Je, ni sahihi kwangu kumuoa mwanamke huyu?

Je, ni sahihi kwangu kumuoa mwanamke huyu?

Na mimi niliona nikaona tatizo.

Hivi ni Wakenya wanatuharibia lugha au ushamba tu?
Mkuu wakenya wanaharibu lugha yetu na wamefanikiwa kuwafanya watanzania wengi kufwatisha namna wanavyoongea. Hadi wanaume wa Tanzania bila haya wanaiga matamshi hayo
Wenyewe wanaona ni ujanja..
 
Mtu ambaye hafai kuwa mkeo Ila unaona anafaa kuwa mama wa watoto wako.

Upo serious mkuu?....
 
Iko hivi mm niko na mdada kwenye mahusiano ni mdogo tuu ako na 21 saiv sasa kilichonileta ni kwamba huyuu mdada kweli haniombi pesa na anakuja geto kwa wakat na tunafanya yetu vizuri sana sasa huyuu mdada ako na watoto wawili ambao amezaaa na jamaaa sasa huyuu demu anapenda sana mm na yeye tuwe huru mara ananipeleka hadi kule kw wakwe zake tukawaone watoto sasa mm nawasiwasi kweli huyuu anafaaa kuolewa na mm au nipige tuu kumaliza haja zangu afuu nipige chini pia ninavyomuona ni mtuu wa watuu wengi japo sina uhakika maana akija hapa getoo nakuwa free kabisa na simu yake hana shidaa jeee nifanyajeee nioe au na mm nizalishe mmoja nipite hiviii asanten wana jf .
Na nukuu…. Au na mmi nizalishe mmoja nipite hiviii….. mwisho wakunukuuu kazi ya kuzalisha ulianza lini tuanzie hapo kwanza
 
Iko hivi mm niko na mdada kwenye mahusiano ni mdogo tuu ako na 21 saiv sasa kilichonileta ni kwamba huyuu mdada kweli haniombi pesa na anakuja geto kwa wakat na tunafanya yetu vizuri sana sasa huyuu mdada ako na watoto wawili ambao amezaaa na jamaaa sasa huyuu demu anapenda sana mm na yeye tuwe huru mara ananipeleka hadi kule kw wakwe zake tukawaone watoto sasa mm nawasiwasi kweli huyuu anafaaa kuolewa na mm au nipige tuu kumaliza haja zangu afuu nipige chini pia ninavyomuona ni mtuu wa watuu wengi japo sina uhakika maana akija hapa getoo nakuwa free kabisa na simu yake hana shidaa jeee nifanyajeee nioe au na mm nizalishe mmoja nipite hiviii asanten wana jf .
Oa oa oa mwambaaaa.
 
Usipeleke timu uwanjani haiwezekan mpira uanzee mwenzio tayari anaongoza goli mbili bilaaa...

Unaona mke wa mtu hapo
 
21 ana watoto wawili??
Hapana achana naye tafuta maisha yako na wewe mwenyewe jipe muda akili ikomae vinginevyo ni balaa unalitafuta.!!
 
Je, nifanyaje nioe au na mimi nizalishe mmoja nipite hivi
Aisee, kwahy moja ya kikwazo n yeye kuwa na watoto halafu tena na ww unataka umzalishe ukimbie ili tena iwe kikwazo kwa wengne au siyo
 
Kitu cha kwanza #kweli haniombi pesa😀😀😀😀duh kuomba hela kunakutoa mchezoni kabisa kumbe
 
Back
Top Bottom