ni lini watanzania asilia kama kina Mpoki, jide, mpoto, na wengineo wataiwakilisha nchi yetu huko kwenye jumba la big brother??
Hii ni mara ya 4 mfululizo mwanaume shombeshombe (mixed race/multi-racial) amechaguliwa kuwa mwakilishi wa Tanzania kwenye Big Brother Africa (BBA). Je, kigezo cha DsTV cha mwanaume anayefaa kuiwakilisha Tanzania kwenye BBA ni kuwa lazima kwanza awe ni shombeshombe? Zaidi ya asilimia 90 ya wanaume wa Tanzania ni Waafrika weusi, je miongoni mwa waliojitokeza hakuna wenye vigezo vinavyotakiwa? Ni swali tu na halilengi dhana yeyote ya ubaguzi
Alisha pangwa. Ukusikia kakopeshwa nauli aje bongo kuchukua ticket yake ya BBA
ni lini watanzania asilia kama kina Mpoki, jide, mpoto, na wengineo wataiwakilisha nchi yetu huko kwenye jumba la big brother??
Hii ni mara ya 4 mfululizo mwanaume shombeshombe (mixed race/multi-racial) amechaguliwa kuwa mwakilishi wa Tanzania kwenye Big Brother Africa (BBA). Je, kigezo cha DsTV cha mwanaume anayefaa kuiwakilisha Tanzania kwenye BBA ni kuwa lazima kwanza awe ni shombeshombe? Zaidi ya asilimia 90 ya wanaume wa Tanzania ni Waafrika weusi, je miongoni mwa waliojitokeza hakuna wenye vigezo vinavyotakiwa? Ni swali tu na halilengi dhana yeyote ya ubaguzi
Ukiachilia mbali vigezo vingine,Labda kigezo cha lugha kinawapa advantage hao shombe shombe .inaonekana contestants wengi wanaongea fluent english na accent inayoeleweka.
Ila sidhani kama kuna shida mana wana damu ya kitanzania kuwabagua haitakuwa poa.cha muimu ushindi.
this tym watapigiwa kura na mashombe wenzao
mmh kwani last time uliwapigia wao.......,
usipopiga wewe sie tutaendelea kupiga
Very good. Anawawakilisha mult choice TanzaniaHuyu si muwakilishi wa Tanzania, bali ni mshiriki kutoka Tanzania.
:screwy::screwy::screwy:π:banghead:π