Je, ni sahihi kwangu kumuoa mwanamke huyu?

Je, ni sahihi kwangu kumuoa mwanamke huyu?

21 yrs ako na toto mbili aloo noma.

Achana nae mapema kama huna nia nae, usiwaze kumzalisha wala kumuoa.

Wanawake linapokuja suala la kuteka hisia za mwanaume wako njema mno mno, na kama ni kanyaboya basi unajaa na unaoa kweli halafu huko ndani aanze kukuonesha rangi yake halisi huku yeye akikujua nje ndani na wewe utabaki huna la kumfanya zaidi kurudi jf kuomba ushauri tena.
 
Mka
Iko hivi mm niko na mdada kwenye mahusiano ni mdogo tuu ako na 21 saiv sasa kilichonileta ni kwamba huyuu mdada kweli haniombi pesa na anakuja geto kwa wakat na tunafanya yetu vizuri sana sasa huyuu mdada ako na watoto wawili ambao amezaaa na jamaaa sasa huyuu demu anapenda sana mm na yeye tuwe huru mara ananipeleka hadi kule kw wakwe zake tukawaone watoto sasa mm nawasiwasi kweli huyuu anafaaa kuolewa na mm au nipige tuu kumaliza haja zangu afuu nipige chini pia ninavyomuona ni mtuu wa watuu wengi japo sina uhakika maana akija hapa getoo nakuwa free kabisa na simu yake hana shidaa jeee nifanyajeee nioe au na mm nizalishe mmoja nipite hiviii asanten wana jf .
Inshu iko hivi ,,yaani hapo ana miaka 21 na ana watoto wawili huyo mapenzi alianzaga nadhan akiwa na miaka hata 13,,ushauri ni buree piga chini huyo
 
Iko hivi mm niko na mdada kwenye mahusiano ni mdogo tuu ako na 21 saiv sasa kilichonileta ni kwamba huyuu mdada kweli haniombi pesa na anakuja geto kwa wakat na tunafanya yetu vizuri sana sasa huyuu mdada ako na watoto wawili ambao amezaaa na jamaaa sasa huyuu demu anapenda sana mm na yeye tuwe huru mara ananipeleka hadi kule kw wakwe zake tukawaone watoto sasa mm nawasiwasi kweli huyuu anafaaa kuolewa na mm au nipige tuu kumaliza haja zangu afuu nipige chini pia ninavyomuona ni mtuu wa watuu wengi japo sina uhakika maana akija hapa getoo nakuwa free kabisa na simu yake hana shidaa jeee nifanyajeee nioe au na mm nizalishe mmoja nipite hiviii asanten wana jf .
kuwa free na simu yake ndo unakuwa unafanya nayo nini
kwahiyo unamuona huyo baba wa watoto wawili ni mjinga
 
Iko hivi mm niko na mdada kwenye mahusiano ni mdogo tuu ako na 21 saiv sasa kilichonileta ni kwamba huyuu mdada kweli haniombi pesa na anakuja geto kwa wakat na tunafanya yetu vizuri sana sasa huyuu mdada ako na watoto wawili ambao amezaaa na jamaaa sasa huyuu demu anapenda sana mm na yeye tuwe huru mara ananipeleka hadi kule kw wakwe zake tukawaone watoto sasa mm nawasiwasi kweli huyuu anafaaa kuolewa na mm au nipige tuu kumaliza haja zangu afuu nipige chini pia ninavyomuona ni mtuu wa watuu wengi japo sina uhakika maana akija hapa getoo nakuwa free kabisa na simu yake hana shidaa jeee nifanyajeee nioe au na mm nizalishe mmoja nipite hiviii asanten wana jf .
Bora kuwa na mtu anayekupenda na asiyekuwa na makuu
 
Iko hivi mm niko na mdada kwenye mahusiano ni mdogo tuu ako na 21 saiv sasa kilichonileta ni kwamba huyuu mdada kweli haniombi pesa na anakuja geto kwa wakat na tunafanya yetu vizuri sana sasa huyuu mdada ako na watoto wawili ambao amezaaa na jamaaa sasa huyuu demu anapenda sana mm na yeye tuwe huru mara ananipeleka hadi kule kw wakwe zake tukawaone watoto sasa mm nawasiwasi kweli huyuu anafaaa kuolewa na mm au nipige tuu kumaliza haja zangu afuu nipige chini pia ninavyomuona ni mtuu wa watuu wengi japo sina uhakika maana akija hapa getoo nakuwa free kabisa na simu yake hana shidaa jeee nifanyajeee nioe au na mm nizalishe mmoja nipite hiviii asanten wana jf .
MKUNDOOR WAKO
 
Iko hivi mm niko na mdada kwenye mahusiano ni mdogo tuu ako na 21 saiv sasa kilichonileta ni kwamba huyuu mdada kweli haniombi pesa na anakuja geto kwa wakat na tunafanya yetu vizuri sana sasa huyuu mdada ako na watoto wawili ambao amezaaa na jamaaa sasa huyuu demu anapenda sana mm na yeye tuwe huru mara ananipeleka hadi kule kw wakwe zake tukawaone watoto sasa mm nawasiwasi kweli huyuu anafaaa kuolewa na mm au nipige tuu kumaliza haja zangu afuu nipige chini pia ninavyomuona ni mtuu wa watuu wengi japo sina uhakika maana akija hapa getoo nakuwa free kabisa na simu yake hana shidaa jeee nifanyajeee nioe au na mm nizalishe mmoja nipite hiviii asanten wana jf .
matatizo ya kutolelewa kiume hili sio swala la kuleta jf zaidi ungefanya maamuzi ila pole maana hujui nn ufanye utaliwa kichwa
 
Mzeee kiswahili ya kenya sasa nimekosea tuu
Mzee pole Sana
Me ako na watoi wawili katika age ya ushangazi
Huyo manzi ako ako na watoi wawili katika age ya 21. Mbona ako na haraka sana?
 
Back
Top Bottom