Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kuna tetesi nimesikia kwamba Soko kuu la Kariakoo linataka kuhamishiwa Ubungo, kwamba watu badala ya kwemda hadi Kariakoo, badala yake wataishiantu Ubungo. Je, hii imekaaje kaaje, ni mtizamo juu ya hili?
Video chini ina maelezo ya ziada
Haliamishwi bana labda kama Walamba asali washalambishwa mzigo.
Huo mradi hapo Ubungo ulikuwa ni wa ku modernize biashara ya Kariakoo tu. Watakaotaka kuhamia watahamia hapo Ubungo ila ilichukua muda sana hadi watu wakaona kama uzushi.
Hilo soko la Ubungo ni mkataba wa miaka 30 baina ya serikali na mwekezaji wa kichina. Atauza vyumba vya biashara hapo katika kila floor na kutengeneza business hub baina ya china suppliers na Tanzania business people. Hii itaondoa ulazima wa Kwenda China direct maana suppliers mnaanza nao pale pale.