Je, ni sahihi kwa Rais kufanya Maamuzi ya Kiserikali katika Sikukuu Kubwa za Kiimani?

Je, ni sahihi kwa Rais kufanya Maamuzi ya Kiserikali katika Sikukuu Kubwa za Kiimani?

Kuna kifungu Cha sheria kinachokataza kufanya hayo siku ya pasaka??

Kuna sheria inayokataza kufanya hayo siku ya IDDI???

Upopoma wako na udini ndio unajifanya uone ni Kosa ila serikali haina dini na lolote linaweza kufanyika siku yote

Unajikuta una akili na unajua kila kitu kumbe zwazwa mmoja tu
Serikali Haina dini hata ikitaka kula kitimoto itakula tu
 
Nategemea na hata Sikukuu ya Idi (ya Wiki Mbili zijazo) na ile ya Krismasi bila kuisahau ile ya Idi al Haji na zenyewe pia Rais Samia ataendeleza huu Utamaduni aliouanzisha leo wenye kutuachia Maswali mengi Vichwani wale Binadamu Wachache sana tuliobarikiwa Akili Kubwa na Mwenyezi Mungu.

Je, tukihisi kuwa Maamuzi ya Kiserikali (ya Kiuteuzi na ya Kutengua) yaliyofanyika leo (Sikukuu ya Pasaka) yana Lengo ya Kufunika Msimamo wa Makamu wa Rais alioutoa leo wa Kupinga Ushoga nchini Tanzania ambao mpaka GENTAMYCINE naandika huu Uzi bado sijasikia tamko la Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tutakuwa tunakosea?

Je, GENTAMYCINE na Wachache tuliobarikiwa Akili Kubwa tukihisi kuwa huenda Maamuzi ya Kiserikali (ya Kutengua na Kuteua) yamefanyika Makusudi leo ( Sikukuu ya Pasaka ) ili Kufunika Hotuba mbalimbali za Viongozi wa Dini za Kukemea Mambo ya Misingi ili Media ya Tanzania (ambayo nayo kwa bahati mbaya imeshakubali kuwekwa Mfukoni na Mamlaka) Kesho (Easter Monday) wote waje na Taarifa ya Rais na za Wengine ziwekwe Kapuni (zisiripotiwe kwa ukubwa na uzito) huo tutakuwa tunakosea?

Endeleeni kudhani Tanzania hakuna Watu wenye Akili na Maarifa mengi kuwazidi wenye Honorary Doctorates ambazo nazo pia haziwastahili, ila zimetolewa Kinafiki tu na Kujipendekeza (Kujikomba) Kwao.
Serekali Haina dini , take it easy, acha udini mkuu

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Nategemea na hata Sikukuu ya Idi (ya Wiki Mbili zijazo) na ile ya Krismasi bila kuisahau ile ya Idi al Haji na zenyewe pia Rais Samia ataendeleza huu Utamaduni aliouanzisha leo wenye kutuachia Maswali mengi Vichwani wale Binadamu Wachache sana tuliobarikiwa Akili Kubwa na Mwenyezi Mungu.

Je, tukihisi kuwa Maamuzi ya Kiserikali (ya Kiuteuzi na ya Kutengua) yaliyofanyika leo (Sikukuu ya Pasaka) yana Lengo ya Kufunika Msimamo wa Makamu wa Rais alioutoa leo wa Kupinga Ushoga nchini Tanzania ambao mpaka GENTAMYCINE naandika huu Uzi bado sijasikia tamko la Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tutakuwa tunakosea?

Je, GENTAMYCINE na Wachache tuliobarikiwa Akili Kubwa tukihisi kuwa huenda Maamuzi ya Kiserikali (ya Kutengua na Kuteua) yamefanyika Makusudi leo ( Sikukuu ya Pasaka ) ili Kufunika Hotuba mbalimbali za Viongozi wa Dini za Kukemea Mambo ya Misingi ili Media ya Tanzania (ambayo nayo kwa bahati mbaya imeshakubali kuwekwa Mfukoni na Mamlaka) Kesho (Easter Monday) wote waje na Taarifa ya Rais na za Wengine ziwekwe Kapuni (zisiripotiwe kwa ukubwa na uzito) huo tutakuwa tunakosea?

Endeleeni kudhani Tanzania hakuna Watu wenye Akili na Maarifa mengi kuwazidi wenye Honorary Doctorates ambazo nazo pia haziwastahili, ila zimetolewa Kinafiki tu na Kujipendekeza (Kujikomba) Kwao.
shida iko wapi?
 
