku huu ) Kidonge chako cha Uwendawazimu unaokusumbua kwa muda sasa?
 
Kuna kifungu Cha sheria kinachokataza kufanya hayo siku ya pasaka??

Kuna sheria inayokataza kufanya hayo siku ya IDDI???

Upopoma wako na udini ndio unajifanya uone ni Kosa ila serikali haina dini na lolote linaweza kufanyika siku yote

Unajikuta una akili na unajua kila kitu kumbe zwazwa mmoja
Tena anajisifia eti akili kubwa.
 
Wew Popoma GENTAMYCINE nahisi akili yako ilikuwa kweny kitovu wakt hujazaliwa sasa ulivyozaliwa walivyokikata na kwenda kukifukia Kwenye Chemba ya choo cha stendi na akili yko ndo ikabaki huko

NB: Nenda kafukue kitovu chako ukiweke mfukoni labd akili ztakuludi kichwa Mende we.
 
Wew Popoma GENTAMYCINE nahisi akili yako ilikuwa kweny kitovu wakt hujazaliwa sasa ulivyozaliwa walivyokikata na kwenda kukifukia Kwenye Chemba ya choo cha stendi na akili yko ndo ikabaki huko

NB: Nenda kafukue kitovu chako ukiweke mfukoni labd akili ztakuludi kichwa Mende we.
Angalia ulivyo Mpumbavu yaani kwa Kuniogopa GENTAMYCINE umeamua usinijibu kwa ID yako iliyozoeleka na umeamua Kutumia alternative ID yako Kunikabili.

Kweli GENTAMYCINE ni Kiboko ya Nuts.
 
Wew Popoma GENTAMYCINE nahisi akili yako ilikuwa kweny kitovu wakt hujazaliwa sasa ulivyozaliwa walivyokikata na kwenda kukifukia Kwenye Chemba ya choo cha stendi na akili yko ndo ikabaki huko

NB: Nenda kafukue kitovu chako ukiweke mfukoni labd akili ztakuludi kichwa Mende we.
Angalia ulivyo Mpumbavu yaani kwa Kuniogopa GENTAMYCINE umeamua usinijibu kwa ID yako iliyozoeleka na umeamua Kutumia alternative ID yako Kunikabili.

Kweli GENTAMYCINE ni Kiboko ya Nuts.
 
Back
Top Bottom