Je, ni sahihi kwa Sarah kudai mgawanyo wa mali ambazo hakuhusika nazo kuzichuma? Tuendelee kukataa ndoa?

Je, ni sahihi kwa Sarah kudai mgawanyo wa mali ambazo hakuhusika nazo kuzichuma? Tuendelee kukataa ndoa?

Kuna kitu kinaitwa pre-nups agreement. Inadidi tukijifunze hiki kitu.
pre-nups ndo dili, sijasoma sheria lkn kwa ufaham wangu mdg na utafiti nmeona kila tatizo linalotengenezwa na sheria basi lina solution humohumo kwenye sheria, na hio ndo kazi ya mawakili kuspin hadi kugeuza mambo.

Weka terms zako khs mali kwenye prenup then dem asain, kama hatokubali basi huyo mchumia tumbo tu na itakua ni indicator nzr kwako kumuelewa zaidi.
 
Angalia na watu wenywe bado utoto mwingi wa kutafuta public attention kila siku kujipost unafikria hyo ndoa wataweza kweli🤣.

Ndoa inataka ushamaliza utoto wote hata Diamond bado utoto mwingi hawezi ndoa na anajijua kabisa...Ndoa sio rahisi wakina wolper na lulu wametulia wanaangalia Maisha wameweka utoto pembeni
Halafu ukute umewafuga wanne wakikugeuka daadeki! Mmoja kizungumkuti; wanne ni balaa. Dunia imebadilika.
 
Watu hawajui tu huyo harmo alikuwa marioo kwa sarah dada wa watu anataka mgao wake yeye analeta uswahili. Sio wanawake wote wanaingia kwenye ndoa ni makapuku wengine wako vyema na wanawasaidia waume zao.
 
Itakuwa watu humu ndani hamumjui Sarah, Sarah ndio alikuwa anampa kiburi harmonize kipesa mama yake Sarah ana mahoteli ya kitalii kama yote Zanzibar, na pia ana hotel za kifarahi italy, harmonize alikuwa akisafiri nchi mbali mbali na yy ndo alikuwa akigharamia, Harmonize alikuwa akienda kucheza makamari casino ni pesa za sarah, magari aliyokuwa anaendesha harmonize ni ya sarah, pesa alizomlipa Diamond ili atoke wcb ni sarah kalipa mostly mali alizokuwa nazo harmo ni za sarah, ndo maana alikuwa ana vimba mno sarah familia yake ni ya kitajiri mno, so na mali nyingi kachuma yy so ni haki yake kupata haki yake.
 
Itakuwa watu humu ndani hamumjui Sarah, Sarah ndio alikuwa anampa kiburi harmonize kipesa mama yake Sarah ana mahoteli ya kitalii kama yote Zanzibar, na pia ana hotel za kifarahi italy, harmonize alikuwa akisafiri nchi mbali mbali na yy ndo alikuwa akigharamia, Harmonize alikuwa akienda kucheza makamari casino ni pesa za sarah, magari aliyokuwa anaendesha harmonize ni ya sarah, pesa alizomlipa Diamond ili atoke wcb ni sarah kalipa mostly mali alizokuwa nazo harmo ni za sarah, ndo maana alikuwa ana vimba mno sarah familia yake ni ya kitajiri mno, so na mali nyingi kachuma yy so ni haki yake kupata haki yake.
Sasa unaona ulivyo mpuuzi,
1.) kama mama yake ana mahaoteli si aende akadai urithi kwa mama yake?

2.) Wakati Harmonize alikuwa akisafiri nchi mbali mbali Sarah nae si alikuwepo wakila raha? Kwahiyo kamsafirisha kwa kujistarehesha, sasa starehe afanye yeye alafu aje kudai fidia tena kwa yule uliyemtumia kama chombo cha starehe? Ni kama Harmonize akamdai pesa Kajala kwa starehe walizokula wote

3.) Kama alimpa pesa za kucheza Casino, hizo pesa si zimeshaliwa? Sasa utadai vipi wakati ulimpa mtu pesa akacheze kamari, na unajua kabisa kamari kuna kuliwa, utadai vipi pesa ambayo imeshaliwa? Akawadai wenye macasino

4.)Kama magari anayoendesha Harmonize ni ya Sarah, sasa kuna haja gani ya kwenda kuyadai mahakamani, ingekuwa ni kiasi cha kwenda kuyachukua tu maana kadi ya gari ndio inaonyesha mmliki wa gari, unless kamuuzia na document zipo, basi yeye angeenda tu kuchukua magari yake

5.) Wakati anamlioe Diamond hizo pesa, walikubaliana kwamba atamrudishia kama mkopo, alitoa kama zawadi? Huwezi ukadai zawadi uliyompa mtu tena kwa hiari yako. Yeye Sarah akatafute tu Bwana wa kwenda kumdangia, hana mali aliyoacha kwa Harmonize

6.) Sarah angekuwa ndio mume, na Harmonize ndio mke, Sarah angeweza kwenda kumdai pesa Harmonize? Kwamba ukadai pesa uliyomuhonga mkeo? Wanawake wana utaahira mwingi sana, na hii ndio inawafanya kulemaa akili, jitegemeeni wenyewe mbwa nyie
 
Labda aliitoa harmo si alitangaza huyo bibie ni mama kijacho...
Aende sasa akaitafute alipoitoa, angekuwa walau amezaa, mwanaume hawezi kupata shida sana, lakini hata hujamzalia halafu unakuja kudai pesa? Kama ni nyumba nitaichoma hata moto tukose wote.., haiwezekani nyumba yangu aje kufugwa mwanaume mwingine
 
Kwamba wakati mwenzake anapamba na kukata maubo huku bongo, yeye alikuwa anakula raha Italy, ila ghafla anakuja mtuckudai apewe nyumba na mali zote, na mahakama imekubali, kwamba tuendelee kukataa ndoa?

Diamond platnumz ana akili sana, msimlaumu kwa uamuzi wake wa kuzaa na kulea watoto wake tu, wanawake hawana huruma na mali za wanaume, ni kama majini hivi, khaa!! Ona lisura lake huyu Sarah, kama shetani limetumwa!

Katika hili serikali iingilie kati, haiwezekani mtu anaejitumankwa nguvu zote ahujumiwe na mgeni wazi wazi, hibi ingekuwa mwanamke wa kiTz kaenda kufungua kesi kama hii Italy angesikilizwa, tulindane dhidi ya hujuma toka nje ya nchi..; huyu Saraha mbona hakwenda kwa muuza chipsi tandale bali kamfuata harminize, alifuata nini kama sio pesa?!
Link hapo chini inamaelelezo yote



Hapo process bado, maana kesi ni ya nje ya nchi. Kuna procedure nyingi tu.
 
Back
Top Bottom