binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Tz yetu mlaji halindwi kwa sheria ya aina yoyote, by mlagi namaanisha mtumia huduma wa mwisho.
A random tuesday nimeenda na dogo kula jioni samakisamaki ya mlimani, sijakaa vizuri kuna mkaka mdogo mdogo akatufata, sorry akinadada, mimi ni content nini nini wa hapa naomba niwapige picha, Nilijibu tu NO! bila kumtazama usoni. Mi sijaja kula bata nimekuja kula chakula tu na kuondoka picha za nini tena? Sasa bora hata hapo tuliulizwa…..
Nchi yetu kuna uholela wa hali ya juu sana katika kila nyanja. Only pesa yako itakusaidia kuchagua maeneo ya kwenda yenye privacy kupunguza hizi kadhia japo si garantii.
A random tuesday nimeenda na dogo kula jioni samakisamaki ya mlimani, sijakaa vizuri kuna mkaka mdogo mdogo akatufata, sorry akinadada, mimi ni content nini nini wa hapa naomba niwapige picha, Nilijibu tu NO! bila kumtazama usoni. Mi sijaja kula bata nimekuja kula chakula tu na kuondoka picha za nini tena? Sasa bora hata hapo tuliulizwa…..
Nchi yetu kuna uholela wa hali ya juu sana katika kila nyanja. Only pesa yako itakusaidia kuchagua maeneo ya kwenda yenye privacy kupunguza hizi kadhia japo si garantii.