Je, ni sahihi kwangu kumuoa mwanamke huyu?

Na mimi niliona nikaona tatizo.

Hivi ni Wakenya wanatuharibia lugha au ushamba tu?
Mkuu wakenya wanaharibu lugha yetu na wamefanikiwa kuwafanya watanzania wengi kufwatisha namna wanavyoongea. Hadi wanaume wa Tanzania bila haya wanaiga matamshi hayo
Wenyewe wanaona ni ujanja..
 
Mtu ambaye hafai kuwa mkeo Ila unaona anafaa kuwa mama wa watoto wako.

Upo serious mkuu?....
 
Na nukuuโ€ฆ. Au na mmi nizalishe mmoja nipite hiviiiโ€ฆ.. mwisho wakunukuuu kazi ya kuzalisha ulianza lini tuanzie hapo kwanza
 
Oa oa oa mwambaaaa.
 
Usipeleke timu uwanjani haiwezekan mpira uanzee mwenzio tayari anaongoza goli mbili bilaaa...

Unaona mke wa mtu hapo
 
21 ana watoto wawili??
Hapana achana naye tafuta maisha yako na wewe mwenyewe jipe muda akili ikomae vinginevyo ni balaa unalitafuta.!!
 
Je, nifanyaje nioe au na mimi nizalishe mmoja nipite hivi
Aisee, kwahy moja ya kikwazo n yeye kuwa na watoto halafu tena na ww unataka umzalishe ukimbie ili tena iwe kikwazo kwa wengne au siyo
 
Kitu cha kwanza #kweli haniombi pesa๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€duh kuomba hela kunakutoa mchezoni kabisa kumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