Je, ni sahihi kwa starlet yenye cc1300 kutembea kilomita 8 kwa lita moja ya petroli?

Je, ni sahihi kwa starlet yenye cc1300 kutembea kilomita 8 kwa lita moja ya petroli?

Naona imefika 804/42=19.14 km/l. badala ya 8km/l. Siyo mbaya
Kwenye injini kulikuwa na ki pipe cha kutoa hewa kilikuwa kina leak, kumbe pia injini ikifunguliwa inatoa vipande vivili kuna raba inavibana, mambo mengi ya kiufundi. mi nlikuwa najua kuangalia oil na maji.
 
Naomba na mm uniconnect na uyo fundi wako nami napitia tatizo kama lako, namiliki Toyota cami cc1297 yani inatembea 1l - 9km, naona inakula tofauti na gari zingine za size yake, msaada plz
 
Kesho naenda kufufua maana nilishachoka jamani, daaah.
1. Weka mafuta ya taa 1/4l kwenye engine. Badala ya mafuta ya taa unaweza kutumia engine flush
2. Washa gari yako na iache silence kwa dakika 10 au 15
3. Mwaga engine oil yote
4. Fungua sample na isafishe vizuri kwa kutumia mafuta ya taa
4. Baada ya kuisafisha sample irudishie na ifunge vizuri
5. Funga oil filter mpya
6. Weka oil mpya hasa castrol kwenye engine
7. Funga plugs mpya -ziwe original
8. Badilisha fuel filter kwa kuweka mpya
9. Badilisha air filter/cleaner
10. Hakikisha distributor iko set properly
11. Weka petrol -hasa ya total energy
12. Anza kupiga misele
13. Usipopata 20km/l nipeleke kwenye mahakama ya wahujumu uchumi
 
1. Weka mafuta ya taa 1/4l kwenye engine. Badala ya mafuta ya taa unaweza kutumia engine flush
2. Washa gari yako na iache silence kwa dakika 10 au 15
3. Mwaga engine oil yote
4. Fungua sample na isafishe vizuri kwa kutumia mafuta ya taa
4. Baada ya kuisafisha sample irudishie na ifunge vizuri
5. Funga oil filter mpya
6. Weka oil mpya hasa castrol kwenye engine
7. Funga plugs mpya -ziwe original
8. Badilisha fuel filter kwa kuweka mpya
9. Badilisha air filter/cleaner
10. Hakikisha distributor iko set properly
11. Weka petrol -hasa ya total energy
12. Anza kupiga misele
13. Usipopata 20km/l nipeleke kwenye mahakama ya wahujumu uchumi
Nimeiwasha kwenye engine nasikia upepo unatoka pia ikiwa parking nikikanyaga Moto mwingi kuna kamliofulani nakasikia. chakachakachaka.
 
Naomba na mm uniconnect na uyo fundi wako nami napitia tatizo kama lako, namiliki Toyota cami cc1297 yani inatembea 1l - 9km, naona inakula tofauti na gari zingine za size yake, msaada plz
pole, upo dar? anza na kucheki ama kubadili oil
 
1. Weka mafuta ya taa 1/4l kwenye engine. Badala ya mafuta ya taa unaweza kutumia engine flush
2. Washa gari yako na iache silence kwa dakika 10 au 15
3. Mwaga engine oil yote
4. Fungua sample na isafishe vizuri kwa kutumia mafuta ya taa
4. Baada ya kuisafisha sample irudishie na ifunge vizuri
5. Funga oil filter mpya
6. Weka oil mpya hasa castrol kwenye engine
7. Funga plugs mpya -ziwe original
8. Badilisha fuel filter kwa kuweka mpya
9. Badilisha air filter/cleaner
10. Hakikisha distributor iko set properly
11. Weka petrol -hasa ya total energy
12. Anza kupiga misele
13. Usipopata 20km/l nipeleke kwenye mahakama ya wahujumu uchumi
Mkuu hii formula ni kwa starlet tu au hata kwa gari zingine kama harrier ili kuiongezea ufanisi? Natamani niitumie hii formula
 
Fundi alikiosha osha nikaweka lita 42 nimetembea km 708 kutoka dar hadi arusha bado nazunguka nacho.
Nimeweka dumu la mafuta kwenye buti. mpaka kizime ndo ntaongeza. View attachment 2118399
Kwanini mpaka izime?

Si uliweka mafuta yakajaa, sasa nenda kajaze tena utachukua km ulizotembea utagawanya na lita za mafuta yaliyoingia utajua lita 1 inatumia km ngapi
 
Kwanini mpaka izime?

Si uliweka mafuta yakajaa, sasa nenda kajaze tena utachukua km ulizotembea utagawanya na lita za mafuta yaliyoingia utajua lita 1 inatumia km ngapi
nishaachana nacho.
 
1. Weka mafuta ya taa 1/4l kwenye engine. Badala ya mafuta ya taa unaweza kutumia engine flush
2. Washa gari yako na iache silence kwa dakika 10 au 15
3. Mwaga engine oil yote
4. Fungua sample na isafishe vizuri kwa kutumia mafuta ya taa
4. Baada ya kuisafisha sample irudishie na ifunge vizuri
5. Funga oil filter mpya
6. Weka oil mpya hasa castrol kwenye engine
7. Funga plugs mpya -ziwe original
8. Badilisha fuel filter kwa kuweka mpya
9. Badilisha air filter/cleaner
10. Hakikisha distributor iko set properly
11. Weka petrol -hasa ya total energy
12. Anza kupiga misele
13. Usipopata 20km/l nipeleke kwenye mahakama ya wahujumu uchumi
Nimepata 12km/l nielekeze mahali ulipo niko na pingu kabisa hapa😅
 
Back
Top Bottom