dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
Duuu kiko vizuri saizi, hapo kimefikisha 1l/16kmFundi alikiosha osha nikaweka lita 42 nimetembea km 708 kutoka dar hadi arusha bado nazunguka nacho.
Nimeweka dumu la mafuta kwenye buti. mpaka kizime ndo ntaongeza. View attachment 2118399