Je, ni sahihi mke wangu kuniambia kila Mwanaume anayemtongoza?

Je, ni sahihi mke wangu kuniambia kila Mwanaume anayemtongoza?

Anakuambia ili siku ukijua anamegwa usishtuke sana..huyo kashamegwa tayar,..asilimia 85 ya wanawake ukiona anakuambia kua watu wanamtongoza ujue wanamla saana,anakwambia hvyo ili ujue jua yeye analipa so usimchukulie poa

Sent using Jamii Forums mobile app

Bora kama ananiaandaa kisaikolojia hata siku nikimfuma siwezi kushtuka sana.
Lakini kwa upande wangu naamini ananipenda sana ndio mana naniambia haya ili tusaidiane ku sort out
 
mkeo anakupenda ndio maana anakwambia yote hayo lakin unamtiani kwel kama vip mkamatishe boss kwa wanao jihusisha na upambanaji na rushwa
 
Nimevurugwa sana..

Boss wa mke wangu anamtongoza mke wangu kwa uchu sana kiasi kwamba hadi nimeanza kupoteza matumanini.

Mke wangu hana raha kabisa wafanyakazi wenzake wanammendea na boss wake naye humohumo yani wapo msululu.

Imefika hatua boss wake ameanza kutafuta safari za kikazi ili asafiri na mke wangu lengo lake ni kumbandua mke wangu na wote tunafahamu kwasababu mke wangu ananiambia kila kitu, kila ujumbe anaotumiwa na kila mazingira magumu anayokutana nayo(wanaume mnanielewa hapa)

Nifanyaje wandugu nataka kumsaidia mke wangu asinase kwenye mtego wa huyu simba.

Je nimkataze asiwe ananiambia habari za kutongozwa na wanume?

Wanaume wenzangu mnaishije na wake zenu walio ajiriwa sehemu mbalimbali,mnakutana na changamoto zipi kwenye ndoa

That's why nikioa sitaki mkewangu afanye kazi ya kuajiliwa na mtu... kama ntashindwa kufungua ofice binafsi basi bora mkewangu akae tu ndani mambo mengine kuyaepuka ni rahisi tu as long as wanawake wenyewe hela zao hua hazionekani bora akae ndani tu [emoji4]
 
Ndoa yako ni muhimu zaidi,kuliko hiyo kazi anayofanya;kazi itakuharibia ndoa,au kukuletea maradhi iwe ya moyo au zinaa.
 
Wewe mwenye akili kubwa unanishauri kitu gani
Mambo yanayomhusu mkeo hata mama yako usimwambie. Wanawake ndio wanaosemaga mambo yao mpaka ya chumbani. Hata kama mkeo hajui kupika chapati au mashine yake inawalakini usije ukamwambia mtu. Labda daktari.
Ushasikia mwanamme anakuambia Mkewe mtamu au akuambie usiku wa jana walifanya kitu gani. Hayasemwi hayo mkuu
 
Kazi asiache Wala Nini maana kazi zenyewe ngumu siku hizi,mkuu tafuta alternative ya kudeal na huyo Boss.Kuwa Boss ndio atafune wake za watu,huyo Boss Ni cheo,Mungu anayomamlaka ya kuondoa hicho then atabaki mtu wa kawaida tu.
Kama anasumbua Sana huyo mke wako fanya maombi maalumu kwa Mungu ili Mungu achukue hicho cheo halafu Kama atamsumbua mke wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
na wewe bwana mungu na kutongozana wapi na wapiiii..
 
Mkeo anataka mwenyewe kutongozwa kwani akikataa na akaweka misimamo huo msululu utamsumbua aje? Mambo mengine wanawake huyataka wenyewe kama anapewa ofa za misosi, lifti ya gari akitoka na kwenda kazini soon utachapiwa tu. Nakushauri mwambie mkeo aache mazoea ya kipuuzi na hao watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi KABISA mkuu, huyo naye mke wake naye anayataka....
KWELI Kama hapendi na hataki angewajibu harsh/kwaukari na angeacha kuwajibu kilaani/diplomasia yaAni ansema NO huku text/smu zao anajibu, lunch zao anakula,lift anapanda, vizinga anawapiga, anawakonyeza na kuwarembulia............

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kwamba sisi wanaume tunamfuata mtu pale unapoona panaingilika. Sehemu ngumu wanaenda wabishi wachache tu. Kama mwanamke kiiila mwanaume kazini anamtongoza basi ni kitu anapenda. Ama ameruhusu mazoea ambayo siyo. Na hata anavyokua anakuambia ni kitu anapenda. Sisemi kuwa anatoa hapana, bali kisaikolojia ile kufuatwafuatwa ni kitu anapenda. Its her pride. Na vitu hivyo akiendekeza kuliwa ni lazima. Maana kila binadamu ana udhaifu wake ndo maana tunaaswa mambo hayo tuyakimbie sio tupigane nayo.

Aisee mwanamke aliye serious na ndoa yake hawezi jiweka mazingira ya kuzoewazoewa hivyo. Nimeona hapa kazini wanawake wazuri sana na huwezi kwenda kumtongoza akakuacha salama. Mkuu mkeo hayuko serious. Na akiendelea hivyo utaendalea kuhesabu manyoya tu!

Kazi zetu hizi. Unaeza haribu kazi kiasi cha ukikomaliwa na bosi unafungwa na si kufukuzwa kazi tu! Unaniambia akichungulia shimo kama hilo hatoi mzigo????
Uko sahihi KABISA mkuu, huyo naye mke wake naye anayataka....
KWELI Kama hapendi na hataki angewajibu harsh/kwaukari na angeacha kuwajibu kilaani/diplomasia yaAni ansema NO huku text/smu zao anajibu, lunch zao anakula,lift anapanda, vizinga anawapiga, anawakonyeza na kuwarembulia............

Sent using Jamii Forums mobile app


Toeni ushauri wakuu nini kifanyike? acheni kulaumu ndugu zangu
 
Mambo yanayomhusu mkeo hata mama yako usimwambie. Wanawake ndio wanaosemaga mambo yao mpaka ya chumbani. Hata kama mkeo hajui kupika chapati au mashine yake inawalakini usije ukamwambia mtu. Labda daktari.
Ushasikia mwanamme anakuambia Mkewe mtamu au akuambie usiku wa jana walifanya kitu gani. Hayasemwi hayo mkuu

Kwani mkuu wale wanasaikolojia wanashauri kuhusu ndoa na mapenzi wanafanya kwa makosa?
 
Toeni ushauri wakuu nini kifanyike? acheni kulaumu ndugu zangu
Making you understand your problem is one way of helping you solve it.
But since we ni mzee wa spoon feeding ni hivi, "Mkeo ana element za kimalaya na akiziendekeza atakujakuliwa sana. So mwambie aamue moja akate mazoemazoea na wanaume ama fyekelea mbali tafuta anayejielewa"
 
Kimsingi mkeo pia ane anajichekesha chekeshaa sanaa kwa huyo Boss aisee.. na atagongekaaa soon!! Kama anangekuwa mkali akiambiwa huo upuuzi na hivi ni mke wa mtu yani Huyo Boss asingerudia kabisaa.. Sema mkeo anajichekesha na atampa tunda soon usipokuwa mkali.. Akikwambia wewe mchane ukweli mwambie aache mazoea na kujichekesh kwa huyo boss mwanamke akiwa mkali wanaume wengi huwa tunagive up hasa akiwa mke wa mtu... Ilaa kaam ndo anakataa huku anajichekeshaa mamaeee wafwaaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom