Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimsingi mkeo pia ane anajichekesha chekeshaa sanaa kwa huyo Boss aisee.. na atagongekaaa soon!! Kama anangekuwa mkali akiambiwa huo upuuzi na hivi ni mke wa mtu yani Huyo Boss asingerudia kabisaa.. Sema mkeo anajichekesha na atampa tunda soon usipokuwa mkali.. Akikwambia wewe mchane ukweli mwambie aache mazoea na kujichekesh kwa huyo boss mwanamke akiwa mkali wanaume wengi huwa tunagive up hasa akiwa mke wa mtu... Ilaa kaam ndo anakataa huku anajichekeshaa mamaeee wafwaaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wajanja sana, mwambie asimamie msimamo wake, kuwa makini sana na mke wako, hakikisha una mkaza haswa, akianza hizo story pigs mzigo haswa... Atawaona wale nzi wa chooni
Sikatai lakini Mwanamke anaejielewaa anakataa huku anaonyesha sura ya kukataa kweli na kukasirikaa.. Sasa anakataa huku anajichekeshaa mamaaee..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani mwana haachi kumtongozaaWanawake wana maisha magumu sana wanawindwa usiku ns mchana haijalishi awe mkali awe mpole
Mbona simple tu kwanza mwambie mkewako wote wanao msumbua sana awapige gia ya kupima ukimwi hapo tu watapungua zaidi ya nusu maana wanaume wenye uchu kupita kiasi wengi ni wagonjwa wa ngoma Pili walio baki wewe ujidai kufuma SMS zao kwenye Simu ya mkeo uwakolomee wote wanapotea ila kwenye la kupima HIV ilo mwambie mkeo akazie sana wengi watamuogopa wakisikia mambo ya kupima ngomaWanawake wana maisha magumu sana wanawindwa usiku ns mchana haijalishi awe mkali awe mpole
Ushauri wangu, mwambie mkeo awe mkali kwa hizo tabia za kipuuzi, na cha zaidi siku akitongozwa tena amwambie huyo boss wake kuwa, “anamu harass kimapenzi kwa sababu ya cheo chake na pia atambue kuwa ameolewa na asingependa hiyo tabia iendelee na yote kuwa unafahamu hilo” na siyo boss tuu hata hao wafanyakazi wenzake
La sivyo siku ukintibua kidogo kwa akili za wanawake wengi atmpa boss kukukomoa
Mbona simple tu kwanza mwambie mkewako wote wanao msumbua sana awapige gia ya kupima ukimwi hapo tu watapungua zaidi ya nusu maana wanaume wenye uchu kupita kiasi wengi ni wagonjwa wa ngoma Pili walio baki wewe ujidai kufuma SMS zao kwenye Simu ya mkeo uwakolomee wote wanapotea ila kwenye la kupima HIV ilo mwambie mkeo akazie sana hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
nakazia hapo nilipokolezaUshauri wangu, mwambie mkeo awe mkali kwa hizo tabia za kipuuzi, na cha zaidi siku akitongozwa tena amwambie huyo boss wake kuwa, “anamu harass kimapenzi kwa sababu ya cheo chake na pia atambue kuwa ameolewa na asingependa hiyo tabia iendelee na yote kuwa unafahamu hilo” na siyo boss tuu hata hao wafanyakazi wenzake
La sivyo siku ukintibua kidogo kwa akili za wanawake wengi atmpa boss kukukomoa
Mkuu iliishiaje hio.Dah yani namuonea huruma kweli jamaa hizi ndoa ni changamoto kweli
Juzi juzi tena kuna video imevuja mdada anagongwa dukani huko k/koo kidume kinaenda mida ya jioni kumgonga jamaa yake akatonywa na jamaa wa pale kuwa kuna kijeba huwa kinakuja jioni jioni jamaa si akatega kamera lijamaa kama kawa likaenda likanaswa na camera yani hivi viumbe ni shida sana hata jalalani wanagongwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa aliyekua anagonga alihakikisha demu kafika kileleniMkuu iliishiaje hio.
Mkasa wa Boss. Muaharibie huyooo mkate kiďevuu
Akiacha kusema tu, kashatafunwa😂😂😂😂💕Demu wangu alikuwa na yeye ananiambia anatongozwa na boss wake kwa mda mrefu..baadae aliacha kuniambia nadhani boss alimgegeda tu..
Sent using Jamii Forums mobile app