Nategemea na hata Sikukuu ya Idi (ya Wiki Mbili zijazo) na ile ya Krismasi bila kuisahau ile ya Idi al Haji na zenyewe pia Rais Samia ataendeleza huu Utamaduni aliouanzisha leo wenye kutuachia Maswali mengi Vichwani wale Binadamu Wachache sana tuliobarikiwa Akili Kubwa na Mwenyezi Mungu.

Je, tukihisi kuwa Maamuzi ya Kiserikali (ya Kiuteuzi na ya Kutengua) yaliyofanyika leo (Sikukuu ya Pasaka) yana Lengo ya Kufunika Msimamo wa Makamu wa Rais alioutoa leo wa Kupinga Ushoga nchini Tanzania ambao mpaka GENTAMYCINE naandika huu Uzi bado sijasikia tamko la Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tutakuwa tunakosea?

Je, GENTAMYCINE na Wachache tuliobarikiwa Akili Kubwa tukihisi kuwa huenda Maamuzi ya Kiserikali (ya Kutengua na Kuteua) yamefanyika Makusudi leo ( Sikukuu ya Pasaka ) ili Kufunika Hotuba mbalimbali za Viongozi wa Dini za Kukemea Mambo ya Misingi ili Media ya Tanzania (ambayo nayo kwa bahati mbaya imeshakubali kuwekwa Mfukoni na Mamlaka) Kesho (Easter Monday) wote waje na Taarifa ya Rais na za Wengine ziwekwe Kapuni (zisiripotiwe kwa ukubwa na uzito) huo tutakuwa tunakosea?

Endeleeni kudhani Tanzania hakuna Watu wenye Akili na Maarifa mengi kuwazidi wenye Honorary Doctorates ambazo nazo pia haziwastahili, ila zimetolewa Kinafiki tu na Kujipendekeza (Kujikomba) Kwao.
Kwa maamuzi haya yaliyofanyika siku ambayo wewe unapaswa kutubu dhambi zako jua yamefanyika kwa baraka za Mwenyezi Mungu!
 
Unashangaa hivyo? Yuko kwenye funga, ngoja funga iishe utaona tumbuatumbua kwa wale wadokozi wa fedha za umma. Ila hii ya kutengua wakati wa sikukuu haijakaa vizuri, angesubiri sikukuu ipite afanye yake
 
Kuna magazeti ya leo yameipa habari hii kichwa kikubwa wino mweusi huku habari za watumishi wa mungu na kukemea kwao kote ushoga zimeishia kuandikwa vichwa vidogo kana kwamba hazina uzito kwa taifa
 
Nategemea na hata Sikukuu ya Idi (ya Wiki Mbili zijazo) na ile ya Krismasi bila kuisahau ile ya Idi al Haji na zenyewe pia Rais Samia ataendeleza huu Utamaduni aliouanzisha leo wenye kutuachia Maswali mengi Vichwani wale Binadamu Wachache sana tuliobarikiwa Akili Kubwa na Mwenyezi Mungu.

Je, tukihisi kuwa Maamuzi ya Kiserikali (ya Kiuteuzi na ya Kutengua) yaliyofanyika leo (Sikukuu ya Pasaka) yana Lengo ya Kufunika Msimamo wa Makamu wa Rais alioutoa leo wa Kupinga Ushoga nchini Tanzania ambao mpaka GENTAMYCINE naandika huu Uzi bado sijasikia tamko la Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tutakuwa tunakosea?

Je, GENTAMYCINE na Wachache tuliobarikiwa Akili Kubwa tukihisi kuwa huenda Maamuzi ya Kiserikali (ya Kutengua na Kuteua) yamefanyika Makusudi leo ( Sikukuu ya Pasaka ) ili Kufunika Hotuba mbalimbali za Viongozi wa Dini za Kukemea Mambo ya Misingi ili Media ya Tanzania (ambayo nayo kwa bahati mbaya imeshakubali kuwekwa Mfukoni na Mamlaka) Kesho (Easter Monday) wote waje na Taarifa ya Rais na za Wengine ziwekwe Kapuni (zisiripotiwe kwa ukubwa na uzito) huo tutakuwa tunakosea?

Endeleeni kudhani Tanzania hakuna Watu wenye Akili na Maarifa mengi kuwazidi wenye Honorary Doctorates ambazo nazo pia haziwastahili, ila zimetolewa Kinafiki tu na Kujipendekeza (Kujikomba) Kwao.
Na wewe unajihesabu una akili? Huna tofauti na Mpwayungu. Pambana na maisha we huwezi kumshauri rais.
 
Shangaa kuna habari nyingine hata haina hadhi ya kuandikwa ukurusa wa mwanzo wa magazeti imepewa promo, ni habari ya yule sheikh anayeendesha mashindano ya kusoma na kukariri kitabu chao kutoa offer kwa vijana 50 wasio na uwezo wa kutoa mahari watakapohitaji kuoa. Sasa suala la kuoa nalo ni la kupewa coverage kwenye front page za magazeti? Kijana gani huyo mzembe kiasi hicho akaozwe na kulipiwa mahari, huyo mwanamke si ataleta dharau kwa mume wake kwa kumuona hana uwezo mpaka asaidiwe kulipa mahari, je ataweza kumudu kutunza familia? Halafu huyo sheikh yuko tayari kulipia mahahari hata vijana wasiokuwa wa dini yake wakijitokeza kuhitaji huo msaada wa mahari kisha wakafunge ndoa kwa taratibu za imani na dini zao?
 
Nategemea na hata Sikukuu ya Idi (ya Wiki Mbili zijazo) na ile ya Krismasi bila kuisahau ile ya Idi al Haji na zenyewe pia Rais Samia ataendeleza huu Utamaduni aliouanzisha leo wenye kutuachia Maswali mengi Vichwani wale Binadamu Wachache sana tuliobarikiwa Akili Kubwa na Mwenyezi Mungu.

Je, tukihisi kuwa Maamuzi ya Kiserikali (ya Kiuteuzi na ya Kutengua) yaliyofanyika leo (Sikukuu ya Pasaka) yana Lengo ya Kufunika Msimamo wa Makamu wa Rais alioutoa leo wa Kupinga Ushoga nchini Tanzania ambao mpaka GENTAMYCINE naandika huu Uzi bado sijasikia tamko la Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tutakuwa tunakosea?

Je, GENTAMYCINE na Wachache tuliobarikiwa Akili Kubwa tukihisi kuwa huenda Maamuzi ya Kiserikali (ya Kutengua na Kuteua) yamefanyika Makusudi leo ( Sikukuu ya Pasaka ) ili Kufunika Hotuba mbalimbali za Viongozi wa Dini za Kukemea Mambo ya Misingi ili Media ya Tanzania (ambayo nayo kwa bahati mbaya imeshakubali kuwekwa Mfukoni na Mamlaka) Kesho (Easter Monday) wote waje na Taarifa ya Rais na za Wengine ziwekwe Kapuni (zisiripotiwe kwa ukubwa na uzito) huo tutakuwa tunakosea?

Endeleeni kudhani Tanzania hakuna Watu wenye Akili na Maarifa mengi kuwazidi wenye Honorary Doctorates ambazo nazo pia haziwastahili, ila zimetolewa Kinafiki tu na Kujipendekeza (Kujikomba) Kwao.
Mkuu
Pitia uzi huu ndio utabaini tuna mtu wa aina gani. Hapo ikulu hawapo pamoja kuna wawili wanamisimamo inaendana na wananchi lakini kuna mmoja mwenye kiti kikubwa ana msimamo wa ughaibuni
Tazama kilichosemwa hapa: https://www.jamiiforums.com/threads/kumtoa-nyoka-pangoni.2084602/
 
Unashangaa hivyo? Yuko kwenye funga, ngoja funga iishe utaona tumbuatumbua kwa wale wadokozi wa fedha za umma. Ila hii ya kutengua wakati wa sikukuu haijakaa vizuri, angesubiri sikukuu ipite afanye yake
Rais Samia anatudharau sana Moyoni Wakristo, ila Usoni mwake Kinafiki kabisa anajifanya Kutupenda mno.
 
President hapangiwi sawa.Na ndio maana kafanya
 
Shangaa kuna habari nyingine hata haina hadhi ya kuandikwa ukurusa wa mwanzo wa magazeti imepewa promo, ni habari ya yule sheikh anayeendesha mashindano ya kusoma na kukariri kitabu chao kutoa offer kwa vijana 50 wasio na uwezo wa kutoa mahari watakapohitaji kuoa. Sasa suala la kuoa nalo ni la kupewa coverage kwenye front page za magazeti? Kijana gani huyo mzembe kiasi hicho akaozwe na kulipiwa mahari, huyo mwanamke si ataleta dharau kwa mume wake kwa kumuona hana uwezo mpaka asaidiwe kulipa mahari, je ataweza kumudu kutunza familia? Halafu huyo sheikh yuko tayari kulipia mahahari hata vijana wasiokuwa wa dini yake wakijitokeza kuhitaji huo msaada wa mahari kisha wakafunge ndoa kwa taratibu za imani na dini zao?
We no longer have a Strong and Serious Media while We're also very Unfortunate to have a Head of State who is incompetent.
 
Back
Top Bottom