Since kijazi was appointed as KM wa ardhi bado yuko TANAPA na ameanzisha kazi za kusuluisha mipaka ya Hifadhi na vijiji…. Kw upande wa finance aliyeko ana CPA + Master degree(MBA)…waliopo ni Zaidi ya 10 ambo wana CPA + Master with experience of more than 15years each,,,,, Kw upande wa internal audit aliyeko ana CPA + Master degree(MBA)…waliopo ni Zaidi ya 4 ambo wana CPA + Master degree with experience of more than 12years each,,,,, Kw upande wa engineering aliyeko ana Master degree(MBA)…waliopo ni Zaidi ya 4 ambo wana Master with experience of more than 12years each,,,,,kuna miradi mingi sana ambayo ya ujenzi inasuasua kwa sababu ya kutanguliza advance payments…which in other words is equal to 10%......
hivi mnajua kuna mkaguzi mkuu wa ndani mmoja alikuwa very strong by then….lakn due to high power of kijazi had by then ….link…..allan kijazi to his brother john kijazi to jpm here…….alitolewa tanapa na kupelekwa halimashauri ya liwale na akaambiwa ni uhamisho wa kawaida…..then ndiyo huyu aliyeko akapewa who is blood brother of kijazi….stay tuned