binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Mtafute mmoja au wawili tu wafungulie kesi mahakamani adabu itafata mkondo wake.Tz yetu mlaji halindwi kwa sheria ya aina yoyote, by mlagi namaanisha mtumia huduma wa mwisho.
A random tuesday nimeenda na dogo kula jioni samakisamaki ya mlimani, sijakaa vizuri kuna mkaka mdogo mdogo akatufata, sorry akinadada, mimi ni content nini nini wa hapa naomba niwapige picha, Nilijibu tu NO! bila kumtazama usoni. Mi sijaja kula bata nimekuja kula chakula tu na kuondoka picha za nini tena? Sasa bora hata hapo tuliulizwaβ¦..
Nchi yetu kuna uholela wa hali ya juu sana katika kila nyanja. Only pesa yako itakusaidia kuchagua maeneo ya kwenda yenye privacy kupunguza hizi kadhia japo si garantii.
Sijui kwanini watu wanapata uvivu au labda hawajazoea maisha ya kwenda mahakmaniπππUtajiri nje nje, ukienda mahakamani mambo ni machache TU
*Umepigwa picha bila ridhaa
*Imekusababishia kushusha utu Wako
*Imekusababishia kuvuruga familia yako na jamii kwa ujumla
*Imekusababishia msongo wa mawazo
*Picha imefanyia biashara bila mkataba!!
Hivyo Naomba nilipwe fidia kiasi cha M10
πππ
πhuna akili!!!Usipigwe picha we nani? Jifungie chumbani kwako kama vipi
ungeliwa kizaziInaboa sana
Kuna night club moja hapa Dom pia Niliwahi kukutana na huo upuuzi Yaani nimekaa zangu nakunywa pombe na mchepuko wangu(mke wa mtu) nashangaa tunamulikwa na mwanga wa flash ya picha nilistuka sana na kumrukia yule mpiga picha ili nimng'oe meno ila yule dogo akajitetea kwamba amepewa kazi na wahusika ikabidi niombe kuonana na manager lakini naye akanijibu majibu ya kihuni tangu siku hiyo siendagi tena hapo Yaani ni upuuzi sana kupiga watu picha halafu wanaweka mitandaoni!
Imagine huyo afande jirani yangu angeona picha mitandaoni niko bar nakunywa pombe na mkewe ingekuwaje?!
Huku mtaani kwetu kuna raia wanatulia viunga vya mahakama, kama mtu ni muoga muoga wakujieleza wao wako tayari kununua kesi ππππSijui kwanini watu wanapata uvivu au labda hawajazoea maisha ya kwenda mahakmaniπππ
Kuna watu nadhani wananotion kuwa mahakamani wanaenda wahalifuπ€£π€£π€£π€£au wengine wanahisi huko siko mahali pazuri au ni nyara ya serikaliπ€
Wengine mpaka wanaingia utu uzima hawajawahi kwenda mahakamani kusikiliza kesiπππ
ππHuko mashuleni walimu badala ya kila mwaka kupeleka wanafunzi huko maporini au beach ni bora waangale namna ya kuwa wanawapeleka kwenye hizi taasisi angalau wawe na abc.
Mfano hii picha hawa wote wanatakiwa wadai fidia ila kwasababu ya ung'ombe wao wametulia tu.
Tatizo mmefungamanishwa na utahira wa dini kiasi kwamba akili zenu watz zimechakachuliwa mmekuwa too judgy.Kwenda night club na kulinda heshima haviwezi kukaa kwa amani kwenye sentensi moja.
Muwe watata hata kidogo taani mmekuwa makondoo sanaπ¬π¬π¬π¬Kuna ulikumbukeni sana katika hilo nyakati hizi unaweza kuingia mgahawani kula Lunch mara gafla unajikuta kwenye mtandao wa kijamii bila hata kujua umepigwa picha wakati gani.
Yaani unalipa mchango alafu bado unaenda kurushwa huko mitandaoni.kwa uhalisia kwenye sherehe inatakiwa mwenye sherehe amkanye MC haruhusiwi sambaza Video za tukio husika, wapiga picha binafsi hawaruhusiwi.
Privacy, yeye achukue pesa yake arekodi alete Flash
Maeneo gani wanasheria za kupiga watu picha???Ukiingia mahali maana yake umekubaliana na Masharti yake.
Tuwe tunasoma Sheria za hayo maeneeo kwanza.
Na kama hawana hizo sheria pia,imekula kwao,unaweza kupiga mpunga mrefu.
Nawatakia Maandalizi mema ya Valentine Day
NB: Kesho kuanzia asubuhi nitakuwa Off hivyo nitaanzia Malaika Beach,then nitasogea Kunduchi Beach na usiku nitaumalizia Club Element,kwa yeyote atakayekua free na atakua maeneo hayo namkaribisha,PM ipo wazi hadi saa sita mchana ya leo
Ni ujinga na inferiority complex za wajingawajinga wa hii nchi zi awafanya washindwe kudai haki zaoπ€Sijawai kukutana na iyo kadhaa ila for sure nitaua mtu kabisa
SAFI SANAπππππBinamu yangu mmoja ni Kanali, alichukua memory card ya kamera ya mpigapicha wa MC na kuondoka nayo na kumwambia ni marufuki kupiga picha au kuchukua video kwenye eneo la jeshi bila kibali maalumu.
Hiyo ilikuwa kwenye harusi pale "Golf Club".
Ni shida unakuta mtu kila siku yupo kijiweni badala hata baadhi ya free days awe anaenda kusikiliza kesi na kujijengea confidence ila maskini wa Tanzania utayakuta yapo radhi siku nzima yanatokwa mishipa ya kichwa kubishania simba na yanga.Huku mtaani kwetu kuna raia wanatulia viunga vya mahakama, kama mtu ni muoga muoga wakujieleza wao wako tayari kununua kesi ππππ
Tembea uone bloangu,usiishie kitambaa cheupe tuMaeneo gani wanasheria za kupiga watu picha???
Hivyo vijihela mnashikashika visiwafanye mkawa vipofu.
Huna akili,bila watu kuenda hivyo vinywaji watawauzia nani.Mambo mengine mnakuza tu ukiona hatutaki kupigwa picha usiende
Hizo sheria zipo available kiasi kwamba zimebandikwa kila meza au kuna bango kubwa lipo mlangoni limeorodhesha hizo sheria.Tembea uone bloangu,usiishie kitambaa cheupe tu