Je, ni sahihi mke wangu kuniambia kila Mwanaume anayemtongoza?

Je, ni sahihi mke wangu kuniambia kila Mwanaume anayemtongoza?

Kimsingi mkeo pia ane anajichekesha chekeshaa sanaa kwa huyo Boss aisee.. na atagongekaaa soon!! Kama anangekuwa mkali akiambiwa huo upuuzi na hivi ni mke wa mtu yani Huyo Boss asingerudia kabisaa.. Sema mkeo anajichekesha na atampa tunda soon usipokuwa mkali.. Akikwambia wewe mchane ukweli mwambie aache mazoea na kujichekesh kwa huyo boss mwanamke akiwa mkali wanaume wengi huwa tunagive up hasa akiwa mke wa mtu... Ilaa kaam ndo anakataa huku anajichekeshaa mamaeee wafwaaa...

Sent using Jamii Forums mobile app

Wanawake wana maisha magumu sana wanawindwa usiku ns mchana haijalishi awe mkali awe mpole
 
Wanawake wajanja sana, mwambie asimamie msimamo wake, kuwa makini sana na mke wako, hakikisha una mkaza haswa, akianza hizo story pigs mzigo haswa... Atawaona wale nzi wa chooni

Mzigo anapata wa uhakika ndio mana anakuwa huru kusema yale yanayo mtatiza,ntamsaidia kuongeza umakini
 
Wanawake wana maisha magumu sana wanawindwa usiku ns mchana haijalishi awe mkali awe mpole
Sikatai lakini Mwanamke anaejielewaa anakataa huku anaonyesha sura ya kukataa kweli na kukasirikaa.. Sasa anakataa huku anajichekeshaa mamaaee..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani mwana haachi kumtongozaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona simple tu kwanza mwambie mkewako wote wanao msumbua sana awapige gia ya kupima ukimwi hapo tu watapungua zaidi ya nusu maana wanaume wenye uchu kupita kiasi wengi ni wagonjwa wa ngoma Pili walio baki wewe ujidai kufuma SMS zao kwenye Simu ya mkeo uwakolomee wote wanapotea ila kwenye la kupima HIV ilo mwambie mkeo akazie sana hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wana maisha magumu sana wanawindwa usiku ns mchana haijalishi awe mkali awe mpole
Mbona simple tu kwanza mwambie mkewako wote wanao msumbua sana awapige gia ya kupima ukimwi hapo tu watapungua zaidi ya nusu maana wanaume wenye uchu kupita kiasi wengi ni wagonjwa wa ngoma Pili walio baki wewe ujidai kufuma SMS zao kwenye Simu ya mkeo uwakolomee wote wanapotea ila kwenye la kupima HIV ilo mwambie mkeo akazie sana wengi watamuogopa wakisikia mambo ya kupima ngoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri wangu, mwambie mkeo awe mkali kwa hizo tabia za kipuuzi, na cha zaidi siku akitongozwa tena amwambie huyo boss wake kuwa, “anamu harass kimapenzi kwa sababu ya cheo chake na pia atambue kuwa ameolewa na asingependa hiyo tabia iendelee na yote kuwa unafahamu hilo” na siyo boss tuu hata hao wafanyakazi wenzake

La sivyo siku ukintibua kidogo kwa akili za wanawake wengi atmpa boss kukukomoa
 
Ushauri wangu, mwambie mkeo awe mkali kwa hizo tabia za kipuuzi, na cha zaidi siku akitongozwa tena amwambie huyo boss wake kuwa, “anamu harass kimapenzi kwa sababu ya cheo chake na pia atambue kuwa ameolewa na asingependa hiyo tabia iendelee na yote kuwa unafahamu hilo” na siyo boss tuu hata hao wafanyakazi wenzake

La sivyo siku ukintibua kidogo kwa akili za wanawake wengi atmpa boss kukukomoa

Ushauri mnono naufanyia kazi
 
Mbona simple tu kwanza mwambie mkewako wote wanao msumbua sana awapige gia ya kupima ukimwi hapo tu watapungua zaidi ya nusu maana wanaume wenye uchu kupita kiasi wengi ni wagonjwa wa ngoma Pili walio baki wewe ujidai kufuma SMS zao kwenye Simu ya mkeo uwakolomee wote wanapotea ila kwenye la kupima HIV ilo mwambie mkeo akazie sana hapo

Sent using Jamii Forums mobile app

Nikiwatafuta kwenye simu ntakua kama nimewapa nguvu zaidi ya kutimiza lengo lao....labda nitengeneze fumanizi ili kama noma iwe noma tu
 
Ushauri wangu, mwambie mkeo awe mkali kwa hizo tabia za kipuuzi, na cha zaidi siku akitongozwa tena amwambie huyo boss wake kuwa, “anamu harass kimapenzi kwa sababu ya cheo chake na pia atambue kuwa ameolewa na asingependa hiyo tabia iendelee na yote kuwa unafahamu hilo” na siyo boss tuu hata hao wafanyakazi wenzake

La sivyo siku ukintibua kidogo kwa akili za wanawake wengi atmpa boss kukukomoa
nakazia hapo nilipokoleza
 
Dah yani namuonea huruma kweli jamaa hizi ndoa ni changamoto kweli

Juzi juzi tena kuna video imevuja mdada anagongwa dukani huko k/koo kidume kinaenda mida ya jioni kumgonga jamaa yake akatonywa na jamaa wa pale kuwa kuna kijeba huwa kinakuja jioni jioni jamaa si akatega kamera lijamaa kama kawa likaenda likanaswa na camera yani hivi viumbe ni shida sana hata jalalani wanagongwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu iliishiaje hio.
 
Back
Top Bottom