Je, ni sahihi kwa Sarah kudai mgawanyo wa mali ambazo hakuhusika nazo kuzichuma? Tuendelee kukataa ndoa?

Je, ni sahihi kwa Sarah kudai mgawanyo wa mali ambazo hakuhusika nazo kuzichuma? Tuendelee kukataa ndoa?

Kwamba wakati mwenzake anapamba na kukata maubo huku bongo, yeye alikuwa anakula raha Italy, ila ghafla anakuja mtuckudai apewe nyumba na mali zote, na mahakama imekubali, kwamba tuendelee kukataa ndoa?

Diamond platnumz ana akili sana, msimlaumu kwa uamuzi wake wa kuzaa na kulea watoto wake tu, wanawake hawana huruma na mali za wanaume, ni kama majini hivi, khaa!! Ona lisura lake huyu Sarah, kama shetani limetumwa!

Katika hili serikali iingilie kati, haiwezekani mtu anaejitumankwa nguvu zote ahujumiwe na mgeni wazi wazi, hibi ingekuwa mwanamke wa kiTz kaenda kufungua kesi kama hii Italy angesikilizwa, tulindane dhidi ya hujuma toka nje ya nchi..; huyu Saraha mbona hakwenda kwa muuza chipsi tandale bali kamfuata harminize, alifuata nini kama sio pesa?!
Link hapo chini inamaelelezo yote


Kataeni ndoa kumbatiweni
 
Kwamba wakati mwenzake anapamba na kukata maubo huku bongo, yeye alikuwa anakula raha Italy, ila ghafla anakuja mtuckudai apewe nyumba na mali zote, na mahakama imekubali, kwamba tuendelee kukataa ndoa?

Diamond platnumz ana akili sana, msimlaumu kwa uamuzi wake wa kuzaa na kulea watoto wake tu, wanawake hawana huruma na mali za wanaume, ni kama majini hivi, khaa!! Ona lisura lake huyu Sarah, kama shetani limetumwa!

Katika hili serikali iingilie kati, haiwezekani mtu anaejitumankwa nguvu zote ahujumiwe na mgeni wazi wazi, hibi ingekuwa mwanamke wa kiTz kaenda kufungua kesi kama hii Italy angesikilizwa, tulindane dhidi ya hujuma toka nje ya nchi..; huyu Saraha mbona hakwenda kwa muuza chipsi tandale bali kamfuata harminize, alifuata nini kama sio pesa?!
Link hapo chini inamaelelezo yote


Huyo dogo alibebwa sana na Sara sema kwa tamaa zake akamkimbiza. ila % ya mali za Konde zimetokana na huyo mwanadaa. arudishe mali za watu. dunia inaenda kwa vielelezo, kama kashinda kesi maana yake ana nyaraka za kumiliki hizo mali
 
Angalia na watu wenywe bado utoto mwingi wa kutafuta public attention kila siku kujipost unafikria hyo ndoa wataweza kweli🤣.

Ndoa inataka ushamaliza utoto wote hata Diamond bado utoto mwingi hawezi ndoa na anajijua kabisa...Ndoa sio rahisi wakina wolper na lulu wametulia wanaangalia Maisha wameweka utoto pembeni
Unauhakika wametulia .Viache tu ndugu yangu
 
Dawa ni kuoa bila kufunga ndoa tu, atleast nguvu yake mahakamani inapungua, tofauti na ukisaini lile licheti la ndoa, umekwisha, Halafu Sarah mwenyewe hata hajamzalia huyo Harmonize, inauma sana, kwahiyo hizo mali sasa zitaenda kuliwa na mwanaume mwingine.., aaghh.., mi nitaua mtu.., potelea mbali
Kabla hujalaumu kitu pata wasaa wa kumfahamu Sarah kwanza, Hajatokea from broke family. Wanamiliki family business yeye na mamaake..... Alimpenda konde akawekeza kwake, so practically here konde alimtumia Sarah. Walivyoachana Sarah lazima adai chake sababu ana mkono hapo.

Sababu ya mihemko mnalaumu wanawake kwa kila kitu, mnadhani wanaume hamkosei? Mnaongea as if wanawake wote wanachangia 0 kwenye familia, Kuna sehemu nyingi tu wanawake pia wamekua victims, ndio maana kuna sheria.

Kikubwa sheria zibadilishwe aliyeprovide more apate mgao more.
 
Kabla hujalaumu kitu pata wasaa wa kumfahamu Sarah kwanza, Hajatokea from broke family. Wanamiliki family business yeye na mamaake..... Alimpenda konde akawekeza kwake, so practically here konde alimtumia Sarah. Walivyoachana Sarah lazima adai chake sababu ana mkono hapo.

Sababu ya mihemko mnalaumu wanawake kwa kila kitu, mnadhani wanaume hamkosei? Mnaongea as if wanawake wote wanachangia 0 kwenye familia, Kuna sehemu nyingi tu wanawake pia wamekua victims, ndio maana kuna sheria.

Kikubwa sheria zibadilishwe aliyeprovide more apate mgao more.
Wakati anawekeza kwake, yeye Harmonize alikuwa anawekeza kwa nani?
 
Hivi mtu kama Harmonize anatoa ngoma kali zinahit dunia nzima akose mali kabisa, yaani ziwe za mwanamke? Na mali za Diamond ni za nani, za Zari sio?
Mkuu huyo dada ana hela Sana hata hizo range ambazo harmo alimuonga kajala zilikuwa za Sara hata deni la Wasafi la 600m karibia hela yote imetoka kwa sara.Harmonize hela nyingi kakamuliwa na mtoto wa mjini kajala na zimeisha ila kile kipindi yupo na Sara, Sara alikuwa anamwezesha alafu anaenda kuonga kwa kina wolper
 
Kabla hujalaumu kitu pata wasaa wa kumfahamu Sarah kwanza, Hajatokea from broke family. Wanamiliki family business yeye na mamaake..... Alimpenda konde akawekeza kwake, so practically here konde alimtumia Sarah. Walivyoachana Sarah lazima adai chake sababu ana mkono hapo.

Sababu ya mihemko mnalaumu wanawake kwa kila kitu, mnadhani wanaume hamkosei? Mnaongea as if wanawake wote wanachangia 0 kwenye familia, Kuna sehemu nyingi tu wanawake pia wamekua victims, ndio maana kuna sheria.

Kikubwa sheria zibadilishwe aliyeprovide more apate mgao more.
Jamaa kaongea bila kujua anaongea kitu gani
 
Back
Top Bottom