Nayanga Bojo
Senior Member
- Jun 13, 2023
- 144
- 468
Labda ni MkenyaMwanaume kuandika "ako na" Inafikirisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ni MkenyaMwanaume kuandika "ako na" Inafikirisha sana
yani huna unaloelewa kuhusu mapenzi na utapeli nakuonea huruma lkini hakuna namna lazima ukutane na maharamia yauchakaze moyo wake ujute kwa nn ulizaliwaKwann
Inshu iko hivi ,,yaani hapo ana miaka 21 na ana watoto wawili huyo mapenzi alianzaga nadhan akiwa na miaka hata 13,,ushauri ni buree piga chini huyoIko hivi mm niko na mdada kwenye mahusiano ni mdogo tuu ako na 21 saiv sasa kilichonileta ni kwamba huyuu mdada kweli haniombi pesa na anakuja geto kwa wakat na tunafanya yetu vizuri sana sasa huyuu mdada ako na watoto wawili ambao amezaaa na jamaaa sasa huyuu demu anapenda sana mm na yeye tuwe huru mara ananipeleka hadi kule kw wakwe zake tukawaone watoto sasa mm nawasiwasi kweli huyuu anafaaa kuolewa na mm au nipige tuu kumaliza haja zangu afuu nipige chini pia ninavyomuona ni mtuu wa watuu wengi japo sina uhakika maana akija hapa getoo nakuwa free kabisa na simu yake hana shidaa jeee nifanyajeee nioe au na mm nizalishe mmoja nipite hiviii asanten wana jf .
kuwa free na simu yake ndo unakuwa unafanya nayo niniIko hivi mm niko na mdada kwenye mahusiano ni mdogo tuu ako na 21 saiv sasa kilichonileta ni kwamba huyuu mdada kweli haniombi pesa na anakuja geto kwa wakat na tunafanya yetu vizuri sana sasa huyuu mdada ako na watoto wawili ambao amezaaa na jamaaa sasa huyuu demu anapenda sana mm na yeye tuwe huru mara ananipeleka hadi kule kw wakwe zake tukawaone watoto sasa mm nawasiwasi kweli huyuu anafaaa kuolewa na mm au nipige tuu kumaliza haja zangu afuu nipige chini pia ninavyomuona ni mtuu wa watuu wengi japo sina uhakika maana akija hapa getoo nakuwa free kabisa na simu yake hana shidaa jeee nifanyajeee nioe au na mm nizalishe mmoja nipite hiviii asanten wana jf .
Bora kuwa na mtu anayekupenda na asiyekuwa na makuuIko hivi mm niko na mdada kwenye mahusiano ni mdogo tuu ako na 21 saiv sasa kilichonileta ni kwamba huyuu mdada kweli haniombi pesa na anakuja geto kwa wakat na tunafanya yetu vizuri sana sasa huyuu mdada ako na watoto wawili ambao amezaaa na jamaaa sasa huyuu demu anapenda sana mm na yeye tuwe huru mara ananipeleka hadi kule kw wakwe zake tukawaone watoto sasa mm nawasiwasi kweli huyuu anafaaa kuolewa na mm au nipige tuu kumaliza haja zangu afuu nipige chini pia ninavyomuona ni mtuu wa watuu wengi japo sina uhakika maana akija hapa getoo nakuwa free kabisa na simu yake hana shidaa jeee nifanyajeee nioe au na mm nizalishe mmoja nipite hiviii asanten wana jf .
MKUNDOOR WAKOIko hivi mm niko na mdada kwenye mahusiano ni mdogo tuu ako na 21 saiv sasa kilichonileta ni kwamba huyuu mdada kweli haniombi pesa na anakuja geto kwa wakat na tunafanya yetu vizuri sana sasa huyuu mdada ako na watoto wawili ambao amezaaa na jamaaa sasa huyuu demu anapenda sana mm na yeye tuwe huru mara ananipeleka hadi kule kw wakwe zake tukawaone watoto sasa mm nawasiwasi kweli huyuu anafaaa kuolewa na mm au nipige tuu kumaliza haja zangu afuu nipige chini pia ninavyomuona ni mtuu wa watuu wengi japo sina uhakika maana akija hapa getoo nakuwa free kabisa na simu yake hana shidaa jeee nifanyajeee nioe au na mm nizalishe mmoja nipite hiviii asanten wana jf .
😂😂😁😁😁😁😁😁 KakaUto naona unabarizi barizi huku.
Ukisubiria litimu lako likianza kwa kupoteza huko kwa madiba
matatizo ya kutolelewa kiume hili sio swala la kuleta jf zaidi ungefanya maamuzi ila pole maana hujui nn ufanye utaliwa kichwaIko hivi mm niko na mdada kwenye mahusiano ni mdogo tuu ako na 21 saiv sasa kilichonileta ni kwamba huyuu mdada kweli haniombi pesa na anakuja geto kwa wakat na tunafanya yetu vizuri sana sasa huyuu mdada ako na watoto wawili ambao amezaaa na jamaaa sasa huyuu demu anapenda sana mm na yeye tuwe huru mara ananipeleka hadi kule kw wakwe zake tukawaone watoto sasa mm nawasiwasi kweli huyuu anafaaa kuolewa na mm au nipige tuu kumaliza haja zangu afuu nipige chini pia ninavyomuona ni mtuu wa watuu wengi japo sina uhakika maana akija hapa getoo nakuwa free kabisa na simu yake hana shidaa jeee nifanyajeee nioe au na mm nizalishe mmoja nipite hiviii asanten wana jf .
Na mimi niliona nikaona tatizo.Mwanaume kuandika "ako na" Inafikirisha sana
sasa huyuu mdada
sasa kilichonileta
sasa huyuu demu
sasa wanaume tunaojielewa huwa hatuoi single mazaako na watoto wawili
Mzee pole SanaMzeee kiswahili ya kenya sasa nimekosea tuu